Тёмный
No video :(

BIBI HARUSI AACHWA NJIA PANDA, MUME AOA MWANAMKE MWINGINE DK ZA MWISHO 

Mbengo Tv
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 118 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 439   
@user-rk5hp8ci3e
@user-rk5hp8ci3e Месяц назад
Hao wote hawakua rizki yako,,umri bado kikubwa jitume nakumuomba sana Allah❤❤❤❤❤
@user-ky1ni2ly9r
@user-ky1ni2ly9r Месяц назад
Allah akufanyie wepesi pia Mimi nilishatakishwa ndoa na mamamkwe na nilisafiri kabisa mpaka leo sijaoleka ndio saa hii nimepata mwengine tena mrembo zaidii ya yule wa kwanza na yule wakwanza alio mwanamke akaja kutukana mamake na kupiga 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nikatafutwa kupewa umbea kwa hio dada hongera sana maamuzi uliyo chukua niyamsingi jikaze utapata mwenye kheir na wewe lkn Mimi sikua nimelala nae bado heshima yangu iko mama ila pia wewe utapata mwenye atakufuta machozi na kikupoza kidonda Love you baby girl ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@rizikimohamed2449
@rizikimohamed2449 20 дней назад
Dada pole sana mashaallah ulivyo mzuri usijali Allah ana sababu atakujalia mume mzuri tu waheri
@MdPrince-tq6hh
@MdPrince-tq6hh День назад
Towa shaka mwenyezi mungu ataleta kheri inshallah
@YusraMussa-m2r
@YusraMussa-m2r 16 часов назад
Pole kpnz imenigusa sana
@zakiamohamed-ug5mx
@zakiamohamed-ug5mx Месяц назад
Pole sana mrembo muombe mungu atakupa aliye sahihii hakuwa wakwako huyo mshukuru mungu
@AishaBaraka-k1d
@AishaBaraka-k1d 18 дней назад
Da pole Sana kipenzi kama mungu amepanga uolewe utaolewa
@HalimaKassim-yz3we
@HalimaKassim-yz3we Месяц назад
Mm namsukiliza sanaaa huyo dada lakini nilichokiona hapo yy ndio hakua na msimamo yaan una mimba ya mtu nahuyhuyo anakushaur uolewe na ww una kubali eti kisa mimba sasa hapo umejifunza nn
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c Месяц назад
@@HalimaKassim-yz3we nashangaa aliyataka mwenywe
@HalimaKassim-yz3we
@HalimaKassim-yz3we Месяц назад
@@MohamedMwachega-x6c umeonae kwanza tuu swala la eti una mwanaume wako na ukaletwwa mchumba hapo ndio angeonesha msimamo kwamba liwalo na liwe sasa yy na akili zake akaona aolww na mtu asimpenda ili kuficha mimba siusenge alivo lala alitegemea nn
@user-lb5oi2wz6z
@user-lb5oi2wz6z Месяц назад
Uyoo malayaa sawa jamaa alivoo ha wa videmu linafanya kazi viwandani viimalaya asa virangii na Talaka ujapewa vp
@ElietiSilausi
@ElietiSilausi 26 дней назад
We mdada mume mwema utampata kanisani.muombe Mungu atakupa wa kufanana nawe.pole my deary
@rauhiyasaad5384
@rauhiyasaad5384 21 день назад
Ushaumwa nanyoka wenda tangaza kidonda. Mtihani huo.watoto wetu muache kujidhalilisha.
