Тёмный

JUMBA LA KIFAHARI ANALOISHI MBUNGE WA MPENDAE/LINA MSITU,WANYAMA PORI,NA CHUMBA CHA SINEMA NDANI 

ZamaradiTV
Подписаться 239 тыс.
Просмотров 106 тыс.
50% 1

Usisahau ku"SUBSCRIBE" RU-vid channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Развлечения

Опубликовано:

 

19 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 369   
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Mashaallah kasri mungu akupe afya na akuzidishie na sisi atupe inshaallah. Kuna watu wana pesa lkn hawana mipangilio ila wewe mheshimiwa umezitendea haki neema alokupa m.mungu
@salimkassim6020
@salimkassim6020 3 месяца назад
Nimewakubali wote Mbunge,,, mtangazaji,,,na camera man wote Mashallah Allah awazidishie wametulia sana,,safi kabisa nimefurahia kipindi
@missp1814
@missp1814 3 месяца назад
Aisee hongera nampenda Huyu kiongozi,nilimsikiliza kwenye salama na,anaonekana nimtu mwenye utu sana....M. Mungu ambariki zaidi na zaidi
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 3 месяца назад
Iyo ni nyumba au mtaaa maashallaaah mungu kajua kuwabariki❤❤❤❤❤
@asiamerey9081
@asiamerey9081 3 месяца назад
😂😂😂 yani nimecheka sana nanimependa bei ya gari pekee nyumba ya mwijaku
@patimaissa8572
@patimaissa8572 3 месяца назад
Naishi jimbo la mpendae ni kweli kabisa kiongozi wetu ni mtu mzur
@komboomar8275
@komboomar8275 3 месяца назад
*Mungu akubarik ww na familia yenu mzima na abariki zaidi company yenu mumetufuta machozi cc wapemba kwa boat yenu ya speed tunasafiri kwa wepesi na urahisi zaiidii Allah aibariki Zan fast ferries*
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 3 месяца назад
Hana cheni hana kipuli hajatoboa pua hana tatoo ila anabonge la jumbaaaaaaaaaaaa😂😂😂😂
@nadyasalim7956
@nadyasalim7956 3 месяца назад
Mashallah sio wengine wamechora matatoo wametobowa pua
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 3 месяца назад
Kwahiyoo unampiga kijembe mtangazaji 😂😂😂
@ForodhaniZanzibar
@ForodhaniZanzibar 3 месяца назад
@@ABUUALLY-tv8rl Kwan mtangazani ana tatoo
@JechaMakameIssa-gs2bl
@JechaMakameIssa-gs2bl 3 месяца назад
Anatokea familia ina hela usishangae hana njaa kwao
@valencesokoni3291
@valencesokoni3291 3 месяца назад
@FatmaZena
@FatmaZena 3 месяца назад
Allah amlaze pema peponi mzee Turk.nililia sana alipofariki,hawa watu wana mioyo ya huruma sana,Allah awazidishie .nilifanya kazi ktk kiwanda chao mombasa unguja,yaani ni watu wenye mioyo ya imani mnoooooo
@user-bu1te3bf8p
@user-bu1te3bf8p 3 месяца назад
Amiin yarab
@user-qg4wc5dz9r
@user-qg4wc5dz9r 3 месяца назад
Njaaa itakuponza
@mokeya
@mokeya 3 месяца назад
@@user-qg4wc5dz9r na ww husda zitakuua
@mokeya
@mokeya 3 месяца назад
@@user-qg4wc5dz9r husda zitakuua
@abdulwahidmsellem1964
@abdulwahidmsellem1964 3 месяца назад
😂😂why
@tunkuh661
@tunkuh661 3 месяца назад
Mandhari ya hii nyumba ni tamu sana..... Mungu akupe maisha marefu Mh. Ufurahie mafanikio yako na familia kwa ujumla
@dorynfao
@dorynfao 3 месяца назад
"Kuhakikisha mfereji wa kuendelea kupata unakuwepo".👏👏
@yusrasalum
@yusrasalum 3 месяца назад
Mashallah hongera kwa mbunge anajielewa! Bora tunaona vitu tofauti 😊
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 3 месяца назад
Mtangazaji kuchanganyikiwa na jumba la kifahari mpaka viatu umeogopa kuvaa😂😂😂
@salhaothman8278
@salhaothman8278 3 месяца назад
😂😂😂halaf hana uhuru wa maswali leo Halazimishi kuingia vyumbani km anavofanya kwa wasanii
@salmamkwizu3223
@salmamkwizu3223 2 месяца назад
Mashallah mashallah maisha ni nyumba inaleta utulivu wa akili ingekua mswahili apo unhekuta ana wake kumi vijana wa kiswahili wajifunze hili
@MsJabalkiss
@MsJabalkiss 2 месяца назад
Wivu wako usitutaje tuwache tajiri na mali zake masikini na watoto wake wacha tuoe tupate watoto😂😂😂
@RayyanRayyan-rt9cg
@RayyanRayyan-rt9cg 3 месяца назад
Muheshimiwa haringi umepoa mtu wamaana kabisa huna majivuno mwenyekukuelewa amekuelewa
@subirajohn728
@subirajohn728 3 месяца назад
Hongera sana Mh Mwenyezimungu akulinde❤
@vincej9275
@vincej9275 3 месяца назад
Mtu mwenye mwoyo safi. Very humble man.
