Kaka mwenye mziki wake nakukubali sana, umeitoa mbali sana hii asili lakn hata hauringi sijui ulipewa moyo gani tu mwamba, wengi watafukuzia kazi zako na kuleta ushindani kwako ila hakika wataishia njiani sababu hawana moyo wa utu kama wako
Asubuhi kunakucha nakuta ngoma mpya tena...Hii inasambaa hapa Salamiti Mtimbira leo kwa DJ JUMA MANAMBA No kuisha watu .Saluti kwako mkubwa wa hiz kaz Mr Bhudagala 🎉🎉🎉🎉
Kumbee ngoma hii hapa Sasa, hujawahi kunifelisha, mwaka nafanya utafiti wa ngoma za kisukuma kama sehemu ya fasihi simulizi, nitaaza wewe Nataka nikiandikie sana kisukuma na asili, tamaduni na sanaa za kisukuma, nimeanza na kamusi ya kisukuma
Bhudagala mwanamalonja huna mpinzani na nyimbo zako zinafundisha huna baya brother pokea mauwa yangu ❤❤❤❤❤❤❤ na camera man Big up sana gama iko poa sana
Ani Moto wako ata wasaniii wa bongo fleva hapa Tanzania wanauelewa ata Cameroon tunakupata. vyema zaid🇮🇲 📣🎶🎵🎵🔇📻📻📻📻🔇🎸🎸🎸🎵📢🔈🎶🎵🎵🎤📻🎙️🎙️🔕🎙️🎙️🎚️🎚️🔌🔌💻💻🖱️💽🖲️🖥️🖥️💻📞📞📲📠
Kama unaweza tung's nyimbo inayo Sofia kazi mama Samia Kwa mazuri anayo fanya Nina Imani unaweza sana plz Kwa Hilo tubebe Kanda ya ziwa Kwa kutoa japo wimbo 1 itapendeza sana
watoto wa juz watasema hvyo..nyimbo ya ng'wana mpelwa shogagi kaya..Ling'oma Mmapolu...enz hzo kisima alikuwa ametoa nyimbo gan ya asili kama hzo....Sisi tunataka burudani kila mtu aimbe atakavyo sis tuenjoy music
istoshe kusema kwamba kisima mwenyewe ni mwana funzi wa huyu jamaa ndio maana haja wahi kuimba nyimbo sita katika hizo asi mtaje mwalimu wake wanyimbo za kisukuma huyo kisima