@mariammm2574
@mariammm2574 15 дней назад
Pole sana ndugu yangu Jitahidi usifanye mapenzi nje ya ndoa ni haramu Pia bora ulivyoachana na mumeo kwa sababu hivyo ulivyofanya haikuwa sawa kuolewa ukiwa na mimba ya mtu mwingine Huyo mwanaume wako wa kwanza hakuwa mkweli na mapenzi ya dhati juu yako alikuwa anakutumilia kama chumba cha starehe tu MwenyeziMungu atakupa mume mwenye kheri na wewe mtakaopendana in shaa Allah
@SHADIAALLY-pv3ql
@SHADIAALLY-pv3ql 17 дней назад
Pole sana dada yangu maana ndoa kama ipo ipotu mungu atakujalia nautapata mume mzuri sana
@cassamoantumaneantumane3673
@cassamoantumaneantumane3673 Месяц назад
Mbengo tv were the best from mozambique
@SalhaRamadan
@SalhaRamadan 19 дней назад
Pole sana mdogo wetu mrangi mwenzetu uliolewa kisese nyumbani kwetu bereko ukweni kwangu Maisha yanakila changamoto mungu akusimamie popote ulipo
@tztanzania2262
@tztanzania2262 19 дней назад
Shda ilianzia kwake hyo mimba😢
@AishayoutubeMoosa-zn1co
@AishayoutubeMoosa-zn1co 17 дней назад
She is beautiful manshallah ❤
@mukeshimanataussi6939
@mukeshimanataussi6939 18 дней назад
Pole Sana mwanamgu ungaliki mdogo jikaze utapata mume bora
@FatumaIbrahim-c6d
@FatumaIbrahim-c6d Месяц назад
Nani mwengine hamuelewi uyu dada kama mm?😢😢
@skeeteranderson375
@skeeteranderson375 Месяц назад
Mie cmuelewi anaongelea tu story ya safari badala ya huo bwn aliemucha khaa siwezi endelea kwakweli
@jenniferzakaria3884
@jenniferzakaria3884 Месяц назад
Mm mwenyewe simuelew una mme Tena una olewa, kwendraaaaaaa
@JoyceSteven-tu2fi
@JoyceSteven-tu2fi Месяц назад
Nimecheka sana😂😂😂....m niko hapa najikaza kumuelewa
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 28 дней назад
Tulia w bado mdogo utapata wako wamasisha w jitulize tafuta kazi ya halali ufanye usi rukeruke 😢
@mariamsaid6334
@mariamsaid6334 27 дней назад
Yani unasimulia kitu ambacho umekisikia kwa mtu iyo sio story yako kbs acha kutuchosha
@AthumaniMuhende
@AthumaniMuhende 23 дня назад
❤❤❤ Allah akufanyie wepes inshaallah
@Swamyhassan_sy
@Swamyhassan_sy 13 дней назад
Pole sana dear😢hakika inauma sana mshukur mungu kwa kila kitu na kila kinachotokea kina sababu
@indiaboytz5731
@indiaboytz5731 Месяц назад
Kwakua ni muislam siwanaruusiwa kuoa ata wake wanne awe tu mke wa pili sasa
@SaadiyaMohammad-og5bg
@SaadiyaMohammad-og5bg Месяц назад
Dadangu sio khire yako mungu atakupatea mwenginia mweynye khire mungu ajuwa zaidi subra dadangu usihuzunikia pz
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 26 дней назад
Kwanza ukimfatilia vzr hyu bint co mzima hakuna mke hapa
@husseinbakromar5865
@husseinbakromar5865 Месяц назад
Ndoa hupanga na mungu na waislam Sheria wanne kama ataka ndoa anipe namba nikamilishe kisha wabongo mwajua kupanga tamthilia za kweli
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 3 дня назад
Hizo ni sinema zetu
@HeryMrope
@HeryMrope 19 дней назад
😢Asalam aleykum Kila kitu dada kina wakati wake bila shaka Allah Kuna jambo kaliepusha kwako kwahiyo usilalamike mshukuru Allah kwa Kila jambo pia ushauri kwako usisnze kufanya zinaa kabla hujaolewa hiyo ni haramu inshaallah
@user-fi7hm6uu8d
@user-fi7hm6uu8d 12 дней назад
zinaa ni haram hata kama umempenda mwanaume kiasi gani sister wangu
@kiluwagrata4329
@kiluwagrata4329 23 дня назад
Poverty ndio chanzo cha ww kupitia yote hayo coz wazazi wasinge force uolewe na umri huo, pole sana cha muhimu ni kupambana tu achana na ndoa kwasasa focus na maisha yako binafsi
@mwanazuber3968
@mwanazuber3968 17 дней назад
Sio umaskini elewa tamaduni za makabila mengine mtu ukifikisha umri wa kuoa au kuolewa unatakiwa kufanya hvy kuepusha kuzini hovyo
@FauziaAyyib-dw6lj
@FauziaAyyib-dw6lj 18 дней назад
Pole sana dada Allah akufanyie wepesi
@ISSAMAHAMOUDISSA
@ISSAMAHAMOUDISSA Месяц назад
Huna vigezo vyakujitetea dada angu we malaya
@chunaabdullah1333
@chunaabdullah1333 29 дней назад
Huko na watoto wa kike ww Malaya mpevu?
