Sema uyujamaa nilikua namkubali sanaa sema nimekuja kugundua ana makasiriko na wivu wahali ya juuu mnoo ndomana wanamfanyia ubaya maana wanajua unarohoo mbayaaaa sanaaa brother unawivu wakishamba sijawai kuona yani upo kama mdadaa brother umekosa dera tuuuu mshamba weweeee
Baraka ameshapotea bora mumbrand kidogo arudi maana ana dharau kiburi jeuri ujuaji bila kukumbuka kama ashapotea kwenye game. Na ukiona mtu anazungumzia mabaya tu ya wenzake jua anaona wamemzid
Barack mi nakukubari sana mwanang toka enzi zile unatoa magoma makali makali kama Nisamehe ukiwa na mfalume king kiba, pamoja na Siwezi kusema kwer ulitisha sana mwanang fanya urudi tena aisee 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Barakah we niwajina wangu lakini kwa sasa hauna lolote Una bebwa tuh we hata watu wamkoani hawakujui umeishiwa bro hauna lolote mondi na kiba ndio dunia ya kila msanii