Тёмный
No video :(

BATA LA SHILOLE NA WAFANYAKAZI WAKE KWENYE BOTI, WAFUNGA SHISHI FOOD NA KUENJOY PAMOJA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 108   
@hasnanassoro7142
@hasnanassoro7142 8 месяцев назад
Manshaallah ata km ni mtumbw ,amewapa laha wenzie,Allah akubaliki
@user-mo6tr3yt3m
@user-mo6tr3yt3m 7 месяцев назад
Hongera shishi baby
@alexmavindi2104
@alexmavindi2104 8 месяцев назад
Huyu dada ALICHO kosa nadhan ni Elimu tu ila kichwani vitu vipo vya kutosha Sana yaani ana material mengi Sana, Big up 👊Sana shishi kuna vitu una vifanya unawapa SoMo kubwa Hawa wanao jiita wasomi na Wana kutamania na kuzitamania hizo akili zako we hujui tu ila ndio hivyo tena😅😅, big up Sana dada ang Mungu azidi kukubariki aixee😁🙏🙏 NB: Mnao jiita wasomi naamini lectures za shishi Zina wapa kitu, kazi ni kwenu kama Vodacom muendelee kubaki nyumbani au mjiongeze 😂😂
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 8 месяцев назад
Kuna elimu, kuna busara na kuna hekima. Shishi huenda amekosa elimu, lakini amebahatika hivyo vingine. Mungu ambariki.
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 8 месяцев назад
Hongera sana sana
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 8 месяцев назад
Hongeraa sanaa Shishi baby anaroho safiii sanaa mpenzi, Maisha ni watu haswa wale wanaokuingizia pesaa
@user-sr9km3nk7r
@user-sr9km3nk7r 8 месяцев назад
Hongera sana dada shilole kwa kuwajal wafanyakaz wako
@jedidahmagulu3553
@jedidahmagulu3553 8 месяцев назад
Iyo ela uliyo tumia ungewapa posho wangekushukulu sana maana mambo ya kupanda boti hayana tija sana ni kama ushamba
@RehemaMasunga-ml7kt
@RehemaMasunga-ml7kt 8 месяцев назад
Hakuna kilichoharibika kitu cha msingi shilole ana upendo na ana upendo kweli na anajua kujitoa na ni kitu ambacho wengi hawawezi kukifanya sasa iwe ni yachi au sio yachi ndio kafanya sasa apewe sifa zake
@user-qv5tk3mt7g
@user-qv5tk3mt7g 8 месяцев назад
Hongera sana dada shilole nakupenda sana zaidi ya sana ❤❤❤❤❤
@laylayl5166
@laylayl5166 8 месяцев назад
MashaAllah mwenyezi mungu akuzidishiye NI mfano wa kuigwa kwa wengine walio mabahili wanao jali pesatu
@mwanjaarashidi7402
@mwanjaarashidi7402 8 месяцев назад
Hongera sana shishi
@Zuuh4286
@Zuuh4286 8 месяцев назад
Mashaalla natamani sana ningekuwa 𝐦𝐢𝐦 jaman najitahidi kutafta pesa lakin sifiki nachotaka lakin naamin huyu huyu Mungu namuomba ipo sk atanibariki nami niwe nazo 😂😢😢😢😢😢😢😢
@teedullah5708
@teedullah5708 8 месяцев назад
In shallah munqu atakuezesha
@Zuuh4286
@Zuuh4286 7 месяцев назад
@@teedullah5708 🙏🙏🤲🤲
@masikasaidi8805
@masikasaidi8805 7 месяцев назад
Yaani kutoka nikutoa ujinga na sress kama pesa kila siku wanapata kuinjoi ni vizir katika maisha km pesa inaruhusu
@user-qx4bb5is6f
@user-qx4bb5is6f 8 месяцев назад
Nimekupenda sna, Mungu azd kukuinua
@Mumbere-yk4sg
@Mumbere-yk4sg 8 месяцев назад
Shilole naku kubali sana from🇨🇩kuna ma bos wengin daaa😮😮
@sheikhalumbalambala2655
@sheikhalumbalambala2655 8 месяцев назад
Hongera sana shilole kutoa ni moyo kuna matajiri wakubwa lakini hawawezi kufanya ulilolifanta wewe Mungu akubariki sana jambo kubwa sana pamoja kuwa wanakuingizia lakini umefanya jambo la ujasiri.
