Тёмный

MPENZI WA BEKA FLAVOUR AGOMA KUBADILI DINI MPAKA NDOA "MAMA YANGU HAPENDI UISLAMU" 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 19 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

30 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 89   
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 5 дней назад
Beka umeokota dodo chini ya mpera,unamwanamke mzur na mwenye akili sana mashallah❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@khadijasaleh898
@khadijasaleh898 7 дней назад
Beka una mwanamke mzuri sana hongera💕
@miniee_134
@miniee_134 День назад
Ila ndo amuoe sasa
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 дня назад
Allah akuvushe salama happy wangu najua hapo unayopitia katika hali hii
@hellenalex9541
@hellenalex9541 7 дней назад
My favorite couple 🥰
@MuniraShughuli-kc7vj
@MuniraShughuli-kc7vj 6 дней назад
Kuzini tu tu muogopeni Mungu jamani na moto wakw😭
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 дней назад
Muoe tu mtoto happy karembooooo❤❤❤❤❤
@elizabethbigilwa6822
@elizabethbigilwa6822 4 дня назад
Wewe bi. Dada Mungu mmoja mtangazi Acha mambo yako
@rajah9328
@rajah9328 6 дней назад
Ukwel vile mnavyopendna watu wengi wanapenda couple yenu 100%. Beka wacha bangi zako Ndoa muhimu sana Dini zote
@GladnessSamson-xk2ii
@GladnessSamson-xk2ii 2 дня назад
Hii couple naipenda mnooo❤
@Rachel-94tz
@Rachel-94tz 6 дней назад
Happy,usimwache Mungu kwaajil ya kituzbali acha kitu kwaajil ya Mungu,IMAN NI ZAWADI KUTOKA KWA MUNGU,SHIKILIA IMAN AKO,,maan hata mbinguni hutoenda na mmeo,Bali nafsi Ako na IMAN AKO ndo itakuponya
@nahlahassan-fd6le
@nahlahassan-fd6le 5 дней назад
Weww uislam ndio dini ya haki izo dini nyengine zoote haramuu
@Rachel-94tz
@Rachel-94tz 5 дней назад
@@nahlahassan-fd6le Masha Allah,,ko ukiwa muislam tu pepo yako!??
@Mtoto-ig5vw
@Mtoto-ig5vw 4 дня назад
@@nahlahassan-fd6le😂😂😂
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 дней назад
Mhm hapo mtihani.wakaka oeni wadada wa dini yenu .mpate kumjua mungu.wakristo ni wakristo,na waislam waislam.sasa mnachnganya dini afu kumbqdilshq mtu dini ataka mafunzo hasa apate kuingia miguu yte.sasa beka dini ya kislaqm imekukalia kushoto utaweza kumfundsha kweli happy.na happy kanaelekea kana khofu ya mungu.
@DM.2200
@DM.2200 6 дней назад
Umeongea kweli aisee au wafungr ya bomani ili kuondoa utata kila mtu kwake ila shida tena itakuja kwa watoto😢
@miniee_134
@miniee_134 День назад
Kweli kabisaa 💯💯💯happy ataishia kupenda zaidi dini yake ya kikristo kwasababu beka mwenyewe dini ya kiislamu kashasema hapendi vitu hivyo,, Astaghfirullah, Allah awafungulie wote wawili mioyo Yao na waikubali na kuuipenda dini ya kiislamu.