@frpznz972
@frpznz972 27 дней назад
Anko usiseme ivo anko
@fatumashisha141
@fatumashisha141 26 дней назад
Sana
@nasirikuzigile9228
@nasirikuzigile9228 Месяц назад
Wadada wafanyeni kazi ndoa za siku izi kama huna kipato au kazi au biashara yoyote mwanaume ata kuchezea anavyotaka lkn ukiwa na kazi yako au biashara yako na pesa zako mwenyewe mwanaume hakufanyi kama ivi kwanza atakuheshim hata kama atachiti ni kwa siri mno team strong tuendelee kuzitafuta mwaya tukiludi tuinjoy maisha yetu bila hawa mbwa kutuchezea akili😂😂😂😂 nipo zangu urabuni mwaya sina kesi na mtu wee huogopi😂😂😂😂
@user-sv6zy3hc8o
@user-sv6zy3hc8o Месяц назад
Huna baya shoga angu hata mim nipo huku
@user-rj4cd7oc4x
@user-rj4cd7oc4x 24 дня назад
😂😂😂 Leo ndio nimekumbuka kumbe na mm niliwahbkuolewa
@Naw89
@Naw89 Месяц назад
Allah akuhidhi mwanangu bado mdogo sana na mambo yako ni makubwa
@IshaYahaya-s9o
@IshaYahaya-s9o 17 дней назад
Kazuri mashaalah
@Naju645
@Naju645 Месяц назад
Dada huna cha kujitetea unaeleza uongo mtupu unaolewaje na mwanaume ukiwa namimba yamtu mwingine nabado haitoshi unachati namwanaume kwenye cm yahuyo mume jifunze Kwanza kuwa na aibu bibie duh
@marytumaini797
@marytumaini797 Месяц назад
Ahana sawa 😂😂😂😂😂😂😂😂
@UmayyaNkya-ze3ri
@UmayyaNkya-ze3ri Месяц назад
Cjuy ata anaongea nn ata cjamalizia upuuz mmoja
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 Месяц назад
Lishetani hilo hakuna mtu.
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl 10 дней назад
Me sishangae kawaida ya warangi
@user-jz2su4co4d
@user-jz2su4co4d 23 дня назад
Ashukuru mungu maana kuna kitu kikubwa mungu kamuepusha nacho
@ifrahabi4834
@ifrahabi4834 16 дней назад
Kweli kabisa.
