Тёмный

MASANJA MKANDAMIZAJI ATAPELIWA NA WEZI WA MITANDAO.... Wampa ujumbe wa kwenda kanisani KWAKE 

FEEL FREE CHURCH Dar es salaam
Подписаться 199 тыс.
Просмотров 104 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 229   
@ngosha1tv321
@ngosha1tv321 4 года назад
Kwanza mm nashukuru umetoa somo kubwa saaaaaana,, ubarkiwe mtu wa Mungu
@saidasimba9979
@saidasimba9979 4 года назад
Harafu iyo namba ya mataka inatumika sana kutuma SMS izo za wiz
@alexkalonga3632
@alexkalonga3632 4 года назад
Be blessed bro!!
@jacksonsaid237
@jacksonsaid237 3 года назад
Imetisha mwanawane
@jacksonsaid237
@jacksonsaid237 3 года назад
Nakuelewa Sana masanja by Evangelist Jackson msukuma god bless you
@EliahKayombo
@EliahKayombo 3 месяца назад
Original comedian masaka ahaaaa
@joycentongani388
@joycentongani388 3 года назад
Ahsante masanja
@mkopa26
@mkopa26 4 года назад
Mie wamenipigia leo ila dah nikakosea nikawaambia sina kiti kwenye airtel money ningejua ningewazungusha washenzi hawa
@riziquiebravvy7030
@riziquiebravvy7030 4 года назад
Asante kwa somo zuri
@noelambondeka6942
@noelambondeka6942 2 года назад
mungu awasamehe kwakweli
@Isack_Leo
@Isack_Leo 4 года назад
Ila umeyasumbua unaweza kukuta yanacheki hii video yako Jinga sana!😂😂😂😂😂
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 года назад
😂😂😂😂😂
@petersagala7756
@petersagala7756 4 года назад
Ila watu wawe makini ukitumiwa hela haiwezi kuja namba ya simu huwa ni jina kama M-PESA, TIGOPESA etc
@jacksonsendama9458
@jacksonsendama9458 4 года назад
Me ni mfanyakazi wa halotel halafu wakanipigia kwenye namba ya voda halafu wanasema wametoka halotel
@briannyiti8234
@briannyiti8234 4 года назад
🤣🤣🤣🤣
@hadijahmwajombe9588
@hadijahmwajombe9588 4 года назад
🤣🤣😂😂😂😂😂🤣😂😂
@thepresidenttobe5481
@thepresidenttobe5481 4 года назад
😂😂😂😂Hawa watu Mungu awaokoe
@comics3437
@comics3437 3 года назад
😀😀😀
@abbasmoledina.
@abbasmoledina. 4 года назад
Umewaweza Na ulivyo mpotezea mdaa ume waokoa nawengeni kutapeliwa good job I do the same
@emanuelbrysonshauritv.1638
@emanuelbrysonshauritv.1638 4 года назад
Big up bro kazi nzuri
@jacksonsaid237
@jacksonsaid237 3 года назад
Imetisha pasta
@travisg.online3818
@travisg.online3818 4 года назад
Hatarii sana watu wako very sirius maisha
@linussiwitilisitv4830
@linussiwitilisitv4830 4 года назад
Asante sana kwa elimu mtumishi Masanja
@jacksonmakasi
@jacksonmakasi 4 года назад
Wasanii wamekutana na msanii, vichwa gongana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@sajadkimwaga6663
@sajadkimwaga6663 4 года назад
msanja bna mbadilisheni kitengo
@pintymelodytz913
@pintymelodytz913 4 года назад
😂😂😂 Pastor Umewaweza Sana
@zakyahya4645
@zakyahya4645 4 года назад
Kazi kweli kweli
@daughterofgod9185
@daughterofgod9185 4 года назад
Dah! Asante sana maana hapo ingekuwa Mimi tayari duh! Hatari sana.
