La muhimu hapa jamani ni tabia ziwe nzuri waweze kudumu sio mavazi mazuri wala nini watu wanavaa vzr na siku mbili wanaachana jueni muhimu ni tabia waungana wangu ni km huyo ila nina miaka 20 sasa ya ndoa na hana kokoro hadi raha
Mie mume wangu anavaaga kama huyo hanaga mambo mengi ila anapendaga mie nipendeze ila kiheshima. Hawa wanaume wa hivi jaman wanakuwaga wapole sana nampenda sana huyu mwanaume Mungu alonipatia.
@@user-zl5mt6lk4n Sasa anahela gani....sherehe IPO hivyooio....hakuna ata Dolla Moja aliyomwaga! Acha maneno ww! Gentlemen's are smart and posses dollars!