Тёмный
No video :(

BEST NASO:WASANII WABONGO WAMENIROGA/WACHAWI HAWANIWEZI/MIMI NDIO MFALME HAKUNA MFALME MWINGINE 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 21 тыс.
50% 1

𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

21 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 103   
@jumaibrahim4297
@jumaibrahim4297 3 года назад
Mfalme anairudisha himaya yake sasa! Namkubali sana huyu mwamba
@naomiantony4583
@naomiantony4583 3 года назад
Hapana, Umeniangusha kwenye interview mzee baba,unaulizwa jambo moja unatoa maelezo mengi sana! Ambayo hayaendani naswali uliloulizwa.
@shukurupazia8420
@shukurupazia8420 3 года назад
Huyu jamaa ngoja aseme yeye ni mfalme bado anaimba zile nyimbo zenye ujumbe na kuelimisha karibuni nyimbo zake zote
@alexmzumbwe1328
@alexmzumbwe1328 3 года назад
Uko vizuri imba hata nyimbo za dini mungu akubariki
@aishambise6529
@aishambise6529 3 года назад
Nyimno zako huwa nzuri sna
@singasinga2663
@singasinga2663 3 года назад
Aliya unafanana sana na best nasso
@owinorashh2353
@owinorashh2353 3 года назад
pole sana naso lakini jikaze mm niko kenya na wewe ni msanii wangu mkubwa sana mm ni shabiki wako mkubwa kwanza na napenda nyimbo lako la KIPOFU
@0656840872
@0656840872 3 года назад
Acheni kumtusi sana huyu jamaa hebu msikilizeni kwa makini jamaa ana confidence na anachokiongelea Kuna anayoyajua nyinyi hamfahamu, usanii una mambo mengi na nguvu za kishirikina zinatumika.
@mfswcb5837
@mfswcb5837 3 года назад
nayy kasem n mchaw
@0656840872
@0656840872 3 года назад
@@mfswcb5837 siez kupingana na hilo sababu asingekua yy ni mchawi basi asingewafahamu wachawi wanaomroga kwa hilo yupo sahihi ila simuungi mkono huo ni ushirikina na haufai
@innocentjoseph805
@innocentjoseph805 3 года назад
Unacho ongea ni kweri kabisa kaka, but some people is stupid.
@joanessimaosinamakonde6498
@joanessimaosinamakonde6498 2 года назад
Mimi napenda shana musica ya best nasso.
@mpoleclassic160
@mpoleclassic160 3 года назад
Huyu jamaa namkubali ila Leo kaongea usenge😂😂🤣🤣🤣🤣😂
@samwelipetro384
@samwelipetro384 3 года назад
Huyu mwamba kweli karogwa...
@samnjuu1717
@samnjuu1717 3 года назад
She is best naso
@davido-scooper9471
@davido-scooper9471 2 года назад
Gigi hawez kweli Kuongezea huyu Mashabk
@jayproducts5871
@jayproducts5871 3 года назад
Wangapi wanakisikia kithethe kwa nasso kama nay vile
@barakasaimon5602
@barakasaimon5602 2 года назад
Nani kweli jamaa ngoma zake uwezi kuliganisha nawaimba matusi
@MrMtulivu
@MrMtulivu 3 года назад
The way he speak the way he's sing is two things different doooo. Computer imerahisisha kweli.
@nasranoti08
@nasranoti08 3 года назад
nikwel kbx jamaa yupo vizur sana me namkubal sana
@daboe2528
@daboe2528 3 года назад
Aaah nimemkubali kwasababu nayey anajikubari👏🏿
@ellenkamanzi3505
@ellenkamanzi3505 3 года назад
Bongo kunavituko nilijua nibibi ametoka shamba naicho kitambaa kichwani
@kaserekambafumoja5005
@kaserekambafumoja5005 10 месяцев назад
Mziki wako ni djuu sana mwalimu hata uku congo unawashinda wanamzika kibao ndokweli nasema, best naso hakuna wakuchukua nafasi yako narudi hakuna! Natoka congo mashariki naitwa John parrot
@yustinapeteryustinapeter6853
@yustinapeteryustinapeter6853 3 года назад
Wanakuloga kwelii we nimkali achana nao wanao kutukana wote wanaupungufu wa akilii
@yudadaniel4867
@yudadaniel4867 3 года назад
sawa broo tumekuelewa ww ndio mfalme lkn mfalme wa kuvaa kilemba
@mbmussa_fashionstyle9824
@mbmussa_fashionstyle9824 3 года назад
Huna akir wew jitu jinga kwel wew ni wakuwa mfalme wew
@bjzee1981
@bjzee1981 3 года назад
Kungekuaga na kulogwa nakwambia chadema wangesha mloga magu
@mfswcb5837
@mfswcb5837 3 года назад
hahahahah kwel umenena
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 3 года назад
