Тёмный

Halima Mdee amuwashia moto Bashe; ashusha kiingereza Bungeni "Hii ni akili gani jamani?" 

Mwananchi Digital
Подписаться 980 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

Mbunge wa viti maalum (Chadema) Halima Mdee akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/24 Bungeni jijini Dodoma leo.

Опубликовано:

 

8 май 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 91   
@evelina9621
@evelina9621 18 дней назад
Safi.sana Nangejwa.halima.kazi.kwenu.tunawaona.kaza.mwendo
@mako331
@mako331 Год назад
Yani tunawabunge wenye akili sana, ila michango yao ingesikilizwa tu
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Год назад
Mboe fanya maliziano na hawa wabunge haraka ukiwatoa bungeni utaua chama
@gililwise
@gililwise Год назад
Halima oyeeee mama Samia mpe wizara ya kilimo anafaa sana.
@emmanuelbonaventura4258
@emmanuelbonaventura4258 Год назад
Ana hoja lakini haimaanishi anaweza kufanikisha kilimo.
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
Kwa hiyo sasa ni bora tuendelee na kilimo cha jembe na mvua kinacho limwa hasa na wazee, kisa kulima kilimo cha umwagiliaji na mashine kinacho ajiri vijana ni garama.
@azizamvungi1871
@azizamvungi1871 8 месяцев назад
Mpare wewe unakili sana.kitu hicho chakutoka kilimanjaro❤❤
@petermwanyondo5370
@petermwanyondo5370 11 месяцев назад
Huyu halimadee bulaya matiko bunge nk bunge linanoga malizen tofauti sna jaman
@benny4345
@benny4345 Год назад
Halima is spot on! She is making a lot of sense!
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
So the government should stop assisting over 1.6 million youth to get into modern agriculture, they should stop the program that aims to increase agro product for over 73% due to it is expensive to do so.
@nayfatyally4108
@nayfatyally4108 Год назад
Wema s eptu @@birianination7097
@elishajailosy4916
@elishajailosy4916 Год назад
Dah uyu mdee Yuko vzr
@TajweedKachila-qb9eq
@TajweedKachila-qb9eq Год назад
Yaaah big up to you 😁😁😁 if we get representative like you .....we successful our plan
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
What is your plan, vijana kuto pata fursa, kuendelea kulima kwa jembe
@salmamakweta1198
@salmamakweta1198 Год назад
Point sana
@NaphySky-oq5sy
@NaphySky-oq5sy 2 месяца назад
Halima oyeeeh my voice 🎉❤
@Piscesblair
@Piscesblair 14 дней назад
The problem is lack of a national strategic planning benchmarked to guide our leaders to pursue our national vision.
@StadiusJustus-ck8xi
@StadiusJustus-ck8xi 4 месяца назад
Point dada point dada sema kazia hapoo
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 10 месяцев назад
Halima mdee breathing fire but oozing some wisdom. 🇰🇪
@kimanimain9239
@kimanimain9239 Год назад
Halima anakuwang mzuri can but ni hoja yake ndy wanaikataa 2 jmn 🎉🎉
@genarahaswile2990
@genarahaswile2990 Год назад
halima kunywa pepsi kwa mangi nitalipia
@emanuelcosmas395
@emanuelcosmas395 Год назад
Bashe anataka kuhawa ardhi yote alafu wajukuu zetu watalima wapi?
@kimanimain9239
@kimanimain9239 Год назад
Yes madam hali congratulations 🎉🎉🎉
@JamesMapapara-jw4th
@JamesMapapara-jw4th 20 дней назад
Ndio shida ya waongoza vikao mtu akiongea kusadia taifa mtu anawaza uchaguz inchi 😅😂😂 kituko kweli
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
Kuna mashamba wamemilikishwa wageni tunayaona tuuuu afu baadae yakifikiwa na mji ukikua wanafungua viwanda. Alafu kwann sijaona taarifa ye yote kwenye kuchangia kwake huyu binti yenu?
@makupejafar1771
@makupejafar1771 Год назад
Leo mdee safi skuelewagi ila Leo nakupa Mauwa yangu
@TajweedKachila-qb9eq
@TajweedKachila-qb9eq Год назад
Inavutia Xana ukweli mtupu bg up mama
@dominicbinonde9163
@dominicbinonde9163 Год назад
Anaitwa Halima James Mdee!
@AbdallahThomastz
@AbdallahThomastz 6 месяцев назад
Mama nakuelewa halima
@anastazialushika
@anastazialushika 12 дней назад
Sawa madam
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Месяц назад