@godlistenmaridadi754
@godlistenmaridadi754 4 года назад
Kuna sababu tcra kusimamia hili maana wengi wanalizwa
@mjumbemwanda1113
@mjumbemwanda1113 4 года назад
Haaaah masanja noma weeeeh nakubal broh😁😁😁😁😁
@rahelgika3870
@rahelgika3870 4 года назад
😀😀😀 mimi walinipigia cku moja wakanieleza hivyo hivyo, ile wananiuliza umeona msg ya muamala nasema bado, wakatuma tena kila wakiniuliza umeona msg nasema bado walirudia zaidi ya mara sita wakituma sms ya muamala wakipiga nasema bado sijaona sms yeyote, nikasikia wapembeni yake anasema duuh!! Akakata cm hawakunipigia tena 😀😀😀
@ferarunm7455
@ferarunm7455 2 года назад
Hhhhhhh umenisoma somo
@shifumponda666
@shifumponda666 4 года назад
Big up broo umeongea point sana broo
@donsuatv1254
@donsuatv1254 4 года назад
Alie ona Masanja ana mwandiko mbaya like
@ebenezerfreight3309
@ebenezerfreight3309 4 года назад
Tcra Mko wapi au mnaangalia Post za Wapinzani?
@husseinlatifa1443
@husseinlatifa1443 4 года назад
Siku nyingine wakinipigia nitawazungusha na Mimi mpaka nitumie vocha yao ya elf 20, Tena ili kuwatia presha wakiniuliuliza account ina sh. Ngapi nawaambia Ina laki nane nimekopeshwa na chama Cha ushirika kwa ajili ya kilimo Cha ufuta
@charlesmkombozi9522
@charlesmkombozi9522 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@petermanala6138
@petermanala6138 6 месяцев назад
Watakuganda hao
@yohabumlelwa5894
@yohabumlelwa5894 3 года назад
HALO WALINIIBIA 10000 WALINIFUNGIA NA LINE HALO XAMEKUA ADVANCED
@idrisabakari584
@idrisabakari584 3 года назад
Sasa hii kusajiri line Kwa vidole inamaa gani?
@tjvuri4475
@tjvuri4475 4 года назад
Daaa! Siku l moja ivi wangeniliza asee
@ibrahimgwasma235
@ibrahimgwasma235 3 года назад
Usitapeliwe wew Nani Massanja Mateja nao wapo kazini
@farajapeter9707
@farajapeter9707 4 года назад
Hee ilinikuta nilihangaika kweli, ckuwa najua 😀😀
@johnayubusaidi4514
@johnayubusaidi4514 3 года назад
Lakini Hawa jamaa ungewapeleka kwenye mamlaka husika. Wamewaibia wengi Sana.
@noelambondeka6942
@noelambondeka6942 2 года назад
tenaaaaa hua wanahekima sana hao matapeli
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 4 года назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Naona Roho Mtakatifu alimgusa yule mwingine yule konkodi akakutambua.
@elizabethmwash5117
@elizabethmwash5117 3 года назад
Da! me nimewahi liwa jaman
@beautfultanzania2596
@beautfultanzania2596 4 года назад
Una mwandiko mbaya model angu😀😀😀
@stevenkambeytz2459
@stevenkambeytz2459 4 года назад
Hivi inamaana hawajakufahamu kabisa kua wew ni Masanja mujanjaa
@dumamnyama5131
@dumamnyama5131 3 года назад
🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣🤣🤣haki ya mungu jaman khaaaaa kazi inainaendelea
@Isack_Leo
@Isack_Leo 4 года назад
Ngoja waendelee na watu wengine!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@jacksonmalolage9476
@jacksonmalolage9476 4 года назад
Et wao kaz yao ni kulima watu😁😁
@ditrickkomba9173
@ditrickkomba9173 4 года назад
Kazi kaz
@zackrichard3617
@zackrichard3617 3 года назад
Imenipata hii leo ... Nilivomwambia aache utapeli jamaa kanitukana bonge la mtusi.
