Тёмный
No video :(

MHE.JERRY SILAA ASOMEWA DUA NA BABU WA KIJIJI TANGA || NINADAI HAKI YANGU YA MASHAMBA HUKO JUU 

RAI TV
Подписаться 89 тыс.
Просмотров 17 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 апр 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 30   
@salumally663
@salumally663 3 месяца назад
Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
@user-sl1ko9me7u
@user-sl1ko9me7u 3 месяца назад
VIVA MH. WAZIRI SILAA....UTAPATA BARAKA KUBWA KWA KUWASAIDIA WAZEE KAMA HAWA WAMEODHULUMIWA ARDHI, NYUMBA NA MASHAMBA YAO.
@petroyohana1126
@petroyohana1126 3 месяца назад
God bless you mheshimiwa waziri
@seemanishekiao
@seemanishekiao 3 месяца назад
Mzee Makata . Wazee wetu hawa wa Tanga Mjini. Allah awahifadhi
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 3 месяца назад
SLAA , ALLAH AKUPE UWEZO, AFYA, UENDELEE KUSAIDIA WALIODHULUMIWA ARDHI NA NYUMBA ZAO AMIN
@henrychacha5592
@henrychacha5592 3 месяца назад
Mbunge wangu Slaa,MITANO TENA!
@kibwanasimba6431
@kibwanasimba6431 3 месяца назад
Dah shekhe wetu huyo saidi abdala makata amezaaka kwakweli sasaivi
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 месяца назад
Kazi ngumu waziri uwiiii Mungu akupe ulinzi tunakuimbea
@seifsaid9905
@seifsaid9905 3 месяца назад
Allah huyu wazil anatende haki bila kutak sifa na Allah amlipe hapa na kesho dunian
@abubakarsuleman1983
@abubakarsuleman1983 3 месяца назад
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
@iddydawood2020
@iddydawood2020 3 месяца назад
😅Vipi waziri wa kilimo, waziri wa maji na wa tamisemi Hao vijana unawaonaje???????!
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
@sportsnewjs4330
@sportsnewjs4330 3 месяца назад
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 месяца назад
Kweli na Makonda angelipewa uwaziri nchi ingelienda mbio
@marymanoni5536
@marymanoni5536 3 месяца назад
Kijana yupo kazini Hawa ndo watu wa kazi SS namuoma huyu na makonda ,joketi htr
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 3 месяца назад
Waziri Mungu akujaalie
@saidybhoky-lb7hg
@saidybhoky-lb7hg 3 месяца назад
ila hawa watu wa ardhi shida nn
@tukuyufm
@tukuyufm 3 месяца назад
uongozi kama huu niliumiss
@ScopionScopion-zj9cd
@ScopionScopion-zj9cd 3 месяца назад
heta kumi za peter hahaaaa mzee bhn
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 месяца назад
Kitanga hicho ni zapita
@abdulrahmanally1412
@abdulrahmanally1412 3 месяца назад
Slaa wanyooshe tu watanyooka tu hap watu waArdhi hao washenze, madhwalimu wakubwa
@AwadAbedalla
@AwadAbedalla 3 месяца назад
🇪🇸🤲🤲🤲🤲❤️
@emmanuelbernard9552
@emmanuelbernard9552 3 месяца назад
Hivi hii nchi kweli tuna viongoz kweli wanaotenda haki,mbona aibu sana.
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 месяца назад
Idara za ardhi wapewe pia waarabu waongoze. Maana kila kitu karibu kinatushinda.
@andrewkissava9184
@andrewkissava9184 3 месяца назад
Kalubu mwarabu apewe aridhi zetu hakika wsislamu mmegeuzwa mazuzu na waarabu kwa harua ,Tende na ngamia kwa kujengewa masijid
@MACHOYATAI-jk6fu
@MACHOYATAI-jk6fu 3 месяца назад
Waisilamu mnajipendekeza kwà waarabu sana mmewageuza ndio munguwenu
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 месяца назад
@@MACHOYATAI-jk6fu Na wakiristo wanajipendekeza kwa wazungu. Haya umefurahi
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 месяца назад
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.
@mohamedomari6129
@mohamedomari6129 3 месяца назад
Nchi inatia aibu kusumbua wazee. Vijana tunasoma makaratasi tu. Kazi aibu.
@GodfreyOsward
@GodfreyOsward 3 месяца назад
Sio swala wazee, swali tulipo dai Uhuru. Tulidai wa nini? Tz tunavyo ishi sasa inaonekana hatutambui kwa nini tulidai UHURU huo ndiyo ukweli
Далее
до/после Знакомо?
00:16
Просмотров 12 тыс.