@estherphilipo5845
@estherphilipo5845 14 дней назад
Pole sana dada mshukuru mungu uenda kuna jambo amekuepushia
@evertheobald1811
@evertheobald1811 12 дней назад
Kwakweli
@muktarkassim6647
@muktarkassim6647 3 дня назад
Mtoto wa kislamu tena wa like hawezi kujitokeza hivoo na kueleza
@SuleimanKhdija
@SuleimanKhdija Месяц назад
Subhanallah sasa ndio anahojiwa ili iwe je Duh mtihani aibu 😮😮
@laizakisiak5153
@laizakisiak5153 18 часов назад
Pole sana ila ulimkata wa kwanza yani haye n malipo tena n fundisho
@judithtitomalyeta4000
@judithtitomalyeta4000 Месяц назад
Mhuuuu pole sana wanaume wanaumiza jamani
@ElizabethGwasma
@ElizabethGwasma 15 дней назад
Pole dada
@ZawadiMwabadilanga
@ZawadiMwabadilanga 18 дней назад
Pole sana dada siyo rizki usi lie
@user-vq2cb7fn8f
@user-vq2cb7fn8f Месяц назад
Wewe ni mwanamke jasiri hata km watu wanakutukana ‘ kila mtu anapitia mtihani ktk maisha yake’
@mohammedkidody5618
@mohammedkidody5618 Месяц назад
Dunia ina mambo hii mrembo kama uyo utamuachaje wanaume sometimes tunafeli asa😢
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c Месяц назад
@@mohammedkidody5618 alijisababishia mwenywe unawezaje beba mimba ya m2 mwingne den uolewe na m2 mwingne,si kila mwanaume ana kifua cha kuvumilia ayo uolewe na m2 mwingne den badae murudiane,
@user-il5cu6gq5f
@user-il5cu6gq5f Месяц назад
Basi ukamwowe wewe unangalia urembo angalia tabia
@abubakariali9848
@abubakariali9848 Месяц назад
Usipime kina cha maji kwa kijiti utazama ufe
@ishanaaRajoo
@ishanaaRajoo Месяц назад
Huwez jua Mungu tu atustiri ndio mana nasema sisi wanawake htuna uhakika wakupendwa na wanaume ila mwanamme Ana uhakika kwasbb anajua huyu nampenda huyu simpendi sisi wanawake kwa kweli Mungu tu atuhurumie ila tunapitia magumu sana kwa wanaume si wakweli
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 27 дней назад
Kila kitu kina riziki yake na pia huenda mwenyezi mungu kamuepusha na shari za yule mume wala asihuzunike amuombe mungu amjalie mume bora zaidi ya yule
@mohamedkisenga6654
@mohamedkisenga6654 Месяц назад
Ndoa mwez mmoja mambo kibao ovyoo sanaa umalaya ww dada chiz
@AminaOmary-sm4wl
@AminaOmary-sm4wl 10 дней назад
Huwajui warangi ww
@dullymsela4306
@dullymsela4306 10 дней назад
pole xanaa swaree mrangi mwenzangu umebaki tyu kudangaa sasa bakari kavuta kixura kuliko hat ww sura mnazo ila tabia zenu zinawaponzaa we pamoja na mdogo wako tabia zenu zinafanana nakuona unadanga tyu 😂😂😂😂😂😂😂
@salumissa6118
@salumissa6118 14 дней назад
Huyu mwanamke malaya tuu na ni mzinifu Allah amuongoe
@janemugoya1316
@janemugoya1316 19 дней назад
Pole dear your still young God's time is the best
@user-dn7sc8lf8h
@user-dn7sc8lf8h Месяц назад
hii ni tabia ya warangi, wamburu, na wanyaturu. Itakuwa huyu dada ni Moja kati ya hayo makabila. Au msambaa
@briankatani6770
@briankatani6770 Месяц назад
Kweli kabisa utaolewaje na una mimba ndiyo maana ulishinndwa
@Goldenbutterfly-hk1hp
@Goldenbutterfly-hk1hp Месяц назад
Mkundu ww msambaa kafikaje apa
@phorahmahaza638
@phorahmahaza638 Месяц назад
Mshenzi mkubwa makabila ya watu yamefikaje hapo huna adabu kabisa
@user-yx6zq9bp1s
@user-yx6zq9bp1s Месяц назад
Ww una tabia mbaya kutukania makabila ya watu jiepushe na dhana yako mbaya kila sehem Kuna mchanganyiko wa watu Usijione ww na kabila lako ndo bora MwenyeziMungu ndo mjuzi zaidi
@fridakitemangu3446
@fridakitemangu3446 Месяц назад
Unexperience gani na hayo makabila hayo kama Huna comment nzuri usiandike maana unachafua kabila za watu mungu akuhurumie sana wew
@hadijashija1466
@hadijashija1466 4 дня назад
Dada mwenyewe n mbabe san
@MariamRashid-sm5zw
@MariamRashid-sm5zw 24 дня назад
UYO BINTI NIMUONGO SANA MIMI NIMAMA ALIKUWA MALENGIYAKE YALIKUWA KWAHUYO ALIYEMPAGA MIMBA UYO ALIKUWA SIMUOAJI ALIKUWA MJINGA SANA ANGETULIA KWENYE DOA YAKE
@Hawa-y8x
@Hawa-y8x Месяц назад
Eeh pole ndg yng, m , mungu ataksaidia mpnz wng
@user-ni5fw7wn7y
@user-ni5fw7wn7y День назад
pole
@user-tr1nd7xn7t
@user-tr1nd7xn7t Месяц назад
Dada yangu pole sana kuwatu na subra ALLAH atakupa Inshaallah ningelikuwa naeshi Tanzania ningekutafuta usijali ALLAH atakujaliya yatakwisha ni wakati tu!
