Wewe ni Noma Huna Mpinzani Jamaa Angu, Hongera sana ila Show ya Kagongwa ya MWAKA huu 2024 Ulipiga chini ya KIWANGO sana ndugu yetu Ulituachia njiani Tukabaki tunasubir NZUKI Kumbe ndo show imeisha Pamoja sana
Mim sijaelewa kisima ni dancer au maana amecheza kuliko madencer wote , daaaah ila huyu jamaa watasubir sana make juhudi yake ndio imemfikisha hapa Leo, vile vile makula njooo uchukue 🎉🎉🎉🎉 yako brother
Kaka mi ni shabiki sana wa mzik wa asili kama wew , lakin wew ni mtu mkubwa Sana kwenye mzik huu na una mchango mkubwa sana kuliko hata mim , maana sizani kama Kuna msanii mkubwa au director mkubwa wa asili ambaye hakujui, kwahiyo jitaid Hoja zako ziwe za maana zaid kulinda jina lako, tupigeni kazi jamani tusikatishane tamaa
😂😂 mwaka huu hamutumalizii bando zetu kwa kiki za Kujuana Kaka Mkemia Yupo 100% Kichwani Na Kazini Au Haujawahi Kuongea Nae Utakuja Nishukuru Nipo Pale Roki Studio
Mi mgera namkubali Sana LAKINI pia makula ndio kitovu Cha mziki wetu wa asili make ni mda sana , kingine kama msanii kapendelea kufanya kaz na producer Fulani au director Fulani maana ake yeye ndio anajua anachokitafta pengine huenda kikawa ni Bora kuliko alichokiacha😂😂😂😂😂 au pengine alichokiacha ni Bora ila kimemchosha, ila mi nawaomba wapenzi wote wa mziki huu tupende wasanii wetu wa asili , maproducer wetu wa asili, pamoja na madirector wetu na wotee tuwaombee wafanikishe kazi zao kwani wanapitia changamoto kubwa sana Hawa wote, ubinafisi , MAJUNGU na chuki hazitafanya tufikie tunakoendaa wadau.
Saafi, kazi nzuri sana ila uache nyimbo zako za ngeelo we tembea kwenye njia yako tu kuelimisha jamii kupitia kipaji chako noubhu ganga loulou ubhupembe isii witinginye, uwe kama ngelela na bahati bugalama hawana mda kabisa wa kumzungumzia mtu japo kila kukicha wanapigwa vita ila wao wanaangalia kazi zao tu... ❤❤❤
Mkemia Ukija Kufeli Naacha Namimi Kushuti Narudi Kulima Kisima Ukiacha Mziki Na Mimi Ntaacha Kupenda Mziki Wa Asili Sababu Ni wewe Mimi Kufanya kazi za Asili Pale Roki Studio