@mussakhamis3149
@mussakhamis3149 3 месяца назад
Mashaallah kka hongera sn Allah akurudhuku zaid akuekee mamaetu ale neema zako za kijana wamzazi mwenzie km yy mzazi mwenzie alivo kua famasia baba akala nema zake nayy mama ale nayma zake kupitia ww kka hongera sa uwe naramadhan Qareem na laylat-lkadir iwe juu yk nami M/mungu anijalie niwe km ww tuige mfano wako mzuri kka inshaallah 🙏
@user-pv3km8cb7s
@user-pv3km8cb7s 3 месяца назад
Alhamdulillah nmesoma kitu kupitia kiongozi
@FreeGod368
@FreeGod368 3 месяца назад
Uyu jamaa yuko humble sana
@asiamerey9081
@asiamerey9081 3 месяца назад
Mashaallah sikutegemea kama kuna mpaka sehemu ya kuswalia kumbe nilazima ilikuwa uwe Tajiri pia kila siku unasoma juzuu moja unaimaliza Mungu akuongezee kila ulipopunguza
@omanmct135
@omanmct135 3 месяца назад
Rahasana nimependa sana chumba chKusaliya
@markmwaghogho9226
@markmwaghogho9226 3 месяца назад
From Nairoi Kenya...mheshimiwa yupo sawa
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 3 месяца назад
I seeee Kuna watu wanaishi alaf Kuna sisi wapiga debe insta
@MahraMansoor5969
@MahraMansoor5969 3 месяца назад
Tawfiq mtu mzuri sana lakini huyu tokea zanani yupo hivi hana tabu mashaa allah nice one from 🇬🇧
@salma0000
@salma0000 3 месяца назад
Alipata malezi mazuri
@RioIpo
@RioIpo 3 месяца назад
Hongera sana Mbunge wangu Taufiq
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu azid kumbarik huyu Mheshimiwa na mtangazaji wa hii makala, Mwenyezi Mungu atujaalie wote tulio Tazama tuwe serious na malengo yetu
@OmanOman-bm1lr
@OmanOman-bm1lr 3 месяца назад
❤❤kabisa wallah 💯 Allah atunyanyuwe ktk kila kheri tunazozifanya
@feynalabdul5999
@feynalabdul5999 3 месяца назад
Ameen
@MrA24G
@MrA24G 3 месяца назад
Huyuu ndio mbunge ana provide direct kwa watu si wale wanaongea maneno mengi.Majimbo yana njaa chagueni wabunge wenye uwezo kama huyuu hii ndio style ya marekani
@nasirabdalla8646
@nasirabdalla8646 3 месяца назад
Mwiiteni aristote aseme speeeec
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 месяца назад
Hii si nyumba chuo kikuuuu.
