Daaaaaa,naisikiliza hii nikiwa wilaya ya kondoa mkoa wa Dodoma, hongera sana bhudagala kwani nyimbo zako huwa hazina matusi kabisa hivyo endelea kutupa raha,na unatakiwa ufahamu kuwa nyimbo zako zinasikilizwa mpaka nje ya Tanzania.
Hujawahi niangusha kwenye nyimbo zako kaka unajua Sana asanteee tupe mzik mzuri mungu aendelee kukupa weledi wa kutunga vzr zaidi mwanamalonja🔥🔥🔥by prince from mtwara tz
Da yani budagala wewe unanyimbo nzuri sana da unatamani kuuludia kila mda tu nakupa mauwa yako 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unaiheshimisha sana luga yetu mungu akupe uzma wa kutosha ubalikiwe sana tena sana
Bhudagala uko poa sana japo mimi sio MPENZI wa nyimbo za asili ilA wewe na kisima mpo juu sana kaka by mkolosai nzagamba from kagongwa KAHAMA shinyanga tanzania
dah nyimbo hii nimeurudia mara nyingi sana nikisikiliza kwa makini kiukweli nikikumbuka enzi za malingika na bhudagala sijawai kusikia nyimbo kumsifia mganga wala kumtukana mtu yoyote aise nakukubali sana kaka pia unaheshima sana na sijawahi kusikia unagombana na wadogo zako kwenye mziki hongera sana kaka tupo mashabiki zako
Wambie Msanii ni mpelelezi wa kungundua nini hakipo sawa au nini wamesahau ukingundua unawakumbusha walipo sahau mashabiki wanasikiliza yani msanini ni mshauli pia ukiwa ni msanii mwenye heshima kama bundagala anatoa vitu vya kuaburudika ata ummekaa familia nzima seemu moja mavasi na maongezi yote safi
Wakubwa wanakulaumu wewe make wewe ndo kila kitu kwetu wasukuma tunakutegemea wewe bhudagara wewe ndo kila kitu kwetu wengne wanafata tu Nko Arusha ILA natamani Sana japo siku MOJA bhudagara nikuone tu Mimi kwako cjawahi kukuchoka ata siku MOJA bro nasikuliza Sana nyimbo zako
Wewe utazeeka nauta kama mua nyimbo zako zote zinausitandadi mkubwa sana mungu akulinde sana msukuma mwenzetu😅😅😅😅😅😅😅njoo geita utumbuize tunakusubili sana 11:57
@@bhudagalamwanamalonja9582Brother mimi napenda sana kazi zako lakini Huwa natamani uanze kufanya promotion ambazo pengine zinaweza kufanya mziki wa asili yetu usikilizwe na watu mbalimbali hapa Tanzania
mashabiki tunataman nyimbo zifike mbal kuliko hata wasanii wetu me huwa nataman sana hata kuona kamshirikisha msanii mkubwa wa bongo fleva ili kukuza soko zaidi sahiv mziki unawalipa wanapesa wameshindwa hata kushirikiana wakachangishana wakaenda kuchukua kipindi hata kimoja STAR TV au TBC kikawa cha kurusha nyimbo za kisukuma 😀😀 zitasikika mbal sana and we will feel very proud
@@AlliPo-21 tatzo linakuja hata sisi wasanii hatu pendani, hatu sapotiani yani uki achia kazi nzuri wata iponda sana ndio maana mziki wetu ukuaji wake niwa taratibu sana, angalia mziki wa bongo flv ulipo yaani unazidi kukua kwa Kasi sana na uki angalia hauna heshima yeyote yaani wame kalia mapenzi ila mziki wao upo mbali hyo yote nikwa sababu ya kuwekaza pesa ...