nyimbo bora kabisa from kwetu, keep it up bhudagala, yaani umeongea ukweli kuhusu yabayojiri hapa usukumani ....utubhoba sunge yalola nzila.... hizi mambo kweli siku hizi hakuna
Wimbo unasema ukweli yaani dunia ya Leo ina mabadiliko makubwa sana. Hongera sana bhudagala. Lakini ningependa kupata namba yako tuongee. Nakutogilwe nho ngosha
Sijui unamaelewano yapi na huyu jamaa wewe unapiga pesa kupitia nyimbo zake muwahurumie japo kwa kidogo ndg zetu hawa walitumia nguvu kubwa kufika hapa walipo mfano bhudagala aliuza pamba na ng'ombe kuingia studio aisee samahani kama nitakukwaza lkn tuwakumbuke japo kwa kidogo