Тёмный

Bhudagala mwanamalonja _innaga mp4 

Bhudagala Mwanamalonja
Подписаться 9 тыс.
Просмотров 61 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 132   
@AmanPascal-ws7nn
@AmanPascal-ws7nn 6 месяцев назад
Nyimbo safi San wasukuma tujuane nipen like zangu
@user-bp9uo3zq4k
@user-bp9uo3zq4k 6 месяцев назад
Ngoma nzur my brother from dar pande za chamazi
@MsobiAmos
@MsobiAmos 6 месяцев назад
Kaka unajuwa kuelimisha Sana Mungu aendelee kukuweka huna baya kabisa tunakuombea kila ukicha Asante Kwa nyimbo zuri❤️❤️❤️
@user-sm2bw7dg8r
@user-sm2bw7dg8r 4 месяца назад
kaka your the king of them akiwemo chizi wa ndagalu
@user-qb9kz9rw6k
@user-qb9kz9rw6k Месяц назад
Nimekumbuka hom brother mim nipo Zanzibar natamaan hm kwamda huu hatar nyimbo Zur sana inausia mzur mno
@MachoMacho-vu6xj
@MachoMacho-vu6xj 3 месяца назад
Ngoma yenyekujenga sana dah"" good job my brother toka pande za moshi town
@JoshuaShambuli
@JoshuaShambuli 19 дней назад
Nakubari pande za mbeya elimisha kama kioo cha jamii wambie
@martinemaganga5253
@martinemaganga5253 6 месяцев назад
Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
@josephcharles5202
@josephcharles5202 3 месяца назад
budagala na shinje mmetukanana mno
@user-zg7gm3cy1j
@user-zg7gm3cy1j 6 месяцев назад
Safiii sana bms
@dr.badiboy9301
@dr.badiboy9301 6 месяцев назад
Huo wimbo wa Innaga unaitwaje
@paulomwwndchenge
@paulomwwndchenge 5 месяцев назад
Hongera san kak kalibu simiyu wilay meatu
@paulomwwndchenge
@paulomwwndchenge 5 месяцев назад
Nakubali san huu mwimbo
@sukumatv8564
@sukumatv8564 6 месяцев назад
Nyimbo nzuri
@MussaMolani
@MussaMolani 5 месяцев назад
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu
@kisulafabian4350
@kisulafabian4350 5 месяцев назад
KISULA PHABIAN MNYETI Budagala vzr sana shule zinasaidia uzr na shule ulipita ndo maana unatoa vyuma bomba
@patriceeliasspatriceeliass7424
@patriceeliasspatriceeliass7424 5 месяцев назад
oyeeee hongela sana budagala endelea kutoa ujumbe kwa wadogo zako uko sawa wanwise
@user-wx1ll3gs9l
@user-wx1ll3gs9l 2 месяца назад
daah hii ngoma imegusaa hisia nyingi Kwa upande wa wafatiliajii wa nyimbo za asiri, ujumbe umefika
@josephchikongoye2812
@josephchikongoye2812 5 месяцев назад
Hongera mwanangu Budhagala, piga kazi
@user-qb9kz9rw6k
@user-qb9kz9rw6k Месяц назад
Mpaka nimelia haki ya mungu hii nyimbo ipewe tuzo mwamba amepiga kwenye mfupa
@nelemimbasando.ibhesh.9105
@nelemimbasando.ibhesh.9105 6 месяцев назад
Fundisha jamiii braza tuko pamoja welcome majimoto 🔥🔥🔥🔊🔊🔊
@mageletz
@mageletz 6 месяцев назад
kahayaga kati zaga, kakwiza kapye 🤣🤣🤣
@ngasasospeter6899
@ngasasospeter6899 6 месяцев назад
Mmeniwahi na leoo duuuh, lakin Choppa hiyo
@user-zg7gm3cy1j
@user-zg7gm3cy1j 6 месяцев назад
Mfalme wisee hongeraa san
@JOHNNY..TZ..