@user-df1rx7xv8s
@user-df1rx7xv8s 8 месяцев назад
Nakupenda Sana shilole wewe ni mkarimu kwa watu wote.
@user-br4tl7jv9j
@user-br4tl7jv9j 8 месяцев назад
Najizuia kucheka lakin najikuta nacheka tu😂😂😂😂😂yatch Kama yatch🙌🙌🙌
@oman9880
@oman9880 8 месяцев назад
Mashallah manshallah ❤
@saidsalim6729
@saidsalim6729 8 месяцев назад
Yachiii😮 million 3, uo si mtumbwi wakuvulia chaza au una Jina ingne unaitwa yachii
@samwelkitalula698
@samwelkitalula698 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@frankngoloka5416
@frankngoloka5416 8 месяцев назад
Fanyeni na nyinyi mbona makasiriko,hapo ni lugha tu imebadirika yote ni Yale yale
@Mumbere-yk4sg
@Mumbere-yk4sg 8 месяцев назад
Kuna wengine wafanyakazi hawaja nunuliwa hata soda
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂mpemba
@mamakekhubeiby4206
@mamakekhubeiby4206 8 месяцев назад
Million 3 kenya ni pesa ngapi 😂😂😂😂😂😂
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 8 месяцев назад
Hongera sana shishi 🥰❣️💖💞
@nailaomar4810
@nailaomar4810 8 месяцев назад
Binaadamu hamna shukurani hata mfanyiwe nn subhanaallah
@naturelle1097
@naturelle1097 8 месяцев назад
😂😂😂😂good idea
@user-mj5pu6dz8q
@user-mj5pu6dz8q 8 месяцев назад
Hii ndo .....au ila hapa umetupga
@vero57
@vero57 8 месяцев назад
Hongera sana dada shishi
@user-wz9no5wx3g
@user-wz9no5wx3g 8 месяцев назад
Dada nakupenda Sana
@user-sr8tc8ke6q
@user-sr8tc8ke6q 8 месяцев назад
Hiyo Yachii Mamaaa😂😂😂😂
@ISSACKRICHARD
@ISSACKRICHARD 8 месяцев назад
Kwaiyo iyo ni yachi😂😂😂😂😂
@arnoldlusambo3921
@arnoldlusambo3921 8 месяцев назад
😂😂😂
@renatusantidius8123
@renatusantidius8123 8 месяцев назад
Wabongo bhn hiyo fiber inawasongeza tu kwenye boti iliyo andaliwa😂
@babasandra638
@babasandra638 8 месяцев назад
Hii ni boat ya kuvulia samaki ama ni yach mbn wazingua
@hamidumpiga6283
@hamidumpiga6283 8 месяцев назад
Uwaongeze na mishahara
@user-xr5tx6rc7t
@user-xr5tx6rc7t 8 месяцев назад
Big love shishi aminiaaaa
@FransiskaJohn-fq1nf
@FransiskaJohn-fq1nf 8 месяцев назад
Sisi bosi wetu alisema hajui sikukuu😢
@user-wu9zz1bm9h
@user-wu9zz1bm9h 8 месяцев назад
Shishii hongera hatakama uwe mtumbwi umewapa rahaaa.umeonyesha wewe ni zungu la roho kwahicho ulicho jaaliwa na Allah umefanya Kwa uwezo wako.bimaana ungekua na uwezo hata ndege wangeipanda hao.matajiri wenye uwezo wengi tu hawaja wajafanya uliocho kufanya mungu akubariki sana
@DOTOCHARLES-so7rh
@DOTOCHARLES-so7rh 8 месяцев назад
Kabisa
@MarkKissela-vk9ro
@MarkKissela-vk9ro 8 месяцев назад
Naomba kaz #shishifood
@halimaoman8726
@halimaoman8726 8 месяцев назад
Shilole nakupenda sana una ubagui ndugu yngu chezea wanyamwezi wwe atuna mbaba wala ubagui sote Ni waja ishu miaka mingi shilole waalh
@sabihaibrahim143
@sabihaibrahim143 8 месяцев назад
haya ni kama yale maboti yalokuwepo foro ya kuvukia visiwani huku nilikodi elfu 40 sasa milioni 3 kaaa
@user-dl2cr9dk1m
@user-dl2cr9dk1m 8 месяцев назад
Bora ww shilole Kuna mabosi wengine hata mshahara hawatoi anajijali tu yy
@simonmalegesi414
@simonmalegesi414 8 месяцев назад
Siku nyingine mvae life jaketi siyo mnaingia kwenye mtumbwi kiboya.
