Bi harusi umetisha sana big kaka umetuimarisha wanawake ingekuwa wanaume wote wangekuwa kama ww ni na Imani wanawake tungeishi na furaha sana anyway et majirani kama umefurahi kama kaka yetu mbwela gonga like ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Unajuwa Nini Big , ulipotoka kwa mademe nilijiuliza kwanini huyu bro simuhoni , Ila kwahili nakubali kumbe bado mbuela kumbe bado upo , mafunzo matupu umetuwekeya umu ndani nakubali bro 🤝👏👏👏
Mume wangu mbela basi uwe unatoa mbili mbili jamani movie tam atrii kazi nzuli ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ jaman naomba uchawi usifanye kazi kwa mke mwenza😂😂😂😂❤❤❤