Тёмный
No video :(

"Hizi hesabu mnaona nazidisha mimi nilipata F ya hisabati" 

BBC News Swahili
Подписаться 615 тыс.
Просмотров 157 тыс.
50% 1

Leonardo @laughs_on_leonardo ni moja kati ya wachekeshaji mahiri na msomi kutoka nchini Tanzania.
Mwandishi wa BBC @mcdavid_nkya_ aliongea na @laughs_on_leonardo na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo msemo wa D mbili na wazo la kutumia shati lake maarufu katika vichekesho vyake mtandaoni.
Tembelea ukurasa wa RU-vid wa BBCSwahili kutazama mahojiano haya kwa urefu
#bbcswahili #tanzania #uchekeshaji
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 158   
@josephezekielmasolwa8283
@josephezekielmasolwa8283 Месяц назад
Huyu jamaa ni mtu mwenye IQ kubwa sana. I apriciat
@haidarykufakunoga8869
@haidarykufakunoga8869 27 дней назад
😂😂😂😂😂 You are my ICON. You are so cool bro and very Bright & Brilliant. Be Blessed Always always. AMINA. 🙏🙏🙏
@albertjohn8902
@albertjohn8902 13 дней назад
Hahaha Lazlo 😂😂😂😂😂😂 nani anakumbuka CAMP LAZLO
@ezramnyilinga3735
@ezramnyilinga3735 Месяц назад
jaman kumbe mahojiano yapo 20 on trending na hamsemi🎉
@drom_inthehouz
@drom_inthehouz Месяц назад
"You once saw a homeless guy listening to house music" 😂😂
@vipackyummy6916
@vipackyummy6916 Месяц назад
😂😂😂
@deestarsniper3315
@deestarsniper3315 Месяц назад
This’s crazy bro 🤣
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole Месяц назад
This is the first Tanzanian nimeona akuflow English na nikampa Kongole.Bravo bro!
@heriethngigwa1782
@heriethngigwa1782 2 дня назад
waoooooh your english is really, nimependa 🔥🔥🔥🔥🔥
@joannysalvatory7251
@joannysalvatory7251 Месяц назад
Anaongea na kujibu vizur sana *very technical*
@AmbroseMamole
@AmbroseMamole Месяц назад
You speak fluently,you're creative too!
@immakulathamwambi3868
@immakulathamwambi3868 Месяц назад
Safi sana mdogo wangu zidisha juhudi ili ufike mbali zaidi kumbuka wewe ni daraja kwa wengine ambao ni bado hawajatoboa uwaombee pia ongeza juhudi na uvumilivi ili upnye zaidi duniani ipo siku unaweza kua namba moja kwa uchekeshaji one love
@annamariajackson4842
@annamariajackson4842 22 дня назад
Leonard uko vema. I am watching you from Germany 🇩🇪
@geraldmanoti1716
@geraldmanoti1716 Месяц назад
Hongera wasu bwachatata waongera mmabox.
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Месяц назад
Acha kudharau mkoa wetu,tutakuroga ohooo😅😂😂
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 24 дня назад
Kigoka hamchelewi
@MackKombole-jg9vv
@MackKombole-jg9vv Месяц назад
leonaldo to the world
@Igauf3
@Igauf3 Месяц назад
That’s where everyone gets lost, eti nichekeshe huh ! Comedy doesn’t work that way…
@DotoOmary-i9q
@DotoOmary-i9q Месяц назад
Walahiii huyu jamaaa niko radhii nimpeee dada angu namkubaliii sanaa 😅😅😅😅😅😅😅
@ahz6907
@ahz6907 Месяц назад
Duh 😮
@samsuyatv4594
@samsuyatv4594 День назад
Mbona hilo sofa la bbc limechakaa sanaaaa
@vanessastafford6426
@vanessastafford6426 Месяц назад
Upo vizuri sana, unaondoa stress zangu. Ahsante sana
@huishabitabo9407
@huishabitabo9407 Месяц назад
Ahhh Renaldo we ni nyoko duh😂😂😂😂
@mgalabeatrice5940
@mgalabeatrice5940 Месяц назад
Ni Leonardo siyo Renaldo😂😂😂
@comfort-rjtv3291
@comfort-rjtv3291 Месяц назад
Kwani wewe mwandishi hujui anapomwagilia😂
@JumaMickidadi
@JumaMickidadi 26 дней назад
big up leonardo
@evaristgamba4204
@evaristgamba4204 7 дней назад
Mjita mwenzangu unajua....nakukubali sana
@AmonBuzinza
@AmonBuzinza Месяц назад
Sawa.
