Waziri wa Kilimo Hussein Bashe wakati akihitimisha hoja yake ya mkadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo na taasisi zake kwa mwaka wa fedha 2023/24.
HIVI MPINA HUONI AIBU, KILA HOJA YAKO INAISHIA KWA AIBU? MAWAZIRI WANAPOJIBU HUONI KWAMBA UNASHUSHULIWA?NA KUONEKANA MWONGO, MNAFIKI, WIVU, FITNA, NA UWAZIRI HUPATI, KILA ZAMA NA KITABU CHAKE. MPE ZA USO HUYO MPINA ANAONEKANA KAMA HAJAENDA SHULE
Mfumo imara haupaswi kufika huko yaan mpaka unaruhusu double scanning ndo mgundua .hAunii kuwa mnajipa kazi isiyolazima kuwa kuwa mfumo uliopawa ukatae hizo taarifa mapema tu