It is well kaka. Thank you for everything that you have done to us. Esp Mimi. Take care of yourself and your family first. Sisi tupo tu. Nitakuombea Hakika. Mungu awatendee miujiza
Kaka najua Mungu atakusaidia kaka na kingine ninaomba urete office nchini Burundi utakuwa umesaidia sana Kaka tunataka na nchi yetu utusaidie kaka niombi kaka
Pole sana sana kwa mtoto wetu Benedict. Migreines ni ugonjwa mbaya sana. Mungu amponye na awatie nguvu familia yote kwa mapito hayo. Hope utaondokana na tatizo la kukosa usingizi. Mungu akuepushe usizoeane na dawa za usingizi.
Take a break kaka, pumzika mitandao mwezi 1, focus na familia na kumsupport Benedict, pia you need to take care of yourself. Mungu atakutetea, mtakuwa sawa WOTE. In the name of Jesus, mtegemeeni Mungu.
Pole sana mkuu yani inatakiwa upate muda wa kupumzika jitahidi na kujipenda mwenyewe mkuu unaweza kufanya kazi zaidi hizi ukaishia kuwa na magonjwa ya Depression & Hypertension kwa sababu hapo naona una changamoto za usingizi (Insomnia) na mwishowe unaweza kuleta madhara makubwa zaidi hata performance yako itashuka sana 😢😢
MKUU EBM, Tunakushukuru kwa Jitihada zako za kuendelea kutupigania kwa hali na mali katika kuhakikisha tunapata fursa mbalimbali kutoka ughaibuni, naamini hichi unachokifanya kimeendelea kugusa jamii ya afrika hasa kwa ss wa Mashariki, nakuombea uzima mwingi ww na familia yako vile vile na hao wote wanatimu wote na kwa wanaosapoti hizi platforms na productions kwa ujumla kwa njia moja ama nyingine, naomba kwa wanaofanikiwa kufika huko tafadhali kuweni na Moyo kama wa huyu ndugu yetu EBM pazeni sauti katika masuala na fursa mbalimbali, vilevile na ss wana afrika mashariki tujifunze kupokea kwa moyo wa shukrani kile kinapotolewa na hawa ndugu na kama ikiwezekana basi tuwasapoti kwa hali na mali na kusambaza jumbe hizi kwa walio gizani, JAMANI UMOJA NI NGUVU, TUNAKUTAKIA LIKIZO NJEMA NA YENYE MAFANIKIO HADI WAKATI MWINGINE.
ila kwenye suala la safety hawa wenzetu wametuacha saana, nina manzi wa kizungu sasa akawa interested saana kujifunza kupika ugali, lakini swali lake la kwanza akaniuliza kwanini sivai miwani ya safety wakati napika ugali nikashangaa saana akanambia huoni huo uji uji unaoruka ni wamoto na unaweza kukuingia machoni hahahaha basi nami nikaanza kuvaa miwani wakati wa kupika ugali
Tungefurahi sana kupata maelekezo zaidi ni jinsi gani tunaweza kutoboa,kwa sababu nasi ni madereva wa magari makubwa ila mbarikiwe sana mahojiano yenu.