@annamosha968
@annamosha968 2 месяца назад
Yaani daaah
@user-fl7mr4dt1p
@user-fl7mr4dt1p 2 месяца назад
😂😂😂😂ndo unachosoma au
@ahmadsayyeed7910
@ahmadsayyeed7910 2 месяца назад
Katika vijana ambao wanamiliki mambo makubwa lakini ukimuona katika shuhuli za maarous misiba au hata uraiyani hana mambo mengi wala kujivuna namkubali🎁🥰💞💯🌹
@Leylah-pz5sc
@Leylah-pz5sc Месяц назад
Ni kweli hawa Turk wote wana roho nzuri na anasaidia sana pale mpendae
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 3 месяца назад
Saleh leo kawa km sie yeye full nidham,ule ukuda wa kutaka kujua kila akionacho na kufunqua funqua draw na mafridge kakaushia. All in all Mpaka miquu chini katembea kudadek 😂
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 3 месяца назад
😂😂😂😂😂 nimechekaaaa jmn
@sophiakassim6784
@sophiakassim6784 3 месяца назад
Nimecheka sanaaaa
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp Месяц назад
Mpaka uzungumzaj tofa hahha
@judithkirenga9977
@judithkirenga9977 3 месяца назад
Viongozi wetu wote wanatakiwa kuwa inspiration kwa Watanzania wetu kama hivi❤❤
@user-kh8tr8xh4v
@user-kh8tr8xh4v 3 месяца назад
Mashallah nimependa sana.maendeleo yako Allah azidi kukuweka.
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 3 месяца назад
Mashallha beautiful place❤
@suhailaidarousahmed2879
@suhailaidarousahmed2879 3 месяца назад
MashaAllah muheshimiwa Allah akuhifadhi nimefurahi hicho chumba cha Swalaa wallahi good usali na familis
@OmarSongoro-bp9pn
@OmarSongoro-bp9pn 3 месяца назад
Kuna kuishiii na kuishiaaa
@user-cz1pb6zn3h
@user-cz1pb6zn3h 3 месяца назад
Masha Allah ... allah akulinde na Khasad... sali SUNNA rakaa 2 ... kuomba ulinzi wake... NA CHA KUSHANGAZA UPO KAWAIDA KABISA.
@aminaomary5567
@aminaomary5567 3 месяца назад
Zenji wana vitu vizuri sana'ongera mhe❤❤❤
@jeedymasoud4269
@jeedymasoud4269 3 месяца назад
Unaweza tafutwa mwezi mzima na usipatikane
@nailaomar4810
@nailaomar4810 3 месяца назад
Mashaallah tabarakaallah Allah akuhifadhi
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 3 месяца назад
He has a good heart mashallha
@gracelisso7163
@gracelisso7163 3 месяца назад
Kijana mdogo lakini amekuwa na njozi kubwa yaani mpaka naona wivu wa maendeleo Aristotle anasema spaceeeee
@Luweenamandal2911
@Luweenamandal2911 3 месяца назад
Muombe dua, ili Allah na wewe akubariki ❤
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 3 месяца назад
Aisee hakika Allah akutunze sana Mh Taufiq kwa faida ya wengi
@JJ_00755
@JJ_00755 3 месяца назад
Masha'allah ✨
@ashaabdallah9672
@ashaabdallah9672 3 месяца назад
Maashallah mungu akuzidishie
@mwantumkombo3014
@mwantumkombo3014 3 месяца назад
Manshallah ❤
@khamisshee803
@khamisshee803 3 месяца назад
MashaAllah ❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bas2823
@bas2823 3 месяца назад
GOD BLESS U MORE N BLESS ALL THE CREATIONS OF GOD! IN HIS SWEET WORLD👌AMEEN🤲
@user-pv3km8cb7s
@user-pv3km8cb7s 3 месяца назад
Shukran bro swaleh classic kwa kutusaidia kwa namna nyengine
@rahimahamad1016
@rahimahamad1016 3 месяца назад
Frankley speaking, I like the way the garden is! It is woow and I don't expecting the weird of apart from that house.
