Moja ya vitu vinavyohitajika unapoenda kuomba viza ya kumtembelea mtu katika nchi za kimagharibi, ni barua ya mwaliko. Jifunze ujue ni vitu gani vinahitajika kwenye barua ya mwaliko
Shikamo kaka habar za kazi pole na majukumu samahani Nina kaka yang Yuko nje anataka kunialika ila jina la baba ni tofauti ila mama ni mmoja je kunaweza kuwa na shida yoyote Kwa sababu ya kuzaliwa baba tofauti ila vitu vingine vyote ulivosema ninavyo
Asante Sana Mtu wetu wa nguvu kwa ushauri unao tupea kila siku. Mimi nimfuasi wako wa kila siku.leo nimeona niulize hili swali sababu ninampango wa kwenda Canada. Inamana kama hauna kipato cha kutosha huezi kupewa visa? Na what if unaimba na umepelekwa kama muimbaji wa bend
Mbona mialiko imelenga tu kwenye masuala ya shule misiba maafari Lakini sioni mkiongelea mialiko ya shughuri za kidini Kama vile semina za Neno la Mungu makongamano Nk ?????
Ndugu makulilo..saizi upatikanaji wa passport umekuwa mgumu mno...! Tofauti na miaka ya nyuma...saizi mpaka uwe na safari yani.. hvyo mm n mmja wapo ambae ndoto zangu ni kuja kumiliki passport.. lakni siwezi kusikilizwa uhamiaj mpk niwe na barua ya invitation letter.. unanisaidiaje...! Lengo langu ni kufanikiwa tu kwenye swala la passport kwanza..🙏🙏