Тёмный
No video :(

BALAA! MGOMBEA URAIS AFUNGUKA SIRI NZITO YALIYOPO TLS, SAKATA LA MWABUKUSI, ADAI YEYE HATOJIONDOA 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 162 тыс.
Просмотров 2,8 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Mgombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), afunguka mazito sakata la Mwabukusi na yaliyomo kwenye chama hicho, adai pamoja na kuenguliwa kwa Wakili Mwabukusi kinyume na sheria, yeye ataendelea kugombea Urais wa TLS.
Zaidi: • BALAA! MGOMBEA URAIS A...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

7 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 10   
@user-lj6ey7mr4w
@user-lj6ey7mr4w 26 дней назад
We need Mwabukusi cause ni mzalendo wa rasilimali za Tanganyika
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 26 дней назад
Ni aibu kwa wanasheria kukubali kutumika bila kujali umuhimu wa kazi zao. Na kama mnamchagua anayependwa na Raisi au chama tawala badala ya kuangalia maslahi ya nchi, haki na watu wake basi hatuna mawakili. Itabidi tukawakodi toka nje na nchi yetu haitathaminika hata. Mmeshajionea mfano wa mawakili wa serikali waliopelekwa Marekani hata sifa hawakuwa nazo kabisa na ikawa so disgraceful kwa Taifa letu. Bila aibu tena naona yanajirudia. Umoja wa wanasheria katika kila nchi ni muhimu sana. Acheni utoto, uchawa na uchama. Muwe profesional angalau kutokana na kielimu mlizozisomea na adabu zake.
@ephraimsaimon3125
@ephraimsaimon3125 19 дней назад
Wasomi Tanzania hawana maana kuwepo Kama nchi kwenda kwa mtindo huu. Pole. Wasomi .
@damianjosephkanuti3863
@damianjosephkanuti3863 26 дней назад
uchaguz usimame
@damianjosephkanuti3863
@damianjosephkanuti3863 26 дней назад
huyu ni mwoga keshafeli
@carolsangawe2024
@carolsangawe2024 26 дней назад
Kwanini unadhani mwabukusi asipiganie haki yake na wakati huohuo unakubali kuwa uongozi ni uozo na kunahitajika mabadiliko makubwa? Yaani yeye asihangaike kugombea urais lakini wewe ubaki kugombea! Bado sijaelewa kwakweli 😢
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 26 дней назад
Without unity can be easy mwabukusi win such group because is the network of ccm creat lmotion into that tls tanzania low sosayart election get president of that organization but is not going to easy for mwabukusi to win them although team organization of tls want mwabukusi to be president of tls anless thouse who sport mwabukusi take responsibility to go back to odinary Tanzania population backing mwabukusi so that can Tengforce power to achieve tls plan on court
@sebastiansalamba313
@sebastiansalamba313 26 дней назад
Huyu hamna kitu kibaraka mkubwa wa ugawaji wa majiko ya gesi nchi mzima
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 26 дней назад
Kwan mwabukusi nchi ni nani? Mbona mnakuwa na akili ya kushikiwa?? Ccm oyeee😂😂
@eliajimmy95
@eliajimmy95 26 дней назад
CCM inahusikaje hapo? We ni chawa
Далее
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 707 тыс.
Symmetrical face⁉️🤔 #beauty
00:15
Просмотров 4,3 млн
Malalamiko ya Halima Mdee kuhusu uchaguzi
2:07
Просмотров 409 тыс.
CRL 2025 27 Strategy Webinar 2 8 July   Meeting Recording
48:19