😂😂😂
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kwel maana wanammezea mate magu wetu 🤣🤣🤣
@bizindavyinicolas4450
@bizindavyinicolas4450 3 года назад
Wahoji na wasani wa konde gang jamani kama wasafi hawana shida na harmonize
@zackmuga
@zackmuga 3 года назад
Dah jamaa kafulia,juzi wamekuja kufanya show bar moja Huku mloka rufiji yeye na beka flavour
@mbmussa_fashionstyle9824
@mbmussa_fashionstyle9824 3 года назад
Uonekan kwenye tamasha sababu hujui hiro tamasha ukiwepo atuingii
@kingshiyneshiyneboy1120
@kingshiyneshiyneboy1120 3 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-XOlk2zTqFjA.html king shiyne tz anawaomba support yenu ila samahanini Kwa wale ambawo ntakua nmewakera ila naamini nyimbo mtaipenda coz inaukweli kwenye jamii na katika maisha yetu ya sasa hivo twenden Kwa pamoja tuka enjoy music mtamu kutoka Kwa king shiyne tz nawapenda Sana🙏🙏🙏💙
@CSMAPESA
@CSMAPESA 3 года назад
Umaskin mbaya sana
@inocentmwale962
@inocentmwale962 2 года назад
Kweri kabisa
@msukuma1
@msukuma1 2 года назад
Msanii wa wasukuma 😀😀
@hawaabdallah4782
@hawaabdallah4782 3 года назад
Kweli naso wew mkali
@aishambise6529
@aishambise6529 3 года назад
Toa iyo kitambaa unakaa mama
@zilizotufikia946
@zilizotufikia946 3 года назад
😂
@janatahmad7048
@janatahmad7048 3 года назад
eti mfalme 😂😂wa maneno.ama?? huna hakili wew bwege sana gigy mwenyew anakuzidi impact sana 😂😂😂
@davelarry5343
@davelarry5343 3 года назад
Bona Mimi sikujui wew pambana kaka acha maneno mengi sema kufulia kubaya
@thomaskaniki6755
@thomaskaniki6755 3 года назад
Kama hunijuicoment yann sasa
@edwinlawi6824
@edwinlawi6824 3 года назад
Huyu dishi limeyumba siyo bule
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 3 года назад
Anajihami life inawachapa Wasanii kinoma Ila ufalme huna kaka unavunga
@Daphne362
@Daphne362 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂et wewe ni mnini Nasso untaniua mtoto wa mwenzio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda sana Nasso❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@masatuadolfu8691
@masatuadolfu8691 3 года назад
uko sawa
@anastaziakilaza7456
@anastaziakilaza7456 Год назад
Saana
@justinigurgo3342
@justinigurgo3342 5 месяцев назад
0:10 0:23 0:24 0:25 0:25
@justinigurgo3342
@justinigurgo3342 5 месяцев назад
Besti naso
@lovenessamos5232
@lovenessamos5232 3 года назад
Nahicho kitambaa kichwani kama demu pia umelogwa ili ukivae au
@imanuelsylous3514
@imanuelsylous3514 3 года назад
Mama🤸🤸🤸🤸 Yan kenge kwer.........
@imanuelsylous3514
@imanuelsylous3514 3 года назад
Gigi kasikia kwer hiii interview 🙆🙆🙆🙆🙆🥂
@samwelibky_eze2571
@samwelibky_eze2571 3 года назад
Ila kijana anajihamini sana
@sultanmakofia2252
@sultanmakofia2252 3 года назад
kaka achi madude mashabiki zako tupo
@user-ig9rl2hv6h
@user-ig9rl2hv6h 11 месяцев назад
Kumamako nasooo he ushafikia stage iyo
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 года назад
Kumbe dada enu mtangazaji anajua kuvaa na kupendeza.
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 года назад
😄😄😄😄😄naona leo kajitaid kuvaa maana anavaaga mabwanga 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 года назад
@@tatuhongeranurushaus485 uyu nahisi ameishi sana kijijini kwaiyo anacho amua yeye ndio icho
@athumanimagori9829
@athumanimagori9829 3 года назад
msanii huyo anajua sana sema wanajifanya hawamjui
@masungamwandu4960
@masungamwandu4960 3 года назад
Naso uko pw xana gigy hakuwez ww ni mfalme hakna mwingine bongo flava wengi wao sifa tu lakn kwako naso Kaz Kwanza sifa baadae
@winfridaw.mwashala289
@winfridaw.mwashala289 3 года назад
msanii wangu
@goodlucktemu3149
@goodlucktemu3149 3 года назад
Anaongea pumba bila kujujua, ivi mara ya mwisho nyimbo yako kupigwa radion lini?