@teedullah5708
@teedullah5708 Месяц назад
C ni upuzi tu huyu Sasa uraenda vp kuolewa na mume mwenqine Hali ya kuwa unamimba
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c Месяц назад
@@teedullah5708 nashangaa si angeambia familia ukweli kua ye ni mjamzito wakajua mbichi na mbivu kuliko ukubali uolewe na m2 hujampenda den urudi ulaumu
@WinWilly4162
@WinWilly4162 Месяц назад
Kajeuri lakini😂 Pole Mungu atakupa mwingine,umri bado mdogo mno hata kwenye kufikiri kanafikiri kwa udogo ndo maana kameishia njia panda
@raineryponera3278
@raineryponera3278 Месяц назад
Muombe sana mungu kwa maana yeye ndo funguo ya Kila mlango 🙏🙏🙏
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Месяц назад
Mungu atakupa, usijali awe mkristo au mwislamu
@hamidudongo1879
@hamidudongo1879 29 дней назад
Wewe Mpumbavu.. wewe sio muislam au utakuwa muislam jina
@AmaniMafita
@AmaniMafita 18 дней назад
Pole sana binti kuwa muangalifu baado ya hili
@NamiriNamiri-oz4xs
@NamiriNamiri-oz4xs 21 день назад
11:43 Mwana ulitaka mwana ulipata kumbe tulikwenda na ujauzito halafu huku taka kujishusha kwa. Kosa LA kwenda na ujauzito kwa mume. Mpya 2 yule bwana aliekuwa ujauzito akakutia kibri kama toka nitakuwa lakini hukufikiria kama anaekutowa kwa mumeo kawaida HUWA hakui kwa sababu anajuwa na kwake hutodumu sababu utadanganyika na mwengine kilichokikuta ni halali yako.
@user-wv4ue5yn8u
@user-wv4ue5yn8u 19 дней назад
Jifuze usiolewe namimba yamtu mwingine warangi kiboko
@ZainabuOmary-ys8oq
@ZainabuOmary-ys8oq 12 дней назад
pole dada yalinipataga mii yanafanana wanawake tunapitia maumivu mengi sana ila mii nilipata ujauzito nakunitelekeza nililia sana mpaka ujauzito uliharibika maumivu niliyoyapata ila baadae nilikuja nikajifarijika nikaanza maisha yangu nafanya kazi za watu maisha yakaenda nashukuru mungu kwa kila jambo allah akupe subra ila ulipojikoroga ww ni kuambiwa olewa na ukaolewa kweli na kama alikupenda kweli nae aliumia sababu mtu unaempenda hawezi kukubali uwe na mungine baadae nae apana nakushauri jali kwana hisia zako wanaume watakuliza mpk unapokutana nae usijue huyo nani tafuta pesa mapenzi yatakuja yenyewe tena ya heshima
@user-ij9te1ck9p
@user-ij9te1ck9p Месяц назад
Huyu binti ata km vp ni mpumbavu na jahili mkubwa
@OmaryMlacha-se2bg
@OmaryMlacha-se2bg 6 дней назад
Jamani usije ukaomba kuingia kwenye ndoa na Jamii ya huku kwetu manyara kondoa na singida wadada niwazuri kweli illa ukiowa umeowa jini likunyonye damu
@samwelmigera7274
@samwelmigera7274 27 дней назад
Hakuna ridhiki Yako uyo tulia utapata wa kwako
@user-cf6ff6pd2x
@user-cf6ff6pd2x 4 дня назад
Duu nimeumia sana hususan kujua ni mtoto wa nyumbani bereko pole sana
@bosiborimomanyi5592
@bosiborimomanyi5592 Месяц назад
Nkt...eti mume mwenye amekipea mimba akuambie uolewe na mwingine.. hahahaha
@MohamedMwachega-x6c
@MohamedMwachega-x6c Месяц назад
@@bosiborimomanyi5592 wallah eti,
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l Месяц назад
Na bado unampigia simu mtu anakuambiwa uolewe huhisi km hakupendi
