Тёмный

BALAA la WAZIRI SILAA Awasha Moto MBEYA 

Jay Tv Tanzania
Подписаться 86 тыс.
Просмотров 18 тыс.
50% 1

#Waziri #JerrySilaa #Mbeya #Live #subscribe #jaytvtanzania

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 42   
@user-gr9px4pi2w
@user-gr9px4pi2w 4 месяца назад
Waziri wa ardhi tunamkubari sana nchi yetu ina adhina ya kutosha ya viongozi wazuri yaani wanafaa sana kuwa marais wa baadae
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
hii kazi ngumu sana kwa waziri. inabidi afatize kama baba mkwe wa Musa alivomshauri..tunamuomba Mungu Amshushe Roho wake aingie kwa watendaji wote ili kazi ifanyke kwa wepesi na kwa haraka kisha wanchi wote kupata haki zao
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 4 месяца назад
Nampenda sana waziri Slaa hana longolongo au upendeleo. Mama Samiya ulioteshwa kumweka huyu waziri wa Ardhi? He is fit for this job,tafazali usimtoe hapo.
@williammbuzimai5744
@williammbuzimai5744 4 месяца назад
Kaka ismail pole sana,,
@dignakanje4508
@dignakanje4508 4 месяца назад
Mweshiwa hawa watu ndio wanao sababishaga vifo vyawafanya biashara.Kwatamaa zao
@gilliansiara3324
@gilliansiara3324 4 месяца назад
Mnununuzi lazima kua makini,na manunuzi ya ardhi,buyer be,,,,,,,,,,
@MudhiryHassan-pq4se
@MudhiryHassan-pq4se 4 месяца назад
Huyu jamaa hawawezi kutoboa kwa huy kka. Na ana kila document
@elisantemrita9490
@elisantemrita9490 4 месяца назад
Kwani maafisa Arizi kwann wasinyongwe
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 месяца назад
Waliwe mshikaki kudadeki😏😏
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 4 месяца назад
Tutawasomea albadiri
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n 4 месяца назад
Hahaha kweli hakuna wanachikifanya
@husseinmachozi6674
@husseinmachozi6674 4 месяца назад
Huyu dada hapo mpigaji anavyomkata jicho mlalamikaji😅
@rehemakanyere4188
@rehemakanyere4188 4 месяца назад
Huyo dada pia ana roho mbaya sana anakodoa macho
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 месяца назад
hwa ni kifanya maamuzi magumu tu
@samwellwiza1098
@samwellwiza1098 4 месяца назад
Udongo kwa ufongo unanyang'anya udongo bila ya utaratibu wa wizara inayosimamia udongo na udongoni tutarudi kama udongo.... Ardhi ni swala la kiroho
@abdulimecksoni2424
@abdulimecksoni2424 4 месяца назад
Nnchii hii daaah wanyonge wanaonewaa snaa
@abdullayahya8717
@abdullayahya8717 4 месяца назад
Hapo kama wanampa kiwanja basi ni lazima kiwanja ambacho na yeye aridhike sio kumtupa madongo poromoko lazima wizara iwajibike
@user-rf7ni6tr2o
@user-rf7ni6tr2o 4 месяца назад
Uyooo munamtoaa mboni yureee mwenyeee gorofaaa mumemuachaaa vp
@khaliduhadi2336
@khaliduhadi2336 4 месяца назад
Hao watu ni mashetani aisee fukuza kazi hao
@yayananajota5838
@yayananajota5838 4 месяца назад
Mashetani watu hao, kuanzia surazao mpaka roho zao, 😏😏😏
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 4 месяца назад
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande (Quran 4:135)
@user-oy2fi5qz9n
@user-oy2fi5qz9n 4 месяца назад
Huyu dada hafai kuwa hata kiongozi,anadharau sn
@user-ov7ge3ci6f
@user-ov7ge3ci6f 4 месяца назад
Awa wtndj da 😢 yn hwana uluma
@msafirimfilinge8222
@msafirimfilinge8222 4 месяца назад
Hao wame hukua hela😢😢😢
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 4 месяца назад
Watu wanapiga hatia mnawarudisha kwenye umasikini sisi masikin tunateseka hakuna wakutusaida wala wakutusikiliza uuuwi mugutuagalie
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 4 месяца назад
Hawa watu wako wa chini waziri wanataka kukualibia jina lako majambazi fukuza kazi wakalime shamba wezi watupu Ao Mtu Anayo kalatasi zote lisiti zote majambazi Umekahaa nao kulia kwako waziri
@aliabdallah8456
@aliabdallah8456 4 месяца назад
Safari hii uku Makonda uku Silaa hapatoshi lazima haki itapatikana tu
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 месяца назад
Nchi ya kitu kidogo.
@mwanamutemi
@mwanamutemi 4 месяца назад
hao watu ni matapeli Bw Waziri, kwanini wanambughudhu huyu Ismaili ?
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 4 месяца назад
Afisa ardhi anavyomsemelea uongo mlalamikaji ni ajabu. Mh
@muhammadmassoud3576
@muhammadmassoud3576 4 месяца назад
Muogopeni aliye waumba
@muhammadmassoud3576
@muhammadmassoud3576 4 месяца назад
Ulimwambia kama unampa kiwanja kingine
@user-vv9kk3gz5f
@user-vv9kk3gz5f 4 месяца назад
Hawa viogozi wa ardhi wanajali matumbo yao nafamilia zao magufuli baba upowapi utusaide
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 месяца назад
alafu mbona waislamu wana sikilizwa sana nimefatiliaa sana
@saidmohammed1458
@saidmohammed1458 4 месяца назад
kama haki na ukiwa mkristo hausikilizwi? inaangaliwa haki na sio udini wakati mwingine ni coincidence
@hassanabdala7383
@hassanabdala7383 4 месяца назад
Ww huna akili Wacha uchochezi wanasikilizwa watu walio zulumiwa mchina pia amesikilizwa na haki yake amepewa Wacha chuki ndugu Tanzania hakuna ukabil wala udini
@mwinyiadadi1604
@mwinyiadadi1604 4 месяца назад
Mm nakushauri bwana ismail wadai pesa zako hao sio watu wazuri kwako
@jazeerajuma5014
@jazeerajuma5014 4 месяца назад
We nae acha udini
@yustomwaisomania2587
@yustomwaisomania2587 3 месяца назад
Acha ushamba wewe
@MohamedIbrahim-bn1gz
@MohamedIbrahim-bn1gz 4 месяца назад
Wele jamaa wanapiga makofi ya nini
Далее
mtu mmoja asilimu katika mhadhara.....9th. September 2024
1:20:31