jer ukulima ulukukuwa utatumikaa kulimaa nikilimo anynaganii husika sababuu kunakilomoo chegine kinaharibuu artho
@abdillahyussuf7200
@abdillahyussuf7200 Год назад
Nakukubali dada
@idrissaomba8803
@idrissaomba8803 Год назад
Nazani umejibiwa sasa, Bashe amekumaliza
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 Год назад
Bashe anadanganya wa at chakula kiuzwe nje ya nchi ndio bei inapanda mkulima iuza mazao siku nyingi mfanyabiashara arabica stoo ,bei inapanda mkulima anazidi kuumia wananchi nao wanakufa na njaa we mashavu yana nenepa unajisifia bure jitafali maana kuna MUNGU
@JamesMapapara-jw4th
@JamesMapapara-jw4th 20 дней назад
Huo ni upigaji mwingine huo mkubwa, sana haijawahi tokea
@user-zu7mc9zh6z
@user-zu7mc9zh6z 2 месяца назад
Yaani tunawabunge wenye akili kama wewe 10.
@user-ws5sd8wf1t
@user-ws5sd8wf1t 6 месяцев назад
Ww dada hunapambanasana mungu hakulinde❤❤
@FrankChalula-hz6dn
@FrankChalula-hz6dn 11 дней назад
Halafu wewe mbona unaandika kiswahili kibovu sana , kwanini lkn?
@sialo8624
@sialo8624 Год назад
Genius
@dastanlufunda8846
@dastanlufunda8846 Год назад
Tunashida nchi hii kila mchangiaji mzuri anapochangia jambo zuri in kama watu. Hawataki , kiti, ushauri kwenye vitu sence vyavtaifa , tuwape mda zaid wale wanaocahangia ukombozi, halima yuko sawa kwa hili, gwajima yupo sawa na wachache wengine tuikomboe nchi yetu jameni,.....
@isaacbarnabas9608
@isaacbarnabas9608 Год назад
She's too logical fr fr
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
How
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Год назад
Alima mdee yuko sahii kwa mapungufu ya waziri ila wegemi kupewa arizi miaka mingi ni hatari Sana
@StadiusJustus-ck8xi
@StadiusJustus-ck8xi 4 месяца назад
Dada mwaka ujao ingia bungeni nakula tutakupa dada nakufurahia sana
@hamisimsosi6237
@hamisimsosi6237 Год назад
Huyu ni mtu hatari Sana yaani chuki weka mbali na watoto😅😅😁😁♥️♥️🏆🏆🔥🔥
@innocentsaka934
@innocentsaka934 Год назад
Ni Kilimo cha mjini kweli
@brunokalipesa5231
@brunokalipesa5231 10 месяцев назад
Ila nikweli
@Sianonyangwa-ct2vk
@Sianonyangwa-ct2vk Месяц назад
Naomba mikataba ya ardhi kwa wawekezaji ifutwe nitoe mfano shamba naco mbalali nakodi eka moja laki moja je unamsaidia mkulima mdogo au unamuumiza
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Wazungu.wanatucheka.bei.gani Hiyo.waziri.
@user-fe1wy5wt5k
@user-fe1wy5wt5k 11 месяцев назад
Halima mdee apaswa kupewa sapota kw upingaji na utetenzi kw wakulima❤
@seifsaidseifsaid1210
@seifsaidseifsaid1210 Год назад
Hatuna mawaziri wakiwa nje wanapiga kelele wakipewa uwaziri hakuna wanachokifanya zaidi ya kupiga pesa!
@nyemombogoni3755
@nyemombogoni3755 Год назад
Hivi naweza kujiweka hapa?🤔🤔
@saidhamza5318
@saidhamza5318 Год назад
Duh 🧐
@feiswalsalim2117
@feiswalsalim2117 Месяц назад
mbolea za wazungu jeetz slitrgeza hstaa mbeguu
@user-rs4vz2vt9z
@user-rs4vz2vt9z Год назад
Wewe sio mbunge uliibiwa kura kawe uko hapo kimakosa kadai kura zako,na utafute chama ndio uje, ilikua zamani.
@simonloishiye7163
@simonloishiye7163 Год назад
Halima hoyeeeee anafaa sana kuwa kiongozi Tena Bora kabsa
@evelina9621
@evelina9621 Месяц назад
Huyo.nibei.hafai.wizi
@ibrahimtesha2733
@ibrahimtesha2733 2 месяца назад
Halima, wewe ni msalliti wa CHADEMA, Unashangiliwaje na CCM? SI MBUNGE HALALI!
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 15 дней назад
ni kwel lakin tuwaangalie wanachokizungumza kwa tija ya wananchi hususan wanyonge!
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 Год назад
Namshauri Rais awe makini na mradi huu,nimradi wa upigaji,wakulima tayari wapo kazini hao wa kutafuta kwenye vyombo vya habari ni njia tu ya upigaji,wakuwapa hayo mashamba tayari wapo shambani wanalima,nendeni vijijini muwape hao msaada kilimo lazima kiwe ndani ya damu ya mtu sio kulazomisha watu wawe wakulima,haya ni makosa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,benki haikopeshi mfamyabiashara mpaka awe na biashara,hivyo hivyo serikali iwape mashamba ambao tayari wana shamba.
