Daaaah huyu fundi jamaa kama kamfanyia makisudi yani kamtia hasara kubwa sana sasa uwe na pesa kama nimwenzangu namie pesa yetu ni yakuunga unga unatamani uende ukamchabange mapanga
Uko vizuri sana kwenye suala la ujenzi. Utafika mbali sana kijana. Ila Hilo neno linatamkwa hiden sioo haiden. Ingawa neno lake la msingi linaandikwa hide na kutamkwa haid. Kwa kifupi. Hide tamka haid. Hiden tamka hiden. Mungu akubariki kusanua mabosi na kuelimisha mafundi pia.
Jamani wewe niache tu nimepata hasara mimi uwiiii. Nililetewa fundi anajidai mjuzi wa jpsum. Acha baada ya muda zilianguka zote rumu 3. Tails zime umuka. Naumia mimi jmn maana sinauwexo tena.