Тёмный

BABA YANGU KIPOFU Full episode/13/  

BabaJoan
Подписаться 573 тыс.
Просмотров 546 тыс.
50% 1

#love

Приколы

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 809   
@BabaJoani
@BabaJoani 3 месяца назад
DAKIKA ZIKIWA NYINGI KUANZIA 25 KUENDELEA TUNATUMIA MUDA MWINGI NDOMANA TUNACHELEWA KWASABABU TUMEONGEZA MUDA
@Clamvevo-o4j
@Clamvevo-o4j 3 месяца назад
Congrats brooo
@manibahodaniel8405
@manibahodaniel8405 3 месяца назад
Unajenga family zetu kbs
@alotheboy3637
@alotheboy3637 3 месяца назад
Leka bhigende ibhind bhiloza
@Khatib-xp6fp
@Khatib-xp6fp 3 месяца назад
Tupo tunafuatilia from 🇲🇫
@dalmusomaeogaro9090
@dalmusomaeogaro9090 3 месяца назад
Asante sana baba Joan naipenda movie sako sana nasifwatilia Mara kwa mara
@NeemaKombe
@NeemaKombe 3 месяца назад
Wakwanza mimi leo from kenya ....Team Strong like zenu plz❤❤😂😂😂..yaani 10 sec😮
@BothainaBothaina-k6c
@BothainaBothaina-k6c 3 месяца назад
Woow kazi safi Sana hongereni Leo munapendeza Baba karobo asante Sana Kwa kutuongezea muda tuenjoy sana🎉🎉❤
@consolaKomba-n4s
@consolaKomba-n4s 3 месяца назад
Afazari mmeongez dakika❤❤
@BashirTwalib
@BashirTwalib 3 месяца назад
maandamano yameisha uko keny
@KhamisJuma-ni1vk
@KhamisJuma-ni1vk 3 месяца назад
Pamoja Sana
@KhamisJuma-ni1vk
@KhamisJuma-ni1vk 3 месяца назад
Na Chelewa Na Sitaki like Hila Niko Ndani Ongerani Sana. Baba Karobo Unasema. Baniani Baya lakn Kiatu Chake Dawa 😂😂😂😂😂😂
@stevedavid1198
@stevedavid1198 3 месяца назад
Mnaelimisha jamii nzima na kuburudisha watazamaji From Nairobi Kenya 🇰🇪 Like zinje jamani
@kingchiefking9265
@kingchiefking9265 3 месяца назад
Burundi Léo Niko wakwanza kutoka🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 npe zangu liké 100
@LeilaUwase
@LeilaUwase 3 месяца назад
Waooo eti ntamuryakatamugoye mashalha nawapenda jamani from🇷🇼🇷🇼🇧🇮🇧🇮🎉🎉
@JoanWalumoli
@JoanWalumoli 3 месяца назад
Baba karobo asante sana kwa movie zako zuri ❤❤
@israelKongolo-eb6mp
@israelKongolo-eb6mp 3 месяца назад
Uyumtoto karobo ata ri wangapi wana kubaliana namimi gonga like
@edithmasakwa1645
@edithmasakwa1645 3 месяца назад
Mmh kalobo wewe mtoto mzuri sana yaan nakupenda sana ❤
@JanethKimath-zf9zo
@JanethKimath-zf9zo 3 месяца назад
Leo nimekuwa wa kwanza like zenu kwa wanaompenda baba Joan
@ChristineWaswasikinga
@ChristineWaswasikinga 3 месяца назад
Niko ndani toka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tunakupenda sana baba kalobo
@SophiaMabula
@SophiaMabula 3 месяца назад
Jmn nan kaona baba karobo ni mwana yanga duuuh nimeipenda hyo
@constantinndayishimiyenshu4948
@constantinndayishimiyenshu4948 3 месяца назад
Kutoka Rwanda nipe like,Papa Kalobo tunakupenda zaidi
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 месяца назад
Karibu Tanzania
@Benjaminpkemoi
@Benjaminpkemoi 3 месяца назад
West pokot Kenya , Karobo mtoto mkali na serious ❤
@kennethmmbwanga2473
@kennethmmbwanga2473 3 месяца назад
Nafiatilia filamu hii kutoka Makindu Kenya..naomba like zenyu.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@suleimankipyego5143
