Wananchi wa Kijiji cha Sumbugu kata ya Sumbugu wilayani Misungwi, wamemkataa daktari wa kituo cha afya cha Kata hiyo, Dativa… kwa madai ya kuchoshwa na kauli chafu anazozitoa kwa wagonjwa pale wanapoenda kupata matibabu kwenye kituo hicho.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
14 окт 2024