Beka flavour we mwalimu wa mziki napendaga sana nyimbo za hisia na za kuliwaza,kaka unanikoshaga na nyimbo zako,,katika lile kundi lenu la ya moto bend kwangu we ulikuwa number moja hadi sasa,,fanya ujiongeza zaidi upige colabo na wasanii wakubwa,,,mashairi hapo kwao,,,hawakuwezi mkufunzi ,, bonge la ngoma,,,,from Kenya Mombasa.cha kuongezea beka fanya ubadilishe maproducers,,,,,Hakikisha urecord kwa s2kizzy,,,mocco genius,,Abba process,,,T touch.
Yamoto Band Most talented and gifted solo Artist. 1st. 🎙Beka Flavour 2nd. 🎙Mbosso 3rd. 🎙Aslay 4th. 🎙Emock Bella Beka flavour is more talented in Music than all the rest. I can't stop listening to his sweet hit songs. Beka flavour we love your music more. Love from Sierra Leone 🇸🇱🇸🇱
Beka +254 hapa nakutambua best artist kutoka +255 besides alikiba you the next biggest artist . You never disappoints. Wapi likes za Beka flavour baba lao🔥🔥
Beka kweli wewe ndio mwalimu wao, mistari kali Sana. Bahari ya mapenzi ina kina kirefu usiianze Kama huezi kpiga mbizi Umetisha Sana mkubwa wangu. Japo hua wapiga kimya Sana ningeomba achia ngoma back to back . Heko pia kwa maximizer kwa kupiga beat kali mdundo umetisha Sana