@giztony2009
@giztony2009 8 месяцев назад
Eti yachi yani hizi takataka zinatuonaje hivi yachi zipo hivi?
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 8 месяцев назад
Ngalawa siku hizi inaitwa yatch daah hata April fools bado 😂😂😂😂😂😂
@agathakeneth6563
@agathakeneth6563 8 месяцев назад
Kufunga ofisi Kwa ajili ya mapumziko ya wafanyakazi, nauli na vitu vingine vidogo vidogo inatosha sana Kwa Hali za mabosi wetu wa kibongo ni ngum kufunga ofisi na kuwaacha wafanyakazi washeerekee siku kama izi za mwaka mpya , so inatosha sana uko kuwatoa tu haijalishi ametumia gharama ndogo kiasi gan
@user-yx3ic8zy9e
@user-yx3ic8zy9e 8 месяцев назад
@@agathakeneth6563 hakuna aliekataa ila waache uongo kutwambia wawe wanasema ukweli mie na family yangu nimekodi hio boti ya kipaa ni laki tu kutoka asubuh saa tatu mpaka saa mbili usiku nimerudi yeye anatwambia ni milioni 3 yatch tu sasa hio yatch au kiboti tu mskilize tena anasema nini?
@hellendaniel3809
@hellendaniel3809 8 месяцев назад
Iwe ngalawa,iwe mtumbwi vyovyote vile.
@huldamichael4445
@huldamichael4445 8 месяцев назад
😂😂😂😂shilole unanichekeshaga Sana!!eti yaani Mungu😅😅
@dayana5513story
@dayana5513story 8 месяцев назад
❤❤❤❤
@maulidimopen1273
@maulidimopen1273 8 месяцев назад
Mbona Uchebe humpi Furaha kama wapenda watu wafurahi ??
@nassormessi-zk5cz
@nassormessi-zk5cz 8 месяцев назад
Wabongo wanapenda sifa ila bdo sana ati milion tatu boat ya uvuvi njoo ukodi kilimanjaro huku au Zanzbar One Wanzanzibar wana hela ila kimya hwa wenzetu wanatuharibia Nchi Sifa nyingi punguzeni Sifa hizo
@vero57
@vero57 8 месяцев назад
⛵ yacht
@JehovaJonas
@JehovaJonas 8 месяцев назад
Dah natapaje ajira hapo jamani
@user-bx3kl4hn6j
@user-bx3kl4hn6j 8 месяцев назад
Saizi mnatamba baadae mkiumwa watanzania tuwachangie ila bata mnakula peke yenu
@ttss7716
@ttss7716 8 месяцев назад
Me nampenda huyu mama sana ana juwa kuishi na watu❤
@MichaelPetro-td1ki
@MichaelPetro-td1ki 8 месяцев назад
Una kitu kipekee sanaa dada shilole mung akubalki jaman
@haddrazee8848
@haddrazee8848 8 месяцев назад
Eet yatch hata kama cjui yatch lakn dada yangu hilo ni bot
@triplea3463
@triplea3463 8 месяцев назад
Boti mtubwi huu😂😂😂
@kilimanjaro77international26
@kilimanjaro77international26 8 месяцев назад
MV Shishii mwenyewe akiwa nahoza Mtumbwini
@edwardleonard7402
@edwardleonard7402 8 месяцев назад
Hogera shshi
@CostaYesaya-sh5gx
@CostaYesaya-sh5gx 8 месяцев назад
Dada endelea kupambana wenzako wanadanga na kuwafundisha umalaya watoto wao
@giztony2009
@giztony2009 8 месяцев назад
Hili shamba eti yachi kuna yachi pale mbona ni tofauti na zile za akina mondi
@kisubikilozo6128