@user-uj5wg9mm2t
@user-uj5wg9mm2t 26 дней назад
Ulishatombwa hyo siku hotelin mbona husimulii
@Mary-ug6oc
@Mary-ug6oc 7 дней назад
Kaaaa ila nyinyi watu
@NajatyHassan
@NajatyHassan 12 дней назад
Pole dada angu ndy maixha lakin haya tunayopitia mamy❤❤❤❤❤
@user-jj1uj3my7b
@user-jj1uj3my7b 2 дня назад
Pleas ndugu mtangaazaji najitaji mawasiliano yake huyo mdada
@gladysmueni2534
@gladysmueni2534 20 дней назад
Madam msubiri Mungu.Wakati wa Mungu ndio mwema.mungu atakubariki na bwana mwema.Ndoa sio bora mme ila mme Bora
@NasibuKijuu
@NasibuKijuu 29 дней назад
Pole san
@harrykilongola3092
@harrykilongola3092 День назад
Nipee uyu dada nimuowe
@Naju645
@Naju645 Месяц назад
Dada unaolewa namimba yamwanaume mwingine???ulikosea
@HashimKabwili-on2pk
@HashimKabwili-on2pk 5 дней назад
vmwanaume anaekupenda kweli niyule anaekuja kwenu akachumbia nakuoa kabla hajakuzini sio unaeanzanae kuzini paka mimba
@khadijaathumanikhadijaathu9031
🙎🙎🙎🙎 mhhm jamani mitihani pole ila shida yako kujirahisisha kwa mwanaume kuwa kwenye mahusiano na bado hajakuowa na wewe bado msichana alikuwa amekutumia mpaka amekuchoka ndio maana aliamua kumuoa mwingine ambae hajaluhusu kuchezewa 😢😢
@EliakimEdward
@EliakimEdward 3 дня назад
Njoo nikuoe mama mm nipo tayali kukuoa
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 2 дня назад
Nikiangalia maelezo ya dadaetu kwanza hawezi kujieleza hafahamiki pia mitihani aliyoyapta ameyatengeneza kwa mikono yake mwenyewe ajirekebishe tabia yake hio mzuri
@RamadhaniIman-i4q
@RamadhaniIman-i4q 10 дней назад
Nipenamba za dada naweza kuwa mume bora
@abushaddad989
@abushaddad989 4 дня назад
Achezi zinaaa
@zainabumohamed4763
@zainabumohamed4763 Месяц назад
Kwa kifupi hawa bado wote watoto,
@OmanNew-mv1mv
@OmanNew-mv1mv Месяц назад
Nakupenda naomba namba yako
@ZabibuHamisi-pv7vv
@ZabibuHamisi-pv7vv 20 дней назад
Pole sana dadangu
@RAMLATHAJI-ig4pf
@RAMLATHAJI-ig4pf 4 дня назад
hii ndo shida kuvamia mambo ya kikubwa muda hujaruhusiwa usipoteze usichana wk jmn bila ndoa ndo wanapotuchezea hawa
@PiliIsamil
@PiliIsamil Месяц назад
Pole sana dada wangu
@user-id6xo9td6k
@user-id6xo9td6k 7 дней назад
Atakupenda vipi wakati unamimba ya mtu mwengine,wala siyo ww hukumpenda
@GfhGfg-y7h
@GfhGfg-y7h 10 дней назад
Pole sana dada
@AgnesDeonatus
@AgnesDeonatus Месяц назад
Ndoa ni baraka ya Mungu c matarajio ya mwanadam tuwe na subra
@AgnesDeonatus
@AgnesDeonatus Месяц назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@user-rl1uu9td9d
@user-rl1uu9td9d 10 дней назад
Namtaka niunganishe nae
@RamadhanNyambi
@RamadhanNyambi Месяц назад
Namuomba mim aje niishi nae plz plz
@ifrahabi4834
@ifrahabi4834 16 дней назад
Umesema bado arusi na umepata mimba. Sijakufahamu kabisa
@user-kd2qj1sv9j
@user-kd2qj1sv9j 26 дней назад
Pole san kipnz p❤❤❤
@zayanazayana5518
@zayanazayana5518 Месяц назад
Huyu bint sio mkweli, na kwa nini hataki kwenda kwa watu wake
@happinessmchome9101
@happinessmchome9101 Месяц назад
Na kwa nini aseme hana mimba alafu baadae ameze vidonge eti? Alitoa mimba huyo.