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 Месяц назад
Smart
@benjaminikazi
@benjaminikazi Месяц назад
Noma sana Bro
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 8 дней назад
Your 7 days in a cave weren't just about survival-they were a masterclass in resilience, grit, and determination. It’s incredible how you faced the darkness head-on and emerged stronger. Watching this challenge reminds me that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. Keep inspiring us all, MrBeast! 🌟💪
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Kiufupi jamaa anajua na anajua. Hasa English pronunciation yuko vizuri atatoka kimataifa kuliko wengine wataishia mipaka ya Tanzania tu.
@DM_15
@DM_15 Месяц назад
Reonardo mpuuzi wewe, umesema kiswahili ni lugha mama halafu kingereza luga baba kwahivyo unataka kusema lughayetu inafanywaje nakingereza😂😂
@hafsalucky1088
@hafsalucky1088 Месяц назад
🤣🤣🤣We mtu!!!!
@DM_15
@DM_15 Месяц назад
@@hafsalucky1088 katuangusha bwana
@HassaniMohamedi-lk7ow
@HassaniMohamedi-lk7ow Месяц назад
Lugha yetu inabakwa
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Месяц назад
😂😂😂😂 acha
@AmCool_
@AmCool_ Месяц назад
Dah mpaka kuandika pia hujui kutofautisha baina ya L na R asee.... Kuongea sawa, basi mpka maandishi. Noma sana 😂😂
@mkilwaabdul9230
@mkilwaabdul9230 15 дней назад
dah huyu jamaa ni mpuuzi sana😂😂😂😂😂
@minaelnathanael1846
@minaelnathanael1846 Месяц назад
Yani na huyu Leonardo ujana wako woteeee umeona mchagga ndiye wa kuoa. Nashauri ujenge kwanza . Maana mabint wa kichagga kwa sasa wamefeli kwa asilmia Mia kwenye kuishi nyumba za kupanga wanatabia chafu sana kuliko hata shetani mwenyewe.
@LiuChen-t7o
@LiuChen-t7o Месяц назад
Nice bro Leonard
@user-ji7gt4oh8u
@user-ji7gt4oh8u Месяц назад
Yesss
@Kuyasiwa
@Kuyasiwa 26 дней назад
Hongera broo
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 8 дней назад
This challenge shows that no matter how deep the cave, there's always a way out if you keep pushing forward. And remember, tough times don't last-tough guys do! For the boys! 💪🔥
@Frank-n2z
@Frank-n2z Месяц назад
Good babu
@fatmashillah5482
@fatmashillah5482 8 дней назад
Nampenda Leonardo jaman ❤❤❤❤
@MargrethMloka
@MargrethMloka Месяц назад
Hongera Sana Kaka uko vzr sana
@ErasmusMakavery
@ErasmusMakavery 10 дней назад
hongera cn dogo .
@emmanuelwafulakhaita3073
@emmanuelwafulakhaita3073 Месяц назад
You speak good English
@DatiusMajara
@DatiusMajara Месяц назад
good
@nozesybafikege8417
@nozesybafikege8417 22 дня назад
Eti bungeni uweza , unaweza ukala hela za wananchi 😂😂😂😂
@allymwashambwa5920
@allymwashambwa5920 Месяц назад
Ila huyu mjinga😂😂😂😂😂😂
@user-vl1ts1eh8s
@user-vl1ts1eh8s Месяц назад
Uwiiii🙆🙆🙆🙆🙆
@kosmasbukuku9362
@kosmasbukuku9362 Месяц назад
Hatarii
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n 3 дня назад
Leo nado ninoma sana kwa hesabu
@kiatu
@kiatu Месяц назад
Great interview poor lighting
@atenionesmo_A10
@atenionesmo_A10 Месяц назад
kweli reonaldo haonekan vzur
@martinnawe9698
@martinnawe9698 3 дня назад
Kijana uko vizur
@gilbertkimath1175
@gilbertkimath1175 15 дней назад
Devi una mtoto ila hujaoa yaani single fadher
@MohamedAshif-l7k
@MohamedAshif-l7k 8 дней назад
MrBeast doesn’t just give away money, he’s actually planting seeds of kindness in every heart that watches his videos. 🌱💰 Watching you give back inspires me to spread generosity in my own way!
