Тёмный

Bashe amjibu Halima Mdee sakata la BBT "Yeye mwenyewe...anatumia zile za VIJUNGU" 

Mwananchi Digital
Подписаться 1 млн
Просмотров 9 тыс.
50% 1

Waziri wa Kilimo Hussein Bashe wakati akihitimisha hoja yake ya mkadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2023/24.

Опубликовано:

 

20 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 14   
@kambamazig02024
@kambamazig02024 Год назад
Bashe, you are well learned! Safi sana!
@mrsmile5425
@mrsmile5425 Год назад
Kila biashara inalipa sana kwenye makaratasi TENA inalipa zaidi kwenye kuelezea KWA mdomo....nimekaa paleeeeeeeee
@milles1378
@milles1378 Год назад
Safiii Sanaaa
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 Год назад
Umejibu vizuri waziri lakini, Kwa gharama hizo, naona serikali kama anabeba mzigo ambao sijui kama tutapata return inayo kusudiwa. Lakini, Kuna kama kaupendeleo fulani. Mimi nilikuwa nadhani, kwakuwa serikali inapesa kiasi hicho, ingenunua mbolea yakutosha ili Kila mkulima ambaye anahitaji mbolea aipate hapohapo kijijini Kwa 50,000 bei ya juu. Pia, ununuzi wa matrekta madogomadogo yapatikane Kwa nafuu au kukopeshwa. Lakini pia uhakika wa masoko, serikali inunue na baadaye yenyewe iuze huko. Hakika hii ingeleta tija Kwa haraka sana then hayo mnayo yafanya yangeendelea hatua Kwa hatua na Kwa ufanisi kuliko hivi Sasa tunavyo kwenda. Anyway tumuombe Mungu atusaidie tufanikishe na tupate tija kama taifa na isije ikaja kuwanufaisha wachache tu. Mungu ibariki Tanzania.
@GetrudaFredy
@GetrudaFredy Год назад
Huyu jamaa AKILI KUBWA SANA SANA.
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Год назад
Hii ishu ya BBT imekaa kipigaji sana.
@davidkamando9630
@davidkamando9630 Год назад
Hilo neno ndilo lililo akilini mwako tangu ulipo timiza miaka 18
@bennyframa4505
@bennyframa4505 Год назад
@@davidkamando9630 aya
@davidkamando9630
@davidkamando9630 Год назад
Umejiona una hekiimaa mwenyewe kujibu haya... Inasikitisha sana
@7675kio
@7675kio 8 месяцев назад
Subirini muone anguko lake
@Clement-px8eg
@Clement-px8eg Год назад
Nguvu ya soda
@dausonbyabato4768
@dausonbyabato4768 Год назад
Kilimo kwanza bashe
@bamurwakana7277
@bamurwakana7277 Год назад
Ngonjera2
@michaelmizambwa1246
@michaelmizambwa1246 Год назад
pointi yake, iko hapa, kila mtu kwenye mradi wa BBT, angelikaaa kwenye nafasi yake (wakulima -SUA, watunzaji, na wauzaji-Other colleges),na kuhusu kusafisha mashamba, tengenezeni utaratibu rasmi wa ukataji mkaa kwa vipindi tofauti na nyakati tofauti, mashambà yatajisafisha yenyewe....
Далее
Мечты, которые сбылись♥️
00:17
Просмотров 557 тыс.
Angry bird PIZZA?
00:20
Просмотров 5 млн
The Day Ronaldinho Became a Barcelona Legend
15:14