@limitoboe
@limitoboe 3 года назад
Jionee hii ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-5AqMRCDLDeA.html
@user-jn7pi4fl5m
@user-jn7pi4fl5m 3 года назад
Kweli ww tunakuelewa
@Ibrah__
@Ibrah__ 3 года назад
Hili jamaa jinga sana
@frankmachette3221
@frankmachette3221 3 года назад
Bange nazoo
@zabibunduwimana4612
@zabibunduwimana4612 3 года назад
Mbona umevaa kitamba chawa Mama
@sambayoo6441
@sambayoo6441 3 года назад
Ila unga mbaya xana ase jamaa kadata
@alexnymhngmarwa7085
@alexnymhngmarwa7085 3 года назад
Nikweli yye ndo mfalume
@kichwachagoogle5138
@kichwachagoogle5138 3 года назад
Anaongea Nyege tu
@samwelibky_eze2571
@samwelibky_eze2571 3 года назад
Abenuuu 😂😂😔😔😔😔
@espoirbesthopemelody1939
@espoirbesthopemelody1939 3 года назад
Na'wa hine🤣🤣🤣🤣
@mbmussa_fashionstyle9824
@mbmussa_fashionstyle9824 3 года назад
Lecod zako unazijua wew mwenyew 2
@emmanuelmakore4139
@emmanuelmakore4139 2 года назад
Komaa kijana mwenzetu itafait tu man
@evaristmathias3303
@evaristmathias3303 3 года назад
Nikweri wanaloga sana
@elishachenya5341
@elishachenya5341 3 года назад
🤣🤣🤣🤣 uwiiiiiiiiiii mfalme labda wa wakulya huko musoma @youngkiller anakutosha hatukuon ww shndana na @hbaba
@eliassabbath2480
@eliassabbath2480 3 года назад
bangi bana😂😂
@mfswcb5837
@mfswcb5837 3 года назад
hahahahaha
@hillarymtui4347
@hillarymtui4347 3 года назад
🙏❤
@timothypaul1714
@timothypaul1714 3 года назад
Mtangazaji wa hiki kipindi sijui yupoje anapenda kuchonganisha Sana wasanii ...cjui anafaidika nn?
@bercahot152
@bercahot152 3 года назад
Huyu jamaa ame2mia maneno ya kisanii!! Uchawi sio ule unaoufahamu
@shaniathumanishaniathumani8515
@shaniathumanishaniathumani8515 3 года назад
TATIZO AALIYA MATANGAZO KIBAO KABLA HAUJATUPELEKA KWENYE LENGO
@joymsupagladysijeya8384
@joymsupagladysijeya8384 3 года назад
Wana ronga ata kusah karogwa sio mbure kwaza wasaani wana rongana
@mfswcb5837
@mfswcb5837 3 года назад
kwel bag sio nzr nmekbal au kwel alirogwa
@shedrackshedrack9780
@shedrackshedrack9780 3 года назад
hii
@masungamwandu4960
@masungamwandu4960 3 года назад
Kwel naso gigy watu walikua hawamjui kupitia nyimbo utapata watu wamemjua
@daboe2528
@daboe2528 3 года назад
Tunasubir interview ya gigy sas
@bongoupdatestv9322
@bongoupdatestv9322 3 года назад
😂😂😂😂😂 mchawiii
@peterwolftz2220
@peterwolftz2220 3 года назад
😂😂
@ibrahimkanuto3514
@ibrahimkanuto3514 3 года назад
Duh wakati wako umepita bro
@allybaba9920
@allybaba9920 3 года назад
Acha hizoo
@samwelipetro384
@samwelipetro384 3 года назад
KUJIITA MFALME WAKAT HATA HAUNA IMPACT KWENYE JAMII HUO NI ISHAMBA...UNAHOJIWA HAPO NA WASAFI..KWAHYO MONDI NAE ANAKUROGA.....😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
@kennymsanii6073
@kennymsanii6073 3 года назад
Hhh
@madundolucas4420
@madundolucas4420 3 года назад
Nasso ngoma ulio fanya na huyu dem ulimbadilisha kinoma mpaka nilianza kumfatilia
@ommietrendz7175
@ommietrendz7175 3 года назад
Wewe kweli utuimbie TUMA RINGA uwe Mfalme ? Hivi ulituchukuliaje kwanza dah eti Tuma Ringaaaa 😟 Huna wimbo viewers nyingi zaidi ya UTABAMBA sababu ya GIGGY
@tatuhongeranurushaus485
@tatuhongeranurushaus485 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@alhajikipingu1661
@alhajikipingu1661 3 года назад
Hizo bang sasa
@petterimanh8684
@petterimanh8684 3 года назад
😱😱😱
@finemubah
@finemubah 3 года назад
Bongo Kiki,anajua kuwa anaongea ujinga Ila ndo kiki
@33-synchronized
@33-synchronized 3 года назад
Hahah
@sultanmakofia2252
@sultanmakofia2252 3 года назад
kweli kaka goma zako tunazipata bila kiki wa prmoshe
@sultanmakofia2252
@sultanmakofia2252 3 года назад
kaka achi madude mashabiki zako tupo
Далее
Best Naso Show Shinyanga
3:41
Просмотров 39 тыс.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 1,1 млн
Best Naso - Unaniweza (Official Music Video)
3:00
Просмотров 356 тыс.
Best Naso - Sarafina (Official Music Video)
3:39
Просмотров 253 тыс.
Best Naso - Kipofu (Official Music Video)
3:14
Просмотров 628 тыс.
Best Naso - Umedata (Official Video)
5:02
Просмотров 76 тыс.
Best Naso - Mke Wa Mtu (Official Music Video)
2:47
Просмотров 254 тыс.
КТО ЛЮБИТ ГРИБЫ?? #shorts
00:24
Просмотров 1,1 млн