Тёмный

UKOMAVU WA KIAKILI (MENTAL TOUGHNESS) - JOEL NANAUKA 

Joel Nanauka
Подписаться 279 тыс.
Просмотров 173 тыс.
50% 1

🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Опубликовано:

 

12 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 285   
@IbrahimuRamadhani-nc4mr
@IbrahimuRamadhani-nc4mr 4 дня назад
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 месяцев назад
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
@adventinahevaristo9558
@adventinahevaristo9558 4 месяца назад
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
@cesiliamaneno9566
@cesiliamaneno9566 3 месяца назад
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 7 месяцев назад
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua. Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 месяцев назад
@@joelnanauka🎉
@petrosamwel2528
@petrosamwel2528 5 месяцев назад
Hellow sir​@@joelnanauka
@christophermantiri1383
@christophermantiri1383 6 часов назад
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
@sikituukololo1161
@sikituukololo1161 6 месяцев назад
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
@eliastanda9825
@eliastanda9825 7 месяцев назад
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Ameen Ameen 🙏🙏
@victormusoga4136
@victormusoga4136 День назад
Je suis 🇰🇪 kenyan et j'adore vos cour.
@embmacrofinance2695
@embmacrofinance2695 4 месяца назад
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
@user-uu6ei1ys3k
@user-uu6ei1ys3k 4 месяца назад
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
@user-oe2vl4zm6m
@user-oe2vl4zm6m 2 месяца назад
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
@wisdomofbooks6905
@wisdomofbooks6905 5 месяцев назад
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
@motiveperson143
@motiveperson143 6 месяцев назад
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
@FransiscaJoseph-bg6vl
@FransiscaJoseph-bg6vl 3 месяца назад
God bless you, it's very powerful speech
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 месяцев назад
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@lutherngoma1270
@lutherngoma1270 7 месяцев назад
Mamboo
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 месяцев назад
​@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@pikanaauntzuu1466
@pikanaauntzuu1466 7 месяцев назад
​@@lutherngoma1270poa
@eddahhawa7471
@eddahhawa7471 7 месяцев назад
Mashaallah 😘🦋
@bina2557
@bina2557 15 дней назад
Kaka Joel Nanauka you're the best in my life you're my mentor
@simonrusigwa3024
@simonrusigwa3024 7 месяцев назад
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
@zachariajacob6559
@zachariajacob6559 7 месяцев назад
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
@salhakyande3905
@salhakyande3905 Месяц назад
Joel! Nice having u
@user-jq1ny9lx4e
@user-jq1ny9lx4e 6 месяцев назад
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
@user-ni3mk5xu2v
@user-ni3mk5xu2v 7 месяцев назад
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
@bonifaceferdinand566
@bonifaceferdinand566 7 месяцев назад
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx Месяц назад
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
@monicakauky8914
@monicakauky8914 2 месяца назад
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
@user-sc9ll5no3f
@user-sc9ll5no3f 7 месяцев назад
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
@felixngwasi9469
@felixngwasi9469 7 месяцев назад
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
@NicksonKihindo-yn5ir
@NicksonKihindo-yn5ir 4 месяца назад
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
@realemma2312
@realemma2312 3 месяца назад
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
@langemwepesi
@langemwepesi 7 месяцев назад
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu.. ❤
@Pendezabylydia
@Pendezabylydia 7 месяцев назад
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
No giving up💪🏼
@faridaamagese2234
@faridaamagese2234 5 месяцев назад
As long as breath I'll never give up in my life.
@angelinamagambo8733
@angelinamagambo8733 7 месяцев назад
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
@user-um6oj8ci9i
@user-um6oj8ci9i 28 дней назад
Mimi nikijana ila nimejifunza vitu vingi sana kwako Joel nanauka na nitaendelea kujifunza❤❤
@maryjulius5923
@maryjulius5923 7 месяцев назад
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Ameen Ameen
@marymkamwa3779
@marymkamwa3779 6 месяцев назад
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind. May God keep you for this generation.
@iamqacha
@iamqacha 4 месяца назад
Keep going no matter the age🙏
@dorothclement5859
@dorothclement5859 4 месяца назад
A wonderful being.. the heaven send guy.
@user-xt5vs7cm2k
@user-xt5vs7cm2k 27 дней назад
Mungu akupe maisha malefu sana
@blada_mich
@blada_mich 7 месяцев назад
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Nashukuru sana🙏
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 месяцев назад
@@joelnanauka🎉
@user-ep1ll6tq8x
@user-ep1ll6tq8x 6 месяцев назад
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 7 месяцев назад
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
@Du_boiz_Mnyama
@Du_boiz_Mnyama 2 месяца назад
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
@priscarichard9719
@priscarichard9719 7 месяцев назад
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Amen Amen, nashukuru sana
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 месяцев назад
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
@NsanzabahiziRehema
@NsanzabahiziRehema 7 месяцев назад
Shukhani Sana
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
@user-ri3se1vj3i
@user-ri3se1vj3i Месяц назад
Amen Mtumishi wa Yehova
@abeldicken8949
@abeldicken8949 6 месяцев назад
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
@saumumagazine-tc4cp
@saumumagazine-tc4cp 7 месяцев назад
Mungu hakulinde Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
@thomasjoseph3178
@thomasjoseph3178 7 месяцев назад
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
@isacklaizer6776
@isacklaizer6776 7 месяцев назад
Joel Arthur Nanauka...Top Academy safi, ila plan kufungua Chuo kabisa, ili hizi shule ziweze kuwa na mtaala rasmi, ambao hautakufa na kuondoka na wewe...Thanks for sharing this with us.
@susanolambo9723
@susanolambo9723 2 месяца назад
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona