Huyo Babu ni mwizi wa Imani na muongo kabisa 🤣🤣🤣alindanganya waislamu ati Bahebe amesilimu kumbe ni uongo . Yaani vile alizoea kusilimisha maiti Sasa anasilimisha wenye hai kwa nguvu 🙆🙆
@@hanifatanzania7258 tazama utube uone vile aliigopa Ndacha 😆😆Hadi anachangiwa pesa na waislamu aende Narok aka debate na Ndacha lakini akatoroka na waislamu 😂😂😂😂 Huyu Babu ni mdogo tu hakuna kitu Hata afuadhali akina Wambugu