@ZuhuraKhamis-rw1it
@ZuhuraKhamis-rw1it 3 месяца назад
Mashallah Allah akubariki na pia uwe na moyo wa kusaidia wasojiweza Kwani wapo wasomiliki ata chumba 1 Allah atakuhifadh duniani na akhera
@khamismohammed1650
@khamismohammed1650 3 месяца назад
Ndio nipo si hata chumba kimoja
@muddychambale5854
@muddychambale5854 3 месяца назад
Mungu akuzidishie zaidi na zaidi
@bentybenty2343
@bentybenty2343 3 месяца назад
Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 7 дней назад
Allah akbar aendelee kuku Bariki inshallah
@faridapandu7579
@faridapandu7579 3 месяца назад
Mungu akupe zaidi nazaidi muheshimiwa na salehe munguakuongoze inshaallah
@salehcllassic2325
@salehcllassic2325 3 месяца назад
Amin inshallah
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 3 месяца назад
Amin kwa sote
@Tuu2019
@Tuu2019 3 месяца назад
Mashaalah
@salimalrumhy7575
@salimalrumhy7575 2 месяца назад
Kwa hio sisi tuliojiripua huku turundi Mpendae tuje tupate ruzuku ya Ramadhan na posho la mwisho wa mwezi 😂
@Chakol682
@Chakol682 3 месяца назад
Leo hamna ubwabwa 😂😂 mfungo 😂😂😂
@mahmoudliwali1919
@mahmoudliwali1919 3 месяца назад
Mashaallah Allah akuzidishie ni mtu mzuri na apenda mazuri Allah ampe mazuri
@rastapeace9616
@rastapeace9616 3 месяца назад
Mungu akupe umri muheshimiwa
@KhalidNa-bn4gp
@KhalidNa-bn4gp Месяц назад
Aaaaaa unashindwaje.bwana kuongeza wake aaah lakn maaasha allah
@deega1234
@deega1234 3 месяца назад
Allah yebarik
@MaranduMarandu
@MaranduMarandu 3 месяца назад
Mungu akubariki kiongozi unaonekana nimtu wa watu
@aishakambenga6191
@aishakambenga6191 3 месяца назад
MashaAllah kama Ikulu vilee pokea MAUA yako 💐
@officialoscaroscarjrfan
@officialoscaroscarjrfan 3 месяца назад
Ila haya maisha sio poa yaani daah😢
@omanmct135
@omanmct135 3 месяца назад
Mashalllah❤
@officialoscaroscarjrfan
@officialoscaroscarjrfan 3 месяца назад
Huyu kweli ni tajir😂😂😂
@ziadasalimu1730
@ziadasalimu1730 3 месяца назад
Yaani mungu huyu ha! Sisi wengine twatabika ha! Asante mungu🙏
@user-ex6sh1rl4d
@user-ex6sh1rl4d 3 месяца назад
​@@ziadasalimu1730omba msamaha kwa mola wako
@user-sf5lk3qo4s
@user-sf5lk3qo4s 3 месяца назад
Masha Allah
@leaherasto929
@leaherasto929 3 месяца назад
Soaaaaceee imezingatiwa wenye pesa hawana kelele
@user-yy6vy4xu2s
@user-yy6vy4xu2s 3 месяца назад
Mungu amuongezeee na sisi atupe vino heri na sisi.
@FayeezAlbahassaney
@FayeezAlbahassaney 3 месяца назад
MashaAllah juzu 1 kwa sik
@user-ff2ez9hj4e
@user-ff2ez9hj4e 3 месяца назад
❤mashallah namuomba allah anijalie na mimi
@mahmoudhamisi673
@mahmoudhamisi673 3 месяца назад
Maashallah
@user-fe3ws4ud3m
@user-fe3ws4ud3m 3 месяца назад
Mungu nipe ulichowabatik wao mungu akueke na akuongezeee unapotoa
@khadijamansoor7415
@khadijamansoor7415 3 месяца назад
Mashaallah jumba la kifahati hatare
@user-nf9ck9wk5y
@user-nf9ck9wk5y 3 месяца назад
Mashallah allah akubariki
@bas2823
@bas2823 3 месяца назад
I LIKE THE PLACE ITS VERY PEACEFUL N STUNNING PLACE TO LIVE N HAVE BRAKE N RELAX👌 IT IS A MARVALOUS STUNNING PLACE😆👍 I LOVE IT❤" "PEACE N QUITE" I LIKE TO LIVE AT THE FARM! THEN TOWN" FAR FROM THE NOISY N ZAHMA 👌COOL N CALM👍
@hamidhajimakame3700
@hamidhajimakame3700 3 месяца назад
Nyumba ina heka Kumi mashaallah
@frankngoloka2589
@frankngoloka2589 3 месяца назад
Daaah kweli tutafute hela
@user-in4en3pu2b
@user-in4en3pu2b 3 месяца назад
Allah akujalie kheer
@tutumarzouk9803
@tutumarzouk9803 3 месяца назад
hii sio nyumba inafaa iitwe Kasri, ina hadhi ya Presidetial house ⭐⭐⭐⭐⭐
@amourmtungo623
@amourmtungo623 3 месяца назад
🤔Kuonyesha raslimali, mafanikio na kusimulia historia yako sio jambo geni, ni jambo zuri na la mfano kwasababu sisi tunaoshuhudia haya huweza kutufunua macho na kujua jambo mojaau mawili. Asanteni kwa kushea tumefarijika na kujua kidogo vipi mwenzetu amefanikiwa.