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 5 дней назад
Beka unazingua😢😢😢 sana mwanamke amejitoa kwa lolote lakini unapuuzia
@Mtoto-ig5vw
@Mtoto-ig5vw 4 дня назад
Waowane kiislam alaf after apo kila mtu abaki kwenye dini yake basi 😊
@shakila3982
@shakila3982 3 дня назад
Atakuwa ameenda kinyume, Mwenyezi Mungu hafanyiwi njaja
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz День назад
Allah hachezewi
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 6 дней назад
Nawapenda
@Kabwela776
@Kabwela776 6 дней назад
Mkuu kuwa na akiba ya maneno hawajui wewe wanawake wa kitanzania wanawake wengi wanyenyekevu sana wakati wa uchumba ila ukimuowa wengi uwa wanabadilika kabisa
@Mimy_keys
@Mimy_keys 5 дней назад
Eti Nimebadilisha Dini Ila bado nna ka Ulokoke mana sijawahi kwenda maskini 🥹 Kama Pete imechukua myaka 10 Ndoa jee!!! Mpaka aniowe lililililiiiiiii 😂😂😂😅😅😅
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 6 дней назад
Huyo mwanamke hafai inamaana mama yake ni adui wa dini yetu ya kislaam kwa mie akae na mwanaye tu huyo mtoto wake
@Shuu.A
@Shuu.A 6 дней назад
Huyu mwanamme kwani unamuona mzima hana lolote
@clustermqsir9840
@clustermqsir9840 6 дней назад
Wewe ndio adui wa hiyo dini
@user-ih6ng6sf6o
@user-ih6ng6sf6o 3 дня назад
❤❤❤
@MwanaidiSephu
@MwanaidiSephu 7 дней назад
Nice😊
@jacquelinekennedy5740
@jacquelinekennedy5740 6 дней назад
Presenter wakike try to be proffesional in just a good way .. kuna vitu unaongea they don’t have to be said there kama hapo kweny kubadili dini
@user-hi8le2vb7z
@user-hi8le2vb7z 6 дней назад
DAKIKA YA 9 NDO UKATHIBITISHA KUWA UNACHOKIFANYA NI HARAMU😊
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 дней назад
Ushungi na nguo mikono kaoshi😂 yan waz😢 Ila ushungi umekupendezaa
@Naju645
@Naju645 6 дней назад
Mwanaume anaonekana mjanjamjanja huyu atamzalisha paka watoto5 naasimuoe uislam haina Pete hiyo Pete zuga tu
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 6 дней назад
Bs ukiona ivo ata beka haswa Li
@Kabwela776
@Kabwela776 6 дней назад
Naona huyu mwanamke anataka ndoa tu Na awe na uhakika na watoto wake watatunzwa Na apate mtelemko mjini ila huyu fala mwanaume inaonekana amependeza zaidi , mwanamke ni mrangi, mnyaturu, mwiraqw, mchaga au makabila ya tanga au mpare?
@PrincessHellen-pg1oy
@PrincessHellen-pg1oy 7 дней назад
😂 happy jamani hembu kua na msimamo kwenye dini unatuchanganya 😮
@ashamahadi5281
@ashamahadi5281 6 дней назад
Ss mtapambana upate ndoa mbona mnazaa watoto mama anaangalia tu kuwa na msimamo.
@HazinaElisha
@HazinaElisha 4 дня назад
Akitaka aache kuhama na limimba lakee hilo
@salwamohammed4787
@salwamohammed4787 7 дней назад
Subuhanna allha😢😢
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz День назад
Mtihani mkubwa sn wa2 hawajielewi unazaa njee ya ndoa tena kwa makusudi
@Kabwela776
@Kabwela776 6 дней назад
Huyo mwanamke ni kabila gani ?
@Kabwela776
@Kabwela776 6 дней назад
Huyo mwanamke ni kabila gani ? Mwanamke anaweza kuliwa na wala usijue mkuu kuwa Na akiba ya maneno na mwanamke wa kitanzania kutaka kuolewa na wewe haimaanishi anakupenda mara ameona yuko mkono salama kiuchumi 😅
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 дней назад
Acha kutoa vipete nenda kwao katoe mahari tangaza ndoa usiri usiri na watoto ndo wanakuja ao
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 6 часов назад
Mamako hapendi uislam lakin anapenda unavyozaa na kijana wa kiislamu bila kuolewa eeh 😂
@marthasonia5005
@marthasonia5005 3 дня назад
👍👌
@sarastephano3409
@sarastephano3409 3 дня назад
Huyu dada nampenda anamisimamo
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 2 дня назад
Angekuwa na Msimamo angebeba mimba nyingine apo wote awajielewi wamekutana pipa na mfuniko 😏
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz День назад
Msimamo gani alokuonesha ukavutiwa nao
@DM.2200
@DM.2200 6 дней назад
Fungeni ndoa ya bomani kiishe kila mtu abaki na dini yake coz wanaweza funga ndoa kiislam na dada akabaki kwenda church itakua haina maana ya kubadilisha din
@salmahalfani6307
@salmahalfani6307 4 дня назад
Waislamu hatuna ndoa ya bomani ni uzinzi tu kama ni bomani ni Bora waendelee kazini hivyohivyo na uzinifu wao. Wasihadae walimwengu bure.