@glorymaeda
@glorymaeda 6 дней назад
😂😂😂😂 hehehe
@HERMANKAGOROBA
@HERMANKAGOROBA 15 дней назад
Igakonko iwachu tulashashe ila ntitulabhakeneeeee
@MOKIRIMaro-i3n
@MOKIRIMaro-i3n 3 дня назад
Mhhhh
@naychris6548
@naychris6548 Месяц назад
Tarakea😂😂
@johnjames6743
@johnjames6743 День назад
70×80+20 ×10 umekosa zingatia magazjuto
@mohamedrajabu524
@mohamedrajabu524 Месяц назад
Ety sipitii kitu😅😅😅
@mtumeananiasjohachim8760
@mtumeananiasjohachim8760 Месяц назад
Mtangazaji anaitwa David Nkya,
@timizomlokole
@timizomlokole 18 дней назад
Hivi Kuna mtu kakuuliza
@Angle-bw4jr
@Angle-bw4jr Месяц назад
Leonardo good mwanangu
@mtukufusafari5535
@mtukufusafari5535 Месяц назад
Huyu jamaa yuko vzr sana
@abhralyrics9816
@abhralyrics9816 Месяц назад
Uyu jamaa anajua sana
@elikanahdeclassic9232
@elikanahdeclassic9232 Месяц назад
Leo umekosa mzee hyo hesab hiyo ni magazijuto na hujazngatia umejib kienyej😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Karibu na wewe uone kama haupotei😂😂
@ezramponzi-pf9ls
@ezramponzi-pf9ls Месяц назад
Pamoja sana kaka
@elbaricktv1632
@elbaricktv1632 Месяц назад
😂😂et kiswahili lugha mama ila kingereza rugha baba😂
@princenelsonsinko5237
@princenelsonsinko5237 Месяц назад
This guy is good in English
@ahz6907
@ahz6907 Месяц назад
😂 which country is he 😂
@PatrickJulius-uy3yb
@PatrickJulius-uy3yb Месяц назад
Nomaa sana reonado
@godymbanyi1878
@godymbanyi1878 3 дня назад
Kakonko kwetu! Sio kweli kwamba Kakonko ni watu maskini! Maisha yetu ni sawa na yale ya Watanzania wengine wa kawaida
@ValerianusMunna
@ValerianusMunna 3 часа назад
Sorry bro usijisikie vibaya HUYU n mchekeshaji tu
@AnthonyNdaula
@AnthonyNdaula Месяц назад
This can affect air users only
@user-mu2kq8wj4y
@user-mu2kq8wj4y 29 дней назад
umejipangaje katika maisha yako utaendelea na komedi au utaludi kwenye sistim
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Месяц назад
👍👍👍👍
@JosephJunda
@JosephJunda Месяц назад
Huyu anaweza kua
@Rasoulhk98
@Rasoulhk98 24 дня назад
Hesabu ya Advance balaa sana
@andrewmkini4323
@andrewmkini4323 23 дня назад
Huyu Jamaa ndio kanifanya niipende hii fan ya uchekeshaji
@charliimedia
@charliimedia Месяц назад
Presenta mbona anafanya show kibabe sana?
@kiatu
@kiatu Месяц назад
Kiswahili 🫡. Mchekeshaji wima 😅
@MartinsAgufana
@MartinsAgufana Месяц назад
Stand Up Comedian
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Месяц назад
Kwani ulitaka kusemaje kuhusu kibosho my home town😂
@francomwacha2262
@francomwacha2262 Месяц назад
Na takwimu zinaonyesha kibosho ndo sehem ya tanzania yenye matajiri wakubwa lakini hawana umaarufu.. 😊
@rizzyckshirima9521
@rizzyckshirima9521 Месяц назад
Lugha baba ya moto 😂
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 Месяц назад
Kaka Leonard nahisi kama ulisoma Tosamaganga au ulikuwa na ndugu yako akisoma pale? Mmefanana sana.