@JOHNNY..TZ.. 6 месяцев назад
Sahihi kabisa mjomba mtoto wa mwamba dendei hapa nyambureti nakufatilia nikiwa iringa mjomba ❤❤❤❤
@bhudagalamwanamalonja9582
@bhudagalamwanamalonja9582 6 месяцев назад
Pamoja sana mjomba
@stevenjoshua5866
@stevenjoshua5866 6 месяцев назад
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
@MussaMolani
@MussaMolani 5 месяцев назад
Nimekubali sana budagala washauri wasini wakisasa wache kutukanana
@user-tl9dj6zo8o
@user-tl9dj6zo8o 3 месяца назад
Daima kaka dhidi kuwaelimisha watanzania kwa ujumla waelimishe jamii na si vingnevyo
@OnesmoAgustino-zn3ng
@OnesmoAgustino-zn3ng 6 месяцев назад
Kweli sikuizi Mambo ni kutukanana na mabifu Kama yote tuachane nayo hayana maana
@jameschagu7580
@jameschagu7580 6 месяцев назад
Kazi nzuri mwamba
@MayengDulu
@MayengDulu 6 месяцев назад
Hiyo do nilikuwa naisubili kwàhamu asante Kwa kazi zuli
@DanielDaniel-gx2ou
@DanielDaniel-gx2ou 6 месяцев назад
Piga kaz kaka
@user-yv2rk1bc7w
@user-yv2rk1bc7w 6 месяцев назад
Waacheni t watukananee tupate hamasa kufuatilia ngoma zetu mnawazuia kwann
@JoycerobertRobert
@JoycerobertRobert 6 месяцев назад
Kaka nakukumbal sana ❤❤❤❤❤
@user-zg7gm3cy1j
@user-zg7gm3cy1j 6 месяцев назад
Wakwanza Leo ndani ya BMS
@Yohanalubinza-t6r
@Yohanalubinza-t6r 5 месяцев назад
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
@maxmiliankadawiibalaja2198
@maxmiliankadawiibalaja2198 6 месяцев назад
Bwana mkubwa wewe ni zaidi ya Mwalimu kwenye Jamii yetu ya Tanzania Wasukuma tuna muwakilishi makini sana
@Lugalilatv
@Lugalilatv 6 месяцев назад
Nakubali sana kaka
@Emma562
@Emma562 6 месяцев назад
Limela,,mama leti,shughuli na innaga,,, hahahaha hauboi kaka❤❤❤❤❤.
@richardjuma828
@richardjuma828 6 месяцев назад
Mimi 1 ❤
@PetroKimola-k2k
@PetroKimola-k2k 19 дней назад
Kaka kalaibu dar kaka
@deusgamaya7763
@deusgamaya7763 6 месяцев назад
kazi nzuri mkuu npo mbeya apaa
@NdaturuMaduhu-do5yp
@NdaturuMaduhu-do5yp 6 месяцев назад
kweli kaka, wasinii ni sehemu ya shule lakn matusi yanasababisha tuamini wasanii ni wahuni tu!
@user-hc6qp6os2u
@user-hc6qp6os2u 5 месяцев назад
Niite tosha Kanda za manyoni nakukubali kaka
@user-rk9ne7og1x
@user-rk9ne7og1x 6 месяцев назад
❤❤❤ Nakumbuka nyumbani
@user-uu1fs6vp6g
@user-uu1fs6vp6g 6 месяцев назад
Kazi zur sana kaka
@josephzachariah9771
@josephzachariah9771 6 месяцев назад
Nseyantemi ❤❤
@user-ub1ev6bw6v
@user-ub1ev6bw6v 6 месяцев назад
Hakika wewe no mfalme wa nyimbo za asili,, mungu akuzidishie na kukulindaaa,,by msukuma kutoka arusha
@TadeoAmos-rt1iu
@TadeoAmos-rt1iu 6 месяцев назад
Kazi nzuli sana kaka budagala mie nipo tabora konanne
@MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
@MKOLOSAIonlineTV-cn2vr 6 месяцев назад
Bhudagala uko poa sana japo mimi sio MPENZI wa nyimbo za asili ilA wewe na kisima mpo juu sana kaka by mkolosai nzagamba from kagongwa KAHAMA shinyanga tanzania
@SilluMusic-dm4fg
@SilluMusic-dm4fg 5 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kgZ99oElCf4.htmlsi=sX54NPFf2_eD5bxd
@gumadambiti4071
@gumadambiti4071 6 месяцев назад
Kaka mwanamalonja kz nzr saaana wafundash
@Director_Kitindi_Complete
@Director_Kitindi_Complete 6 месяцев назад
Bhudagala Safi Sana kazi kali ujumbe Bomba Respect Kwako
@AlliPo-21
@AlliPo-21 6 месяцев назад
leo mmeniovertake so mbaya nishafika kwa legend wetu na gomma limefika salama pande za sumbawanga kali sana big up sana
@cosmasrobert2056
@cosmasrobert2056 6 месяцев назад
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
@japhetsahani7121
