Inasikitisha sana.Waziri Mungu akulinde yaan japokuwa ni kazi yako ilaa wachache wana mindset kama yako...Mungu atakulipa kuwasaidia wanyonge.Mzee kama huyu anavohangaishwa na watu wasiojitambua..
Huyu waziri ndie waziri pekee aliebeba kura nyingi za mama Samia ktk uchaguzi ujao bila shaka, anamsifia mama na kumuunga mkono kwa vitendo sio kwa porojo la mdomo, tumuombeeni dua kwa wingi sana mungu azidi kumpa hekima na busara, nguvu na ulinzi kwa kila shari zinazomsogelea, sijawahi muona mtumishi kama huyu, namuomba mungu asimuondoe duniani kama hajawa Rais wa Tanzania siku moja.
hii sentence ya kwanza ulivozungumza yaani kweli kabisa..haswaa umetamka jambo la maana sana..Mungu wetu Akubariki kaka yangu. Mungu akulinde na kukuhifadhi siku zote za maisha yako. akujalia mno baba
Kwakweli tukipata viongozi 10 kama Waziri SILAA Wananchi wa Tanzania 🇹🇿 watapona kwamaumivu na mateso wanayosababishiwa na mafisadi na wezi wa sekta mbalimbali MUNGU awepe nguvu, awaongoze awalinde hawa viongozi wazalendo
@@andrewkissava9184 unaitwa Andrew jina la kibantu nalo Hilo. Huo ni uandishi. Ambao wewe Huwezi fika tafakuri Yake. Imemaanisha kama DP world wamepewa waarabu sababu imetushinda na ardhi pia wapewe waarabu kwa maana ya wawekezeji sababu Sisi hatuna tunachokiweza zaidi ya ujinga kama ulivyofanya wewe. Ukichukia muarabu ama mzungu itasaidia nn Mwafrica.