@zahorsuleyman7617
@zahorsuleyman7617 2 дня назад
Nimshenzi tu kama washenzi wwngine.
@user-jj1uj3my7b
@user-jj1uj3my7b 2 дня назад
Mimi nipo tayari kumuowa nahitaji mawasiliano yake
@chikujuma18
@chikujuma18 Месяц назад
Mwenyezi mungu atakupa mume sahihi inshallah pole mpenzi wangu
@HamadyMahindukila-dx8ey
@HamadyMahindukila-dx8ey 5 дней назад
Malaya mzoefu aisee..lichangudoa hili
@jumabonge8577
@jumabonge8577 Месяц назад
huna akili ww dada
@ndogolofadhila6203
@ndogolofadhila6203 Месяц назад
Kabisa
@Dafetty
@Dafetty Месяц назад
Nakuunga 🤝💯
@user-ft2vq5on6l
@user-ft2vq5on6l Месяц назад
Ni kweli hana akili
@AbdalaJuma-pc1tf
@AbdalaJuma-pc1tf Месяц назад
Kisheria huyu dada ni mke wa mtu kwasababu ajapewa taraka hiyo sio haki
@Yassinseleman
@Yassinseleman Месяц назад
Talaka sio lazima iandikwe hata neno Moja tu kumtamkia mkeo nimemuacha jua ndoa imevunjika wakati huo sasa tuchunge wanaume wengi wetu tunaacha wake kwa matamshi alafu tunaendelea na zinaa
@mwanahamisishabani9541
@mwanahamisishabani9541 19 дней назад
Amejivua kwa kurudisha mahali
@esterMahenge
@esterMahenge 11 дней назад
Alafu Kazurii mwee sema akili yote iko kwenye ndoa dhambi 😂katulie tu mweee kata pata mme bora zaidi ya uyo
@user-ih6ng6sf6o
@user-ih6ng6sf6o 17 дней назад
Pole San kwel kwa matatizo ulio pitia 😢 utapata mme bora tu
@user-wl9lx4fi9q
@user-wl9lx4fi9q 6 дней назад
Unaolewaje na mimba ya mtu mwingine , mwanaume yoyote hawezi kukubali
@user-wo8dx8qc2h
@user-wo8dx8qc2h 29 дней назад
Ni2mie namba yako ya simu nikuoe mm
@khamoshmikidadi618
@khamoshmikidadi618 Месяц назад
Mtt mzur mashallah ningekua mwanaume ningemuoa 😢
@nourannouuran3514
@nourannouuran3514 Месяц назад
Shenzi typ mnatia aibu sana ndo mnawaharibia wengine yaan naskia asra,mola msamehe tuongoze,unafaa kulia na utubu kwa mola wako,unaanza kujitangaza,nadhambi ya kutangaza dhambi ni mazito sana
Далее
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 975 тыс.
BABA JAMANI OHHSHH!!
56:44
Просмотров 81 тыс.
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 975 тыс.