@japhetsahani7121 6 месяцев назад
karibu kwetu bariadi simiyu gambosi Tanzania 🎸🎸🎸
@zagalazabuinge3893
@zagalazabuinge3893 5 месяцев назад
Ushauri mzuri Sana kwa wasanii,matusi waache,waelimishe jamii,nikiwa Bukoba tz
@user-uv5jf6he8r
@user-uv5jf6he8r 5 месяцев назад
Wewe ushakuwa mzee wa kazi asante chukua maua Yako baba🎉
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 6 месяцев назад
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
@peterseleya-up9rw
@peterseleya-up9rw 6 месяцев назад
Uhakika kabisa wasanihi wengi wa mebaki kutukana good job banemhi moja❤❤
@user-sv1cc4bw5d
@user-sv1cc4bw5d 6 месяцев назад
Makini sana 😢😢
@patriceeliasspatriceeliass7424
@patriceeliasspatriceeliass7424 5 месяцев назад
nikweli ujumbe umewafikia wale wasanii wasiokuwa na maono na mafundisho pia wajue usanii ni kalama na sio kalamu wajifunze kupitia huu wimbo
@deucdeucmathias3562
@deucdeucmathias3562 6 месяцев назад
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
@MadelekenghundyaTambi-qs1jd
@MadelekenghundyaTambi-qs1jd 6 месяцев назад
Wambie wakusikie mimi nakusikiliza kutoka mukoa siminyu bariadi mutaaa wa budeka hogera sana bhudagala kwakweri inauminza dungu tunako rekeewapi kwahalihii
@user-wp3xc4bw1u
@user-wp3xc4bw1u 6 месяцев назад
hongera
@JumakwangulijaJumakwangulija
@JumakwangulijaJumakwangulija 5 месяцев назад
Nimekupata bhudagala nikiwa chunya mbeya
@user-zc6og4wt7s
@user-zc6og4wt7s 6 месяцев назад
Ww ni Baba wa wawasanii ❤❤
@user-xg9zi9wk9f
@user-xg9zi9wk9f 6 месяцев назад
waambie hao nyani
@malugukidanha5670
@malugukidanha5670 6 месяцев назад
👍👍👍👍👍
@SafariEdison-he7oe
@SafariEdison-he7oe 5 месяцев назад
Pamoja sana kakak
@Pastorymasanyiwa1998tz
@Pastorymasanyiwa1998tz 6 месяцев назад
😂😂😂 ni kweli saiv mzk umekua wa matusi tu 😊😊😊
@LimiKishosha
@LimiKishosha 5 месяцев назад
Hongera sana bhudagara kwa nyimbo nzr kaka
@ngwanaedina9070
@ngwanaedina9070 5 месяцев назад
Kaka bhudaga unanitisha sana
@ManotiMabanza
@ManotiMabanza 6 месяцев назад
Budaghala kazi nzur. Mkaguzi. Wa NYIMBO za asili
@MussaMolani
@MussaMolani 5 месяцев назад
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
@SamwelMatonange-hj1or
@SamwelMatonange-hj1or 6 месяцев назад
Uko sawa brother barikiwa kwa kumbuka hilo Aman itawale
@amosnaqbarxanaabddallah2730
@amosnaqbarxanaabddallah2730 5 месяцев назад
👏👏👏👏👏🔥🔥🙏
@officialpaulmabula8346
@officialpaulmabula8346 6 месяцев назад
Ujumbe mzur
@user-vy7pi8ni5k
@user-vy7pi8ni5k 6 месяцев назад
🔥🔥🔥🔥🔥💯💯
@user-bb1ky9ez3o
@user-bb1ky9ez3o 6 месяцев назад
Pongezi kubwa sana obaba kaza roho tu mungu atusaidie
@user-us5su2th9w
@user-us5su2th9w 6 месяцев назад
Chamazi moja
@NyandaGatambe-jb6fo
@NyandaGatambe-jb6fo 5 месяцев назад
Kweli bro
@balozimedia4891
@balozimedia4891 6 месяцев назад
🔥🔥
@user-rw2ux3my6x
@user-rw2ux3my6x 6 месяцев назад
Nyimbo zuri saaaaaana nipo malya seneta kamanda
@bulugunhandi
@bulugunhandi 5 месяцев назад
Tupo pamoja kiongozi
@geitaasiliyetuvideosproduc8520
@geitaasiliyetuvideosproduc8520 6 месяцев назад
Bhudagala 🕺🕺🕺🕺🕺
@user-su6ku1ol2l
@user-su6ku1ol2l 6 месяцев назад
Kaka adi Zanzibar ngoma yako inatimba.
@MhojaAtanas
@MhojaAtanas 5 месяцев назад
Ww wakuache tu mwamba ni hatari Sana nakukubari sana
@NTEMI-OBURUDANI
@NTEMI-OBURUDANI 6 месяцев назад
Nakubaliana na wewe mkuu ❤
@justinkadonya3434
@justinkadonya3434 6 месяцев назад
Blood kazi njema sana aminia sana kaka mkuu
@jamesgerald7192
@jamesgerald7192 6 месяцев назад
Tarh 5/3/2024 tunakusubiri kabila karibu sana!!!