@emmanueljohn9286
@emmanueljohn9286 3 месяца назад
Umasikini kitu kibaya sana.yaani mtangazaji anatembea peku wakati tajiri kavaa sandal..😂😂😂
@eunicejohn5520
@eunicejohn5520 2 месяца назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hufai
@abdull_hafidh
@abdull_hafidh 3 месяца назад
Hivi mwijaku ameona hii nyumba sio anatusifia kichochoro chake
@donkhan6841
@donkhan6841 3 месяца назад
Mtag aje aone
@silvanusngelageza7240
@silvanusngelageza7240 3 месяца назад
Hahahaha😂
@labunaabouna6122
@labunaabouna6122 3 месяца назад
Mashallah
@leaherasto929
@leaherasto929 3 месяца назад
Nakukubali sana tangu nilivyokusikiliza kwaSalama
@damsonwilson5202
@damsonwilson5202 3 месяца назад
Jamaaa nimemkubali Sanaa mbunge safi
@thuweinthabit6313
@thuweinthabit6313 3 месяца назад
Maa shaa Allah
@jedidahbintidaudi8241
@jedidahbintidaudi8241 3 месяца назад
dah huyu mweshimiwa wa Zbar ni mtu poa sana..anajua kuji-express na ni mtu mwema mno
@HassanHassan-sr3fq
@HassanHassan-sr3fq 3 месяца назад
Hana tatizo ni mtu mstaarab sana,
@fahadfahmy
@fahadfahmy 2 месяца назад
Mimi nimfatiliaji mzuri wakipindi chenu,lakini leo kwamara yakwanza amehojiwa Muheshimiwa plus Tajiri nawala haringi
@jasmintanga2474
@jasmintanga2474 3 месяца назад
Maashallah maashallah
@ReshimaAbdalla
@ReshimaAbdalla 3 месяца назад
Mwijaku anatuambia ana kasri😅sijui hii itakuwa Nini kama ile ni kasri😅😅😅
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Ila Kuna watu wanaishi ili wale, wengine tunakula ili tuishi.
@meowzna
@meowzna 3 месяца назад
Masha'Allah🙏
@mbwanafeisal2904
@mbwanafeisal2904 3 месяца назад
Huyu MH katisha Nadhan hata Mr white mwenyewe hajawai ishi namna hii
@HoneyBeel5
@HoneyBeel5 3 месяца назад
Kwahy ndio ukagoma kuvaa viati😂😂😂
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k 3 месяца назад
Me too like to stay in that environment
@issamanyota
@issamanyota 3 месяца назад
MASHALLAH 🎉
@fatumahashimmcheni9610
@fatumahashimmcheni9610 3 месяца назад
Kuna watu wsishi alafu sisi tunaishiaa Msanii mkubwa wa tz mmoja aonyeshe kama hili
@si-qm1ki
@si-qm1ki 3 месяца назад
Ila nyumba ndogo na simple ni nzuri bana hlf una enjoy haikupi stress....
Далее
HAKUNA NDOA
11:49
Просмотров 240 тыс.
ПОЮ ЛЕТНИЕ ПЕСНИ🌞
3:16:55
Просмотров 1,7 млн
Strawberry Cat?! 🙀 #cat #cute #catlover
00:42
Просмотров 10 млн
아이스크림으로 체감되는 요즘 물가
00:16
MFAHAMU MUUZA SUPU ALIYEIBUKA KUWA BILIONEA
38:24
Просмотров 34 тыс.
🍁 Поверил в себя
0:19
Просмотров 1,4 млн