@onesmomasala-rg2wd
@onesmomasala-rg2wd Год назад
Dada uko vizuri lkn covd 19
@shukranitv2971
@shukranitv2971 Год назад
Haaaaaa kilimo Cha mjinii
@samuelmbogo7448
@samuelmbogo7448 2 месяца назад
Madee umeongea pointi! Na huo ndiyo ukweli . Wakulima wadogo wanatakiwa kuboresha kilimo chao. Hiyo pesa ni nyingi sana.
@simongwandu7392
@simongwandu7392 Год назад
CCM cha changu lakini kisa cha wabunge 19 bila chama inanipa kigugumizi
@gideonmphunami2448
@gideonmphunami2448 Год назад
Harima Mdee ni mgodi unatakiwa ulinzi
@fredrickmatiku7783
@fredrickmatiku7783 Год назад
Wapi Babutale ni mbunge bado au meneja wa mziiki Diamondplatnumz
@genarahaswile2990
@genarahaswile2990 Год назад
bashee ni 😂
@malkavoice2570
@malkavoice2570 Год назад
Halima amewazoea sana ccm anawapoteza anazungumza 7bu mnamlipa bila 7bu
@floraflora5717
@floraflora5717 5 дней назад
Uyu mtu Tanzania kweli mbona anauza ichi hii naiyo ngozi kama ya somali au ndio anatumaliza
@user-do5by8jl6g
@user-do5by8jl6g 5 месяцев назад
Kichefuchefu
@user-kt1ij8hs8d
@user-kt1ij8hs8d Год назад
Mchango mzur
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 Год назад
Hivi kweli tunaweza kusema Halima mdee hatuwakilishi vyema eti kwa sababu tu CDM wamemkataa?
@yusuphMwebesa
@yusuphMwebesa 5 месяцев назад
washa moto
@user-rs8tm5bq9b
@user-rs8tm5bq9b 3 месяца назад
Halima
@magrethlubimbi4055
@magrethlubimbi4055 9 месяцев назад
Umenena vyema kabisa mdee
@innocentsaka934
@innocentsaka934 Год назад
Hakuna ruzku kuna umiza wakulima tulimpenda akiwa mbunge sijui wizara inampoleza
@prosperidinya5864
@prosperidinya5864 3 месяца назад
Akili kubwa sana ya huyu dada. Tunahitaji wabunge kama hawa. Lakini Kwa bahati mbaya sana mawazo ya watu kama hawa hayasikilizwi. Tutaendelea kupiga marktime Kwa tulio wengi na wachache kutengezwa mabilionea.
@salmanmagwe2612
@salmanmagwe2612 Год назад
Simuelewi huyu mama anachoongea hapa,na anachosikitikia ni nini hasa? Mimi ni ni mkulima wa korosho naelewa ugumu wa kusafisha pori,kulima,kupima n.k. Si hata utoe basi plani yako?
@user-zx6em4eg6k
@user-zx6em4eg6k Год назад
Madee umeongea wengi wanaangalia leo tu !
@birianination7097
@birianination7097 Год назад
Kwa hiyo tuachane na kilimo cha machine na umwagiliaji kisa ni cha garama sasa, Tuendelee na kilimo chetu cha bei poa cha kutegemea mvua na majembe kinacho limwa na wazee, Je hao wazee wakiisha watalima nani, Je mvua isipo nyesha tutakula nini Je hao vijana wafanye nini
@ismailferouz8688
@ismailferouz8688 11 месяцев назад
@@birianination7097 usitupange vijana wenyewe tunalima njo kwetu tabora skonge kaliuwa urambo uwone vijana tunavyo Lima uyo bashe si tabora one, ila hapo somkubaliii
@user-rd5is3ne3j
@user-rd5is3ne3j 11 месяцев назад
Halima.jaman Duu
@sahilimassawe3557
@sahilimassawe3557 11 месяцев назад
Kashachokauyoooo
@evelina9621
@evelina9621 18 дней назад
Kweli.wazungu.waona.tanzania.wajinga.viongozi.wetu.wajija.ni.kuchekacheka
@innocentkyungai1138
@innocentkyungai1138 Год назад
Huu ni utumbo
@olivaerasto6669
@olivaerasto6669 11 месяцев назад
Ubadhilifu unaoendelea .IPO siku utautolea hesabu,uwe raisi uwe wazili uwe mbunge .au hata ukiwa mwanaichi upandacho ndicho uvunacho.hakuna atayeishi miaka puku
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 10 месяцев назад
Shamba la bibi
@eliaschipanda2006
@eliaschipanda2006 2 месяца назад
Nimemkubali huyu mama. Halima una big brain so mchezo.
@emmanuelsamweli6893
@emmanuelsamweli6893 Год назад
Mjinga uyu
@user-nh7ie5kz7l
@user-nh7ie5kz7l 12 дней назад
halima hamia kwa chama ya Magufuli unafaa sana
Далее
Cat Plays with Window Washer
00:22
Просмотров 1,8 млн
Amwe a maminista nimaranogetie muingi wa bururi
4:09
Просмотров 1,4 тыс.
BUNGENI: Bashe na Sugu kuhusu ishu za kutekwa
11:41
Просмотров 662 тыс.