Huyu dada ALICHO kosa nadhan ni Elimu tu ila kichwani vitu vipo vya kutosha Sana yaani ana material mengi Sana, Big up 👊Sana shishi kuna vitu una vifanya unawapa SoMo kubwa Hawa wanao jiita wasomi na Wana kutamania na kuzitamania hizo akili zako we hujui tu ila ndio hivyo tena😅😅, big up Sana dada ang Mungu azidi kukubariki aixee😁🙏🙏 NB: Mnao jiita wasomi naamini lectures za shishi Zina wapa kitu, kazi ni kwenu kama Vodacom muendelee kubaki nyumbani au mjiongeze 😂😂
Hakuna kilichoharibika kitu cha msingi shilole ana upendo na ana upendo kweli na anajua kujitoa na ni kitu ambacho wengi hawawezi kukifanya sasa iwe ni yachi au sio yachi ndio kafanya sasa apewe sifa zake
Mashaalla natamani sana ningekuwa 𝐦𝐢𝐦 jaman najitahidi kutafta pesa lakin sifiki nachotaka lakin naamin huyu huyu Mungu namuomba ipo sk atanibariki nami niwe nazo 😂😢😢😢😢😢😢😢
Hongera sana shilole kutoa ni moyo kuna matajiri wakubwa lakini hawawezi kufanya ulilolifanta wewe Mungu akubariki sana jambo kubwa sana pamoja kuwa wanakuingizia lakini umefanya jambo la ujasiri.
Shishii hongera hatakama uwe mtumbwi umewapa rahaaa.umeonyesha wewe ni zungu la roho kwahicho ulicho jaaliwa na Allah umefanya Kwa uwezo wako.bimaana ungekua na uwezo hata ndege wangeipanda hao.matajiri wenye uwezo wengi tu hawaja wajafanya uliocho kufanya mungu akubariki sana
Kufunga ofisi Kwa ajili ya mapumziko ya wafanyakazi, nauli na vitu vingine vidogo vidogo inatosha sana Kwa Hali za mabosi wetu wa kibongo ni ngum kufunga ofisi na kuwaacha wafanyakazi washeerekee siku kama izi za mwaka mpya , so inatosha sana uko kuwatoa tu haijalishi ametumia gharama ndogo kiasi gan
@@agathakeneth6563 hakuna aliekataa ila waache uongo kutwambia wawe wanasema ukweli mie na family yangu nimekodi hio boti ya kipaa ni laki tu kutoka asubuh saa tatu mpaka saa mbili usiku nimerudi yeye anatwambia ni milioni 3 yatch tu sasa hio yatch au kiboti tu mskilize tena anasema nini?
Wabongo wanapenda sifa ila bdo sana ati milion tatu boat ya uvuvi njoo ukodi kilimanjaro huku au Zanzbar One Wanzanzibar wana hela ila kimya hwa wenzetu wanatuharibia Nchi Sifa nyingi punguzeni Sifa hizo
Ety ni moyo tuu sio hela thubutu ndo wanavosemaga waliopata fedha bila pesa kupata pesa sio rahisi acha kudanganya watu shishi food is not there without money mbona unakosea adabu mtaji wewe vp😂