Nakumbuka kipindi niko kitado cha nne alinipa alikuja home na wakati anaondoka anakinachia perfume yake. Ilikua pouwa saaana yaaani. Maisha yanaenda kasi saana but sio mtu wa kusahau bado, last time 2015 niko musoma msbani kwa broo alinitia moyo saana. Mtu pouwa saaana Nassoro.
Huku Australia tunaziita Bush Tour unaenda vijijini watu hawajui Kingereza na show zote kama uko tayari serikali inakulipa unazunguka Jangwa from North to South.” Australia.
Ziligonganaje wakat sisi wenye hatuna hela ndo msanii wetu make kiingilio chake ni rafiki kwa mtanzania mwenye kipato chachini unamuona best nasso kwa kiingilio Cha buku buku v,i,p buku mbili 2 utamuona msanii gani kwa kiingilio hicho wasanii wengi tunawaona mitandaoni hatuwaoni live 😂😂😂😂 bigap best nasso
❤❤❤❤huyu mwambaaaah #bestnaso atariiih sanaaaah anaujua mziki ila sky umeuwa vituoving vya media avifanyi interview ila today mimi kama Mimi nime #enjoy
SNS mnafaa kupokea maua yenu tafadhar maana mumefany kitu kikubwa sana kumleta Best nasso kweny kipaza chenu honger sana kwakwer make media nying zinamchukulia poa wakat yey ndie mwanzilishi wa Bongo fleva
Nakumbuka sano Kuna kipindi alikujaga Tabora kaliua naso alijaza ukumbi kaliua , hadi wakazuiya kutoza Hela sababu ya ukumbi kujaa aisee ndo nikaona naso mikowani anapedwa acha tu na ukumbi ni mkubwa sio powa
Huyu jamaa mi uwa namkubali sana sema vyombo vyote vya habari uwa wanamtenga sana ila tumshukuru sana Dijalo wa Rungu Tena Dijalo tumeish nyumba moja Mombasa ukonga ni mtu poa sana