@suleimankipyego5143 3 месяца назад
😅😅😅😅😅movie ni tamu jamani baba karobo ❤❤❤❤
@Arafa-dt9sh
@Arafa-dt9sh 3 месяца назад
Mwanamke mbaya uyuuu lol hatari🎉🎉🎉🎉🎉
@Kwaricha
@Kwaricha Месяц назад
Nasistiza wewe unaweza. Bom trabalho
@AbdoulKharim-c7o
@AbdoulKharim-c7o 3 месяца назад
Burundi 🇧🇮 to South Africa 🇿🇦 tunafatiriya sana baba joana❤❤❤❤
@Chqnilee96
@Chqnilee96 3 месяца назад
Me 2 I'm 🇹🇿 from🇿🇦
@tabanyabinghi263
@tabanyabinghi263 4 дня назад
❤❤❤❤
@IbraZoom
@IbraZoom 3 месяца назад
Am watching from Mombasa kisauni
@TomMona-l5t
@TomMona-l5t 2 месяца назад
Baba kalobo umenifurahisha sana ety mmmh kusifia waume wa wenzio tu Chakwako aaaaah😂😂😂😂😂❤❤❤❤
@Nffh-r4u
@Nffh-r4u 2 месяца назад
𝑈𝑚𝑒𝑠𝑘𝑖𝑎 ℎ𝑒𝑒𝑒😂😂𝑘𝑢𝑙𝑒 𝑎𝑙𝑖𝑠𝑒𝑚𝑎 𝑤ℎ𝑜'𝑠 𝑡ℎ𝑖𝑠 𝑔𝑢𝑦🤣🤣🤣
@HassanSalehMohd
@HassanSalehMohd 2 месяца назад
Allah awahifadh waliokuw kwenye ndoa natuliokuwa hatujaow Allah atupe wake wema insha Allah
@tumusiimepeace543
@tumusiimepeace543 3 месяца назад
Karobo don't worry there's time for everything one day one time your dad his sight will be recovered back even batimao in bible no one believed that he can see but with God 🙏 everything is possible ❤❤❤❤.
@MariaKesowani
@MariaKesowani 3 месяца назад
Baba karobo hongera sana umecheza vizuri sana.
@MERCYmercy-rl3lu
@MERCYmercy-rl3lu 3 месяца назад
Good job baba karobo ❤ watching from Kenyan 🇰🇪
@winniechepchumba
@winniechepchumba 3 месяца назад
Mimi wa kati leo kipindi kimependeza leo naomba like zenu from Kenya
@ElogeKambale-bw2zd
@ElogeKambale-bw2zd 3 месяца назад
Naomba liké ❤ ata kama wa tatu ❤ n'a wapenda nyote ❤❤🎉❤😂
@fammamourchy2164
@fammamourchy2164 3 месяца назад
Kutoka Cameroun Baba Joan naomba like dah Pia msitucheleweshe mwendelezo
@JestinaBenard
@JestinaBenard 3 месяца назад
Mama kalobo mwenzio mtu wangu ananichamba uku anasema mm na fanana na wewe fujo zako🤣🤣
@nancyg8664
@nancyg8664 3 месяца назад
😂kwahyo nawewe unaroho mbaya hvo...usije ukampofua macho tu
@mtzhalisi2232
@mtzhalisi2232 3 месяца назад
Upunguze sasa vurugu
@marianasasmos
@marianasasmos 3 месяца назад
😂😂😂
@JeanbaptisteNduwayezu-cv3dk
@JeanbaptisteNduwayezu-cv3dk 3 месяца назад
😂😂😂😂
@LovelyCows-dq2uv
@LovelyCows-dq2uv 3 месяца назад
Kazi nzuri baba karobo🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@CarolyneLiona
@CarolyneLiona 3 месяца назад
Baniani mbaya kiatu chake dawa ,baba karobo huyo baniani wa mchongo huyo kua makini naye ,nawapenda Bure 🇰🇪🇰🇪💪🏾
@NshimirimanaLewis-p5j
@NshimirimanaLewis-p5j 3 месяца назад
Aisee nimeamini baba Karobo ni Mrundi mwenzangu maana kunasehemu amemwaga Kirundi i'm from BURUNDU
@Kwaricha
@Kwaricha Месяц назад
Wewe ndo mbabi wao mpaka Moçambique uku tunakwelewa sana sana sana
@J74251
@J74251 3 месяца назад
PONGEZI SANA BABA JOAN KWA HII BONGE LA SERIES 🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤🎉🎉❤🎉
@XavierNiyonkuru-c8r
@XavierNiyonkuru-c8r 3 месяца назад
Nadhani ni wa kwanza kutoka Burundi.napenda sana movie hii.karobo ana talent kubwa sana nikiangalia jinsi ana act kwa umri wake.nawapenda sana tena sana
@EmmyMo
@EmmyMo 3 месяца назад
❤❤❤❤🎉🎉
@Labankarani1
@Labankarani1 3 месяца назад
Wakwanza kutoka kenya nipeni like zangu jamani
@-RydaJamal26
@-RydaJamal26 3 месяца назад
Watu tupo busy na maandamano wewe uko busy kuomba likes hebu toka twende 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂one love swee ❤❤🇰🇪
@LubuguMaryam
@LubuguMaryam 3 месяца назад
Ila nasra na mumewe wamependezana mashallah ❤
@aishaomar2287
@aishaomar2287 3 месяца назад
Umeonaeee😊 vijidogo dogo❤
@tonylaizer3386
@tonylaizer3386 3 месяца назад
Aunty shtuka ila uyu karobo mjanja kweli❤ nampenda 💯tuuu sana
@MwanaishaChileta
@MwanaishaChileta 3 месяца назад
Karobo nakupenda mpenzi unaweza unakili mwanangu 🎉🎉🎉🎉
@EmmyMo
@EmmyMo 3 месяца назад
❤❤❤
@CalebLumbasi
@CalebLumbasi 3 месяца назад
Napenda kazi yenu mungu awazidushie wema bt hi movie 🎥 Iko na mafunzo mingi Niko Kenya Nairobi nawatizama
@EvelyneUWAMAHORO-yv1cd
@EvelyneUWAMAHORO-yv1cd 2 месяца назад
Buruni Leo Niko wakwanza kutoka❤❤❤
@ZAHARASALUMU-l6m
@ZAHARASALUMU-l6m 3 месяца назад
Huyu karobo anasom au vip na anasom sa ngp,,,,,,,,,,,,,,,,mama karobo nae jmn roho mbaya tu kumuogopa mungu Aaaaaaah!
@OLOLUFEMITz
@OLOLUFEMITz 3 месяца назад
Wa kwanza
@OLOLUFEMITz
@OLOLUFEMITz 3 месяца назад
Naomba ku zungunza nawewe
@jeanwilletmazomena1840
@jeanwilletmazomena1840 3 месяца назад
Leo mimi wa mwicho kutoka Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@Captain254-v7b
@Captain254-v7b 3 месяца назад
Good job keep it up
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад
Kwl mchungaj n wa mchongo
@MgangaJohn-j1r
@MgangaJohn-j1r 3 месяца назад
Karobo jitahidi utakuja kuwa mtu makubwa kwenye bongo movies
@Junior-l4u4p
@Junior-l4u4p 3 месяца назад
Sasa kwakuwa nimlundi na nimekuwa wakkwanza naomba like jamani
@DebabaKitenge-p2x
@DebabaKitenge-p2x 3 месяца назад
Asante babakalobo nakufata congo
@cyberextranet2240
@cyberextranet2240 3 месяца назад
Ongela drc 🇨🇩
@HusseinHamisi-kx6pq
@HusseinHamisi-kx6pq 3 месяца назад
Leo nimeiwahi wa kwanza ku like
@Everayubu
@Everayubu 3 месяца назад
Yani kwelii mapenzi ni kizungumkutuu unae mpenda hakupendi anaye kupenda humpendii 🤣🤣🤣🤣🤣😂
@johnjay-b3m
@johnjay-b3m 2 месяца назад
Wesiunatafta,akpendae
@StafordNjeza
@StafordNjeza Месяц назад
Yaan kwel nimeamin Leo Kuna mwanamke nampenda lakin yeye hanpend jaman na nimeshndwa kumuacha jaman sijui nifanyaje
@Ericotaldan
@Ericotaldan 3 месяца назад
Baba kalobo wewe ni mwamba, nakupenda kwa maonyo ya mambo tunayo ishi
@kondebouy1308
@kondebouy1308 3 месяца назад
My love with the movie is on another level
@augostinoobwochaatjeevanji8730
@augostinoobwochaatjeevanji8730 3 месяца назад
Good work bro God bless you 🙏 🎉🎉
@PoliteKind-df8kw
@PoliteKind-df8kw 3 месяца назад
Ndo Bora dakika ziwe nyingi. Nawapenda sana tim joan.from Zanazibar
@SmilingCaterpillar-yy3jc
@SmilingCaterpillar-yy3jc 3 месяца назад
Karobo the best actor,
@PriskusMarunda
@PriskusMarunda 3 месяца назад
Nimekuwa wa kwanza nipeni like zang
