Mimi mwenyewe na mshukulu sana mungu, pia nashukulu sana hiii madhabahuu ya inuka uwangeze, Mimi mwenyewe nishudaa niko tabola, natwa elizabetty naependa kuwambia watu madhabahuu haya ni ya kwelii, mimi ndugu yenu nilikuwa sifuliiii na sio kama nilikuwa sitafuti, Mimi Sinaa ata mapumziko, kila siku Mimi na kazi lakini juu yaa biaashaala zangu nauza lakini chaajabu ata ela yakula nilikuwa Sina miye nafamilia yangu, nawala ela yangu ilikuwa aindi mbelee, lakini Toka nilujuwe madhabahuu hyaa namshukulu mungu sana ntena, sana nimekuwa na ela Toka kuzaliwa sijawahii kuzishikaa,, na huu mwaka naamini autoisha nitakuwa na miliki nyumba yangu, namshukulu mungu. Sana
Bila Yesu Barnaba asingekwepo hai au bila Yesu asingeimba. Siyo maombi ila kusudi la Mungu juu wa watu wake. Sisi ni watumishi tusio na faida isipokuwa tunafanya yale tunayoagizwa na Bwana! Give glory to God!
naamini kwa jina la yesu wanaosema vibaya nakukatisha tamaa wenzao washindwe kwa jina la yesu komaa na imani ako usimfuate binadamu mwenzio mungu ndie anae jua matatizo yako mungu muweza mpe nguvu mwamposa aishi miaka mia mia
Aiseee kwa hyo anamuombea azid kufanikiwa kuimba nymbo sizizomtukuza Mungu...kwann asimuombee aache kuimba nyimbo hzo na kumtumikia Mungu???!! Mungu tuokoe na watumishi waongo
Nashukuru mungu kwa nguvu nilizotoka nazo Moshi za kukanyaga mafuta zimempatia nafuu mdogo wangu na Mimi kupona miguu ilikuwa inauma naomba umuombee Mdogo wangu Rashid umuombee kwa uwezo wa roho mtakatifu maana ameshindwa kujaaa Dar naomba umuombee sana
Jamanii amkeni muda Umeishia tutubu dhambi YESU anarudi kunyakua kanisaa haya mambo ya miujiza ni ziada tu lakini kilicho muhimu nikuacha dhambi maana YESU yuko karibu yaliyotabiriwa yote yametimia jamani duniani tunapita tusidhani kama tumefika hapana wakati wote YESU ananyakua kanisa na amesema atakuja kama mwizi. Wakati tunawaza kujengwa majumba ya kifahari, kua waimbaji wa kimataifa na kufanya mambo makubwa ya maendeleo YESU anasema nakuja kuwachukua walio wangu. Simaanishi tusifanye maendeleo hapana tufanye tu lkn tukiwa yuko tayari kwa lolote
YESU alisema tubuni maana ufalme wa mbinguni umekaribia. Inasikitisha kuona kwamba watu hawanampango wa kutubu dhambi nakuishi maisha matakatifu kwaajili ya kujiandaa na ujio wa YESU ila wanawaza kupokea miujiza na kuishia maisha mazuri hapa duniani. It's so sad 😰😢😓
Alietubu dhambi huacha dhambi. Alietubu dhambi hawezi kuzitumikia kazi za shetani na kuimba nyimbo zisizomsifu Mungu ni kazi za shetani na Barnabas baada ya maombi na kuombewa nataka na mwamposa kafanya album ya nyimbo 14 kwaiyo kapona ili aendelee kumtukuza shetani. Swali kwako, ndio Mungu anataka hivyo?
Kuponywa sio shida ila shida unaponywa ili iweje? Na niheri nife na magonjwa lakini roho yangu iwe salama maana ndio kilicho muhimu. Sio kwamba sikutaka Barnabas aponywe hapana ila angepona kwanza rohoni kisha akapona mwilini lkn cha ajabu kaponywa mwili ila rohoni bado mgonjwa. Hicho tu kwangu ndicho kinaniumiza
Moyo wangu umefurahi sana karibu sana kakaangu kipenzi..Mungu anakuja maana nyimbo nyingi za injiri unawatungia watu so Mungu anajua mchango wako..ombi langu mm uanze kuimba injiri na ninaamini itafika tuu siku.Karibu bro karibu sana wengi tumefunguliwa
1 Timotheo 2:9 BHN Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubw
huyo Mungu mwenyewe anakataa nyimbo kwani mnasoma bibilia gani nyie? Amo 5:23 SUV Niondoleeni kelele za nyimbo zenu; kwa maana sitaki kuzisikia sauti za vinanda vyenu.
Mungu anamtaka hivo hivo alivo wewe msafi endelea kuhukum yesu mwenyewe ulisema sikutumwa kuhukum bali kutafuta kilichopotea wewe unajiweka kua hakim sasa pole sana
Hivi kweli unamuombea mtu afanikiwe katika mziki anajifanya ilhali anamuimbia shetani jamani ni Mungu gani huyu basi ambae hana wivu hata chembe? Mungu wetu ni Mungu mwenye wivu anasema msiabudu miungu mwingine ila mimi na ndiomaana Wana wa Israeli walipokua wakimuacha Mungu aliewavusha bahari ya sham walikua wakipigwa na maadui mpaka pale watakapo tubu ndio Mungu anawaokoa lkn wasipo tubu wanachukuliwa mateka Leo Mungu ambariki mtu anaetumikia miungu mwingine? Kwaiyo Mungu wa biblia ni Muongo? Tusimchezee Mungu nyakati hizi ni za mwisho tena za hatari. Watu watakua wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda pesa kuliko Mungu, wenye kiburi n.k. Mungu atuhurumie. Tufanye miujiza, tutendewe miujiza lkn lililo kuu ni kutubu na kuacha dhambi na kumuishia YESU KRISTO.
@@adimmpole9439 hukumu za Mungu zipo kwenye bibilia. Ukilisoma neno, neno litakujuza kipi ufanye na kipi usifanye. Na kama hajui basi yule mchungaji au nabii ndie anapaswa kumuelezea nini Mungu anasema kupitia neno lake. Neno linasema usiwe na miungu mingine ila mimi! Na hukumu ya Mungu iliyo kuu ni moja tu ambayo ni jehanam hiyo inajulikana. Na neno linasema aaminie na kubatizwa ataokoka asieamini atahukumiwa.