@bhudagalamwanamalonja9582
@bhudagalamwanamalonja9582 6 месяцев назад
Poa poa
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx
@JumamgemamatogoloMatogol-de8gx 6 месяцев назад
Unazidi kuwa wa moto 🔥🔥🔥🔥
@MayengDulu
@MayengDulu 6 месяцев назад
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@LupigiLugosha
@LupigiLugosha 6 месяцев назад
Master Ni Master Tu
@yusuphjagadi7124
@yusuphjagadi7124 6 месяцев назад
Bhudagala anza kufanya promotion za maana nyimbo ziende mbali, siyo ziishie usukumani tu
@bhudagalamwanamalonja9582
@bhudagalamwanamalonja9582 6 месяцев назад
Njoo inbox
@yusuphjagadi7124
@yusuphjagadi7124 6 месяцев назад
​@@bhudagalamwanamalonja9582Brother mimi napenda sana kazi zako lakini Huwa natamani uanze kufanya promotion ambazo pengine zinaweza kufanya mziki wa asili yetu usikilizwe na watu mbalimbali hapa Tanzania
@AlliPo-21
@AlliPo-21 6 месяцев назад
mashabiki tunataman nyimbo zifike mbal kuliko hata wasanii wetu me huwa nataman sana hata kuona kamshirikisha msanii mkubwa wa bongo fleva ili kukuza soko zaidi sahiv mziki unawalipa wanapesa wameshindwa hata kushirikiana wakachangishana wakaenda kuchukua kipindi hata kimoja STAR TV au TBC kikawa cha kurusha nyimbo za kisukuma 😀😀 zitasikika mbal sana and we will feel very proud
@mageletz
@mageletz 6 месяцев назад
point sana
@mageletz
@mageletz 6 месяцев назад
@@AlliPo-21 tatzo linakuja hata sisi wasanii hatu pendani, hatu sapotiani yani uki achia kazi nzuri wata iponda sana ndio maana mziki wetu ukuaji wake niwa taratibu sana, angalia mziki wa bongo flv ulipo yaani unazidi kukua kwa Kasi sana na uki angalia hauna heshima yeyote yaani wame kalia mapenzi ila mziki wao upo mbali hyo yote nikwa sababu ya kuwekaza pesa ...
@richardkabega7090
@richardkabega7090 6 месяцев назад
huna kazi mbovu legend bhudagala
@jumastephano2688
@jumastephano2688 6 месяцев назад
Kaz nzur sana nipo dar pande za Kigamboni hapa
@mageletz
@mageletz 6 месяцев назад
uhakika kaka 🙏
@TanganyikaChakupewa
@TanganyikaChakupewa 4 месяца назад
Ngoma nzuri sanaaa hii
@user-lk5be1kg5z
@user-lk5be1kg5z 6 месяцев назад
Nyanda wakanya nadekeleka kwa wiza
@user-wp3xc4bw1u
@user-wp3xc4bw1u 6 месяцев назад
bora hvy ww utukani mtu
@barakarobert9516
@barakarobert9516 6 месяцев назад
Keep it up! Hadi Tz nzima ijue kuna mziki huu upo
@EliasShilungu-rs6fc
@EliasShilungu-rs6fc 6 месяцев назад
Nyimbo ni nzuri inao ujumbe
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 6 месяцев назад
Nzuri Sana👍
@AliphonceMartina
@AliphonceMartina 6 месяцев назад
Namba 8 naombeni like 🙏🙏🙏
@mrishobulabo8014
@mrishobulabo8014 6 месяцев назад
Kazi nzuri sana
@mgemamakina2604
@mgemamakina2604 3 месяца назад
Saf. Sana
Далее
Bhudagala Mwanamalonja-Majungu mp4 official.
11:35
Просмотров 41 тыс.
ФОКУС -СВЕТОФОР
00:32
Просмотров 84 тыс.
Bhudagala Mwanamalonja- Nzuna wane  mp4 official.
11:28
BHUDAGALA _Mtoto wa dada mp4 official
12:44
Просмотров 55 тыс.
Bhudagala -shuguli mp4
10:22
Просмотров 32 тыс.
GUDE GUDE SONG NG'WANA PAURO 2023
18:19
Просмотров 276 тыс.
Bhudagala_ Historia_Official Video 4K
13:39
Просмотров 102 тыс.
Bhudagala official mp3 innaga mhulyambelele
11:08
Просмотров 10 тыс.
Yobart ft Bhudagala ~shida official
11:01
Просмотров 7 тыс.
Bhudagala _Mama Leti mp4
10:10
Просмотров 20 тыс.