@Deumandelamatty
@Deumandelamatty 4 года назад
😂😂😂😂 Wameshituka wenyewe
@imaculatadominic7005
@imaculatadominic7005 4 года назад
kutapeli hajafanikiwa na kumsumbua umemsumbua vya kutosha safiiiiiii
@johnvascogodfrey7070
@johnvascogodfrey7070 4 года назад
Hata Mimi walishanipigia hao hahahahhaaha
@shaddybmc8342
@shaddybmc8342 3 года назад
Saf sana masanja. Mchungaj wa mfano. Inabid wachungaj waelimishe jamii kwa vitu kama hiv
@manasemwakilasa5931
@manasemwakilasa5931 4 года назад
Mashenz Sana kunasiku kidogo wanipige
@christianchando7041
@christianchando7041 3 года назад
Ina maana huyo tapeli anashindwa kutambua sauti ya Masanja?
@seifzongo320
@seifzongo320 4 года назад
😃😃😃😃 walinipgia nkawambia sijapata mesej wakaniuliza salio lako kias gan,nkawauliza nyie customer care na hamjui salio langu shwain kabisa yakakata sim
@godfreyathumani9912
@godfreyathumani9912 4 года назад
Hao wehu ata mimi ninazo record zao walivyo taka kunipiga
@gauedwin1960
@gauedwin1960 4 года назад
🙆🙆🙆 cornmen hawana adabu,daah wanataka kuimbia hata mchungaji..hata majina hawana eti fatma matakataka😂😂😂
@rosedaniel9210
@rosedaniel9210 4 года назад
Ahahah nomaa
@naomijohn1273
@naomijohn1273 4 года назад
Hahahaha uwiiii jaman nmecheka Leo na masanja Mimi
@profnditu1106
@profnditu1106 3 года назад
Ha ha ha ha mecheka sana
@ibrahimlameckministry1867
@ibrahimlameckministry1867 3 года назад
Good
@hustlerchembes786
@hustlerchembes786 5 месяцев назад
Kaka SASA SELIKARI INAFANYA NN WAKATI SAUTU IMEFAAMIKA NA NAMBA WATAKAZOTOLEA
@alphoncenaalphonce1667
@alphoncenaalphonce1667 3 года назад
😂😂😂😂😂 masaka,hahahaha uwiiiii
@jacksonmalolage9476
@jacksonmalolage9476 4 года назад
Daaaah juzi wamenipigia nkawapa vitu vya moto 😁😁
@christophermgoli1236
@christophermgoli1236 4 года назад
Wamekutana na mtumishi mapepo yanawatoka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ashuramyonga90
@ashuramyonga90 4 года назад
😁😁😁nawalivo serious kama kwel vle, hii naamini cos namm waliwah nifanyia hvoo daah nikashtukia af wanakwambia usikate simu ad ufike kwawakala😂😂😂
@husseinlatifa1443
@husseinlatifa1443 4 года назад
🤣🤣
@petermanala6138
@petermanala6138 6 месяцев назад
😂😂😂😂alafu wanasaut za utulivu
@djcalvin6320
@djcalvin6320 4 года назад
Kama taka taka hivi 😂😂😂😂😂
@gervaskasala7321
@gervaskasala7321 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣 mamae zao wameumbukaa hapo,nimekutana nao Sana ukiwajua ukawatukana aise wanatukana
@petrokomba1221
@petrokomba1221 4 года назад
🤣🤣🤣🤣Broo mtesaji
@jescadaniel4716
@jescadaniel4716 4 года назад
Et kazi inaendelea
@NoordenAlbulush
@NoordenAlbulush Год назад
Jmn kweli😢😢😢
@simonamon5271
@simonamon5271 3 года назад
Daaah jamani masanja umenishinda Tabia.😁😁😁🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@Mariaclala536
@Mariaclala536 4 года назад
😀😀😀 aisee
@Hylinekemunto-j1m
@Hylinekemunto-j1m Год назад
Mungu anawaona waizi awa mangaidi
@iddysimba9723
@iddysimba9723 2 года назад
YAAN HAO NI WEZI
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 8 месяцев назад
Umenichekesha Sana
@afandechanel1507
@afandechanel1507 4 года назад
Una haribu biashara ya 2 😀😀😀😀😀😇
@yohanasainajoise8962
@yohanasainajoise8962 Год назад
Daah me Juzi wamenitapeli laki 5 na 80 ctokaa kusahau
@joycekambuga6286
@joycekambuga6286 Год назад
Matapeli watafika mbinguni wamechoka sana
@burundisgottalent2184
@burundisgottalent2184 4 года назад
Eti kama unalima mpunga, mi nalima watu😂
@veronicaerasto7249
@veronicaerasto7249 4 года назад
😁😁😁😁😁 et kama takataka masanja bhn unafurahisha
@thomasamosmaick248
@thomasamosmaick248 4 года назад
Hao wezi kwel ila Mimi nalaum selikal
@marcondokeji8982
@marcondokeji8982 4 года назад
Kwa kweli umeyaumbua Sana
@edwardmkwelele
@edwardmkwelele 4 года назад
Noo mpeleke polisi
@ericwonder2449
@ericwonder2449 2 года назад
😁😁😁😁!!! Yaaani Masanja Masaka au Mataka.