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 2 месяца назад
Mume wa Nasra anasauti ya mamlaka hongera sana 🎉🎉🎉🎉
@protasikumanya1161
@protasikumanya1161 2 месяца назад
Kiukwer mv hii nimeipenda sana,ongeren kwahilo
@glorymanga3650
@glorymanga3650 3 месяца назад
Moviee nzuri mnooo
@Jofu2005
@Jofu2005 3 месяца назад
Usually
@Jofu2005
@Jofu2005 3 месяца назад
Naikubali sana hiimov
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg 3 месяца назад
Et mm wa kumi na mbili,
@manibahodaniel8405
@manibahodaniel8405 3 месяца назад
Kigali Rwanda 🇷🇼 we ❤u
@tomke5953
@tomke5953 3 месяца назад
Wakwanza kutoka kenya🇰🇪
@SarahLucas-n6n
@SarahLucas-n6n 3 месяца назад
Da! Mnachelewa sana
@bintrashid5108
@bintrashid5108 3 месяца назад
Nawapenda nyote mlioshiriki kazi nzuri sana ina mafunzo🎉🎉
@SuzieManei
@SuzieManei 3 месяца назад
Napenda movie 🎥 sna Iko poa❤❤❤❤❤❤❤
@VeronicaNajib
@VeronicaNajib 3 месяца назад
Baba karobo wewe nooma sana nimezipenda sana kazi yako naile ya never give up your so great na kuangalia nikiwa zambia
@azadinzunda4327
@azadinzunda4327 3 месяца назад
Baba karobo kweli kwenye kazi yako unaitendea haki na kama ningekuwa ndani ya Tanzania Basi ningekuomba tufanye wote kazi
@Chqnilee96
@Chqnilee96 3 месяца назад
Umqrekqni mwingi😅😅
@RehemaSaid-r4h
@RehemaSaid-r4h 3 месяца назад
Waoooo Leo nimewahi ❤❤❤
@GentilKakule-rd2pz
@GentilKakule-rd2pz 3 месяца назад
Unafanya vizuri sana baba kalobo mungu akuzidishie kipaji
@deusb
@deusb 3 месяца назад
❤❤❤❤❤
@KaseleOmary
@KaseleOmary 3 месяца назад
Hongera bint Naah nimependa ufanyajji kazi wako
@DondedieuPaunim
@DondedieuPaunim 3 месяца назад
Dondedieu kutoka Kolwezi Drc Nanipenda sana igizo hii.🥰🥰
@RajabuWangwala
@RajabuWangwala 3 месяца назад
Sitaki like
@MARYMAREGEMDAKU
@MARYMAREGEMDAKU 3 месяца назад
😂😂😂naona😊
@MagdaleneKilifi
@MagdaleneKilifi 3 месяца назад
😂😂😂 maana hata ukiomba hupewi
@stephenndungu8237
@stephenndungu8237 3 месяца назад
Unataka nni
@نورة-ذ3غ2ث
@نورة-ذ3غ2ث 3 месяца назад
Safi sana naomba ht isiishe Mimi naipenda hii movie sana
@TheresiaJohn-zy8eh
@TheresiaJohn-zy8eh 3 месяца назад
Kaziii nzuri baba kalobo👏👏🇹🇿
@JosephKibi
@JosephKibi Месяц назад
Baba karobo ongera sana
@jeffommy1032
@jeffommy1032 3 месяца назад
Like kwa baba Joan kwa kuongeza dk
@vavavava-ed7lg
@vavavava-ed7lg 3 месяца назад
Karobo keep going 🗣️ you're so beautiful and mukarimu .I love you💕
@EmmyMo
@EmmyMo 3 месяца назад
❤❤❤
@PendoNjiro
@PendoNjiro 3 месяца назад
Jamani Ina mafundisho mazuri
@NathalieMudjuna
@NathalieMudjuna 3 месяца назад
Na miye na furaha sana tuna taka suite❤❤❤
@tetrakatana1555
@tetrakatana1555 3 месяца назад
Good job,Baba Joan, with your team, we love you, in kenya
@niyogushimadorine6086
@niyogushimadorine6086 3 месяца назад
Nimecelewa sana ryameni nawapenda sana❤❤❤❤
@paulareri3149
@paulareri3149 2 месяца назад
From UAE Dubai I like following this show of baba Karobo
@JonChifuijii
@JonChifuijii 6 дней назад
Am watching 4from Angola 🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴 !!
@لويسلويس-ص6ر
@لويسلويس-ص6ر 3 месяца назад
❤❤❤ zuu Jat nakupenda san kipenzi baba kalobo na kalobo na wapenda pia
@SELEMANSAID-br4cg
@SELEMANSAID-br4cg 3 месяца назад
Jamani sina chakuwapa ila nimependa sana movi zenu zawadi yangu kwenu hiyap🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
@BundalaMasanja-c7m
@BundalaMasanja-c7m Месяц назад
Kutoka ushetu npeni like zangu
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 месяца назад
Tunaoamin dadake baba karobo atashinda hii vita na mama karobo tujuane KWA LIKE ZAKUTOSHA,,❤❤😂😂😂
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 месяца назад
❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 месяца назад
❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 месяца назад
😅😅😅
@سوزي-ع1ل
@سوزي-ع1ل 3 месяца назад
😂😂😂
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 3 месяца назад
😅😅
@IbraahKhan-q4t
@IbraahKhan-q4t 2 месяца назад
penda sana❤ toto karobo🎉🎉
@JonChifuijii
@JonChifuijii 6 дней назад
Nawapenda kabisa apa Angola 🇦🇴🇦🇴🇦🇴🇦🇴
@HusnaX-u6q
@HusnaX-u6q 2 месяца назад
Baba joan unajitahidi hongera sana❤❤
@pablonsanzumuhire2024
@pablonsanzumuhire2024 3 месяца назад
Nawapenda sana. Am great from Mozambique 🇲🇿
@jamesmulambya5859
@jamesmulambya5859 3 месяца назад
Am watching you from Zambia
@MwinulaCharles
@MwinulaCharles 3 месяца назад
Kaka inachelewa Sana pia mungu awabaliki Sana kazi nzuri sana
@mwanaidabeid8720
@mwanaidabeid8720 2 месяца назад
Jamani hii muvi inafundisha sana 🔥🙏
@AlimaArmando
@AlimaArmando 3 месяца назад
Parabéns papá karobo, você é um máximo no seu papel.
@SandrineBirhindwa
@SandrineBirhindwa 2 месяца назад
Yote kwa yote ila iyi movie imenipa funzo naomba like ata 10 naipenda. Toka🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩💖
@MosePaulo
@MosePaulo 3 месяца назад
Daaah zuuh namkubali sanaaaa.... NAKUPENDA mimi apa sio maigizo tena... Inanichanganya sanaaa
@AminaAli-w3s
@AminaAli-w3s 3 месяца назад
Hongereni saaaaan washirik wote wa movie hii ni nzul saaaaan nimeipenda bure❤❤❤❤❤
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode/14/ #love
30:06
Просмотров 495 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /48/ #love
20:27
Просмотров 284 тыс.
Day 2 | IEM Rio 2024 | Playoffs | КРNВОЙ ЭФИР
6:11:51
САМАЯ ТУПАЯ СМЕРТЬ / ЧЕРНЕЦ
1:04:43
kijana wa hovyo 😂😂
1:59
Просмотров 167
NEVER GIVE UP 💪 Full movie
1:37:31
Просмотров 542 тыс.
KIPESILE   | 1 |
23:39
Просмотров 1,1 млн
MWANAFUNZI WA AJABU Full episode 1
30:49
Просмотров 893 тыс.
А ТАК МОЖНО БЫЛО?😂
0:33
Просмотров 1,2 млн