@kisubikilozo6128 8 месяцев назад
Uwa wanalipwaga gapi kwa mwezi tusaidieni tujuwe mishaara ili turudi tuombe ajira ugaibuni tumechoka jamani shishi
@user-py7gb7wr8v
@user-py7gb7wr8v 8 месяцев назад
Hapo kwennye milioni tatu ndo umeaaribou hapo
@user-uu7mg3ff8l
@user-uu7mg3ff8l 8 месяцев назад
saf san shishi mm ni shabiki wako kindaki ndaki karibu moro
@adammjomba5814
@adammjomba5814 8 месяцев назад
Mzee karume alisema kuongoza sio kusoma ,
@mukeshimanarose1334
@mukeshimanarose1334 8 месяцев назад
😊❤❤❤🎉
@papiampangaje
@papiampangaje 8 месяцев назад
Dodoma anamgahawa wapi
@ashachitemo7816
@ashachitemo7816 8 месяцев назад
Kule kilimo kwanza
@binrashid8671
@binrashid8671 8 месяцев назад
M3 umeinunua hio boat (fiber) au umekodisha? Kama umeinunua hapo sawa
@subiraaddo864
@subiraaddo864 8 месяцев назад
Yaan fibre iuzwe million 3 kweli? Fibre inauzwa Hadi mil. 100 unaongea nn wewe??
@sinzoshabani6855
@sinzoshabani6855 8 месяцев назад
Hamna fiber ya m3 hata siku Moja
@maswamills3161
@maswamills3161 8 месяцев назад
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏♥️💯.
@teedullah5708
@teedullah5708 8 месяцев назад
Honqera shishi mimi na kufatiliya sn
@eliwazadaniel6535
@eliwazadaniel6535 8 месяцев назад
Pale si msasa mavi
@officialludahtz8152
@officialludahtz8152 8 месяцев назад
Hapa shilole katupiga
@MussaKingu255
@MussaKingu255 8 месяцев назад
Faiba hiyo ukifunua juu ni myumbwi wakuvulia mzee bot mnqzijua lakini!
@RabiaIddi-ci2uz
@RabiaIddi-ci2uz 8 месяцев назад
Hebu kuweni waelewa hiyo inawapeleke kwenye yach bot
@user-vp1zu3fb5w
@user-vp1zu3fb5w 8 месяцев назад
HIYO ML3 BADALA YA KUKODI BOTI UNGETUMIA KWENDA KUWALIPIA GHARAMA ZA MATIBABU WALE WALIO SHINDWA KUJIGHARAMIKIA UNGEINJOI HATA KWA MUNGU ,
@user-uo8xw9kr4b
@user-uo8xw9kr4b 8 месяцев назад
Sio mbaya kuwafurahisha wale wanovuja jasho kukuingizia hiyo pesa.
@liberatusjackson5045
@liberatusjackson5045 8 месяцев назад
Unashindwa kukodiii bot zakishua hayo siyawavuviii.jierewe kama msaniii hahaha mama ntilie
@theuniversetv2870
@theuniversetv2870 8 месяцев назад
Ety ni moyo tuu sio hela thubutu ndo wanavosemaga waliopata fedha bila pesa kupata pesa sio rahisi acha kudanganya watu shishi food is not there without money mbona unakosea adabu mtaji wewe vp😂
@MabulaDoto-xb6xr
@MabulaDoto-xb6xr 8 месяцев назад
Kama glass ya juice anauza elfu 5 kwanini asichezee pesa wakati wajinga wanazipeleka wenyewe
@fettyrashid9042
@fettyrashid9042 8 месяцев назад
Wewe msukuma nawewe 😅
@MabulaDoto-xb6xr
@MabulaDoto-xb6xr 8 месяцев назад
​@@fettyrashid9042nn imekugusa ????
Далее
RAJABU ATAKA KULELEWA NA SHILOLE
2:35
Просмотров 136 тыс.