@YohanaYoramu-nl6bw
@YohanaYoramu-nl6bw Месяц назад
HUYU JAMAA ANAJUA KUCHEKESHA ILA SEMA ANATUONEA SANAA SISI WAHA MBONA HAZUNGUMUZII MIKOA MINGINE NI KIGOMA TU HUO NI UBAGUZI
@traviegrey3434
@traviegrey3434 Месяц назад
😂😂 ana ligi na NDARO
@Rojo_Rojo
@Rojo_Rojo Месяц назад
😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Месяц назад
Huyu ana akili sana bas tuu
@fazo-kl9fu
@fazo-kl9fu Месяц назад
🎉
@marikwilliam9886
@marikwilliam9886 Месяц назад
Nimeshindwa kucheka sijaelewaa
@nicksonmotta4012
@nicksonmotta4012 Месяц назад
I wish to see him on Apollo live - London. Anaweza
@Danileor
@Danileor Месяц назад
80×70+20×10 = 5600+200 5600+200 = 5800 Hivyo, 80×70+20×10 = 5800 Hizi hesabu bhana😂 Ukitaka kuhakikisha kama ni sahihi tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu
@user-rp3zw2cm5y
@user-rp3zw2cm5y Месяц назад
Kumbe ww ndo hujui hesabu
@Danileor
@Danileor Месяц назад
@@user-rp3zw2cm5y Tumia BODMAS au MAGAZIJUTO au tumia Kikokotozi (Calculator) utaona majibu. Najua zaidi ya unavyofikiria, siwezi kuandika makosa kwenye umati mkubwa kama huu.
@WAVELENGTH-tp1tm
@WAVELENGTH-tp1tm Месяц назад
Aki hizi hesabu nikija TZ nitapata sufuri. MAGAZIJUTO inamaanisha Bodmas, ehe😀
@Danileor
@Danileor Месяц назад
@@WAVELENGTH-tp1tm ndio kiongozi 😂😂 MAGAZIJUTO ni: Mabano Gawanya Zidisha Jumlisha Toa
@WAVELENGTH-tp1tm
@WAVELENGTH-tp1tm Месяц назад
@@Danileor Uko kwenu jamani munaamkia kiswahili na kukilalia pia. Hapa kwetu kiswahili ni cha kudonoadonoa tu😂😂
@user-rp3zw2cm5y
@user-rp3zw2cm5y Месяц назад
Ushetu😂😂😂
@GivenMwatebela
@GivenMwatebela Месяц назад
Eng ulipata F ya hesabu ni fedheha
@Mariam-fm8vq
@Mariam-fm8vq Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti nn
@rweumbizalugaimukamu4905
@rweumbizalugaimukamu4905 Месяц назад
Ana akili nyingi sana huyu kijana.
@jossporahmsw8420
@jossporahmsw8420 Месяц назад
Acha kuzingua kijana Naldo
@EmmanuelSima-qz1gd
@EmmanuelSima-qz1gd Месяц назад
🎉🎉🎉😂
@joycekasimbazi9817
@joycekasimbazi9817 Месяц назад
Jamani watu mmejaliwa nacheka mpk basi
@musagervas947
@musagervas947 Месяц назад
Huyuuu jamaaa IQ yake hakupaswa kua commedian ❤❤😅😅😅😅😅😅
@jumannemsengi2195
@jumannemsengi2195 Месяц назад
Huyu KENGE
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo Месяц назад
Huyu mwenyewe ni maskini th.Hakuna Tajiri anayechekesha.
@chiefchacha2992
@chiefchacha2992 Месяц назад
Vipi kuhusu Mr Bean na Chaplin....!??
@polycarpykavishe9001
@polycarpykavishe9001 Месяц назад
Hakuna mahali amesema nitajiri.... Ila unachembechembe za karoho mbaya flan hivi
@maryswai7780
@maryswai7780 29 дней назад
Hufuatilii commedy wewe... Punguza roho mbaya.. Wakina Eddy Murphy, Will Smith, Mr Bean
@AmanaAmos-hv3yz
@AmanaAmos-hv3yz Месяц назад
😂😂😂😂😂
@mbalizihospital_ifisi
@mbalizihospital_ifisi Месяц назад
kanajua haka kajamaa
@jarukhan_tz1326
@jarukhan_tz1326 Месяц назад
Mpuuz kwel, ety kakonko maskini
@user-uw4pu9nm1u
@user-uw4pu9nm1u Месяц назад
🤣🤣🤣🤣🤣
@Cyper255
@Cyper255 Месяц назад
😂😂😂
@EdwneWigne
@EdwneWigne Месяц назад
Uyu jamaa nmekuta ananimalizia mb zang sana
@SilverStar-by8fm
@SilverStar-by8fm Месяц назад
Haaaa
@neaboy4032
@neaboy4032 Месяц назад
Noumaaaaaa
Далее
Oh No! My Doll Fell In The Dirt🤧💩
00:17
Просмотров 12 млн
Tengeneza Tabia Zitakazokupa Mafanikio - Eric Shigongo
14:14
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
LEONARDO ALIVYOWAVUNJA MBAVU WAFANYAKAZI WA CRDB!
17:39