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 7 дней назад
Happy wala usijilaumu kuwa haujawahi kuenda mkitini wala kuswali uka jiona ww sio muislam kuna watu wamezaliwa waislam na hawapajui msikitini. Beka kama ulimbadilisha mtt wawatu dini inabidi umfundishe na umuelekeze
@lenniefei6710
@lenniefei6710 6 дней назад
Kweli ila swala ndio nguzo ya Imani, na wala sio tu kuenda msikitini pekee
@mpalazotz7753
@mpalazotz7753 7 дней назад
Mtihan huo
@user-wu8qe4fv4j
@user-wu8qe4fv4j 6 дней назад
Waiwane ila kilamtuue abakiye ku dini yake
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz День назад
Yani huyu mwanamke hajielewi kabisa ukiona mwanamke au mwanaume anabadilisha dini kwasababu ya mapenzi bc ujue wana mapungufu ya akili wote wawili m2 habadilidhi dini kwasababu ya mapenzi anabadilisha kwasababu ya kuamini dini alokua sio sahihi na kuamua kwenda dini nyengine
@hanifaa1487
@hanifaa1487 6 дней назад
😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏😏
@najmasaid7057
@najmasaid7057 3 дня назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wanakuchefua
@RuwaidaBakar
@RuwaidaBakar 4 дня назад
Mundesley dini huyo dada uislam ndiyo dini yahaki
@Kabwela776
@Kabwela776 6 дней назад
Wanawake hawana dini wanabadilisha dini kabisa
@alphredinaalphonce7043
@alphredinaalphonce7043 5 дней назад
Imeandikwa wap ndugu
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 4 дня назад
Muone huyu fuvu lake ebu tuheshim kidg jamn 😢
@Kabwela776
@Kabwela776 4 дня назад
@@ukhutfatumah1154 hamna dini nyie hamna misimamo kwenye maslahi kokote mnaolewa Na dini mnabadilisha sababu maisha yenu ni watu tegemezi sana bila uwepo wa sisi wanaume nyie si lolote kabisa !
@user-ot3te6mj7b
@user-ot3te6mj7b День назад
Sio wanawake wote ni wale watamaa na wasio jielewa, kuna kijana mkiristo anataka kuniowa mm tena akasema atakubali kuwa Islam lakn mm bdo moyo wangu aujaridhia maan ajatambua muhimu wa dini yangu yy anajali mapenz... so usisime wanawake atuna dini ni hawo wasio jitambua na tamaa zao.
@Kabwela776
@Kabwela776 День назад
@@user-ot3te6mj7b huyo ni mwanaume mbwege tena mwanaume akibadili dini kwa ajili ya mwanamke huyo sio mume wa kuowa mwanaume ni kichwa Na mwanamke ndio anafuata dini ya mwanaume kamwe siwezi kufanya upuuzi huo kubadili dini kwa ajili ya mwanamke kwanza mwanamke hawezi kukuheshimu ukibadili dini kwa ajili yake , upuuzi huo ni wanaume wapuuzi wasiojielewa ndio wanafanya
@Rose-ue2ho
@Rose-ue2ho 6 дней назад
Mwanamme anaweza kuowa mwanamke wa kikiristo si haram lakini mwanamke hawezi kuolewa na mkiristo.
@clustermqsir9840
@clustermqsir9840 6 дней назад
Hehehe...kwahyo mwanamke hana dini??? Haramu iwe haramu tu 😂😂😂😂
@masumbukojames5134
@masumbukojames5134 5 дней назад
Ubàguzi wa waziwazi
@ce-08
@ce-08 5 дней назад
Hajapenda huyo
@khamisrubea5083
@khamisrubea5083 5 дней назад
Si ubaguzi ila mwanamke atazidiwa nguvu na mwanamme ndo mana uislamu umekataza
@shakila3982
@shakila3982 3 дня назад
Inakatazwa usitupotoshe, Qur'an inasema msiwaoe wanawake washirikina, Qur'an 2 :221 inasema, WALA MSIWAOE WANAWAKE WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MJAKAZI MUUMINI NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, WALA MSIWAOZE MABINTI ZENU KWA WANAUME WASHIRIKINA MPAKA WAAMINI, NA MWANAUME MTUMWA NI BORA KULIKO MSHIRIKINA HATA AKIKUPENDEZENI, HAO WANAITIA KWENYE MOTO, NA .MWENYEZI MUNGU ANAITIA KWENYE PEPO,NA MAGAFIRA KWA IDHINI YAKE, NAE HUZIBAINISHA AYA ZAKE KWA WATU ILI MPATE KUKUMBUKA, Hiyo ni Qur'an bishana, inakataza pande zote mbili kwani atakushawishi umfate,
Далее
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 240 тыс.
СКАЗАЛА ЖЕ НЕ ПОЙМАЕШЬ
0:19
Просмотров 2,8 млн