Mbunge wa viti maalum (Chadema) Halima Mdee akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/24 Bungeni jijini Dodoma leo.
Kwa hiyo sasa ni bora tuendelee na kilimo cha jembe na mvua kinacho limwa hasa na wazee, kisa kulima kilimo cha umwagiliaji na mashine kinacho ajiri vijana ni garama.
So the government should stop assisting over 1.6 million youth to get into modern agriculture, they should stop the program that aims to increase agro product for over 73% due to it is expensive to do so.
Kuna mashamba wamemilikishwa wageni tunayaona tuuuu afu baadae yakifikiwa na mji ukikua wanafungua viwanda. Alafu kwann sijaona taarifa ye yote kwenye kuchangia kwake huyu binti yenu?
Bashe anadanganya wa at chakula kiuzwe nje ya nchi ndio bei inapanda mkulima iuza mazao siku nyingi mfanyabiashara arabica stoo ,bei inapanda mkulima anazidi kuumia wananchi nao wanakufa na njaa we mashavu yana nenepa unajisifia bure jitafali maana kuna MUNGU
Tunashida nchi hii kila mchangiaji mzuri anapochangia jambo zuri in kama watu. Hawataki , kiti, ushauri kwenye vitu sence vyavtaifa , tuwape mda zaid wale wanaocahangia ukombozi, halima yuko sawa kwa hili, gwajima yupo sawa na wachache wengine tuikomboe nchi yetu jameni,.....
Namshauri Rais awe makini na mradi huu,nimradi wa upigaji,wakulima tayari wapo kazini hao wa kutafuta kwenye vyombo vya habari ni njia tu ya upigaji,wakuwapa hayo mashamba tayari wapo shambani wanalima,nendeni vijijini muwape hao msaada kilimo lazima kiwe ndani ya damu ya mtu sio kulazomisha watu wawe wakulima,haya ni makosa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,benki haikopeshi mfamyabiashara mpaka awe na biashara,hivyo hivyo serikali iwape mashamba ambao tayari wana shamba.
Akili kubwa sana ya huyu dada. Tunahitaji wabunge kama hawa. Lakini Kwa bahati mbaya sana mawazo ya watu kama hawa hayasikilizwi. Tutaendelea kupiga marktime Kwa tulio wengi na wachache kutengezwa mabilionea.
Simuelewi huyu mama anachoongea hapa,na anachosikitikia ni nini hasa? Mimi ni ni mkulima wa korosho naelewa ugumu wa kusafisha pori,kulima,kupima n.k. Si hata utoe basi plani yako?
Kwa hiyo tuachane na kilimo cha machine na umwagiliaji kisa ni cha garama sasa, Tuendelee na kilimo chetu cha bei poa cha kutegemea mvua na majembe kinacho limwa na wazee, Je hao wazee wakiisha watalima nani, Je mvua isipo nyesha tutakula nini Je hao vijana wafanye nini
@@birianination7097 usitupange vijana wenyewe tunalima njo kwetu tabora skonge kaliuwa urambo uwone vijana tunavyo Lima uyo bashe si tabora one, ila hapo somkubaliii