@aizackcheche8830
@aizackcheche8830 2 года назад
Apo umemuweza
@prettyh7509
@prettyh7509 3 года назад
Lakin nadhan wanasaidiana na tcra au wafanyakaz wa makampuni za mawasiliano , kiukweli walaaaniwe
@teddyndungurusabnu4792
@teddyndungurusabnu4792 4 года назад
Jamani nimecheka masanja weee siku niliwasumbua walivyogundua kua nimewashitukia walinitukana😂😂
@simonamon5271
@simonamon5271 3 года назад
HAPO wanaamini pesaa imeingia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@kabonakabona8121
@kabonakabona8121 4 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 masanja akili yako unaijua mwenyeweeee
@franceslenis4512
@franceslenis4512 4 года назад
Huyo mbuzi anaacha kufanya kazi
@abdullaothman3772
@abdullaothman3772 3 года назад
😀😀😀Hawa matapeli wanahic watu wote ni walemavu wa akili
@starickshaba6368
@starickshaba6368 4 года назад
😂😂😂😂 hela ya sadaka
@veroslaa1041
@veroslaa1041 2 года назад
Hahahahaha duuuuuu jamani
@raymondrichard4622
@raymondrichard4622 4 года назад
Kazi ina endelea hahahahaaaaaa,
@agnesslyatuu8026
@agnesslyatuu8026 4 года назад
Yaani Mtumishi umenichekesha nakupendaga saaana .
@mwanawamfalmetz
@mwanawamfalmetz 4 года назад
Kumbe mnafahamiana?
@anthonitemba1519
@anthonitemba1519 4 года назад
Uyo tapeli baada yakundua anae mtapeli amemalizia kwa busara mi niliambulia kutukanwa matusi ya kutosha kisa niliwashtukia michezo wao
@benjaminagaack3535
@benjaminagaack3535 4 года назад
Hahahaa walimuibiaga mwanangu ngoshaa,,,,, hahahAAz hawa majamaa wajanja sana
@barakaherman
@barakaherman 4 года назад
Tumekushindwa ngoja tuendelee na watu wengine
@zagaronondo8130
@zagaronondo8130 4 года назад
TCRA wanawafaham na kunapasent wanagawana
@momepeter9161
@momepeter9161 4 года назад
Kuna watu washa vurugwa na maisha😆😆😆
@happinessmuhanza2005
@happinessmuhanza2005 4 года назад
Jana tu yamefanya huo ujinga tumeyasumbua yametumia vocha yakutosha yalotutukana htr
@shifumponda666
@shifumponda666 4 года назад
Jamaa wanaibia wa2 pesa wenye hali ya chini
@catherinemhagama7505
@catherinemhagama7505 8 месяцев назад
Mimi Ni mtu mzima Sana lakini wananituma niwatukane
@NoordenAlbulush
@NoordenAlbulush Год назад
😂😂😂kazi wanayo
Далее
SSUSA: Masanja Mkandamizaji
36:57
Просмотров 1,1 млн
Китайка стучится Домой😂😆
00:18
小路飞嫁祸姐姐搞破坏 #路飞#海贼王
00:45
ASKOFU GWAJIMA AWASHA MOTO TENA
8:13
Просмотров 23 тыс.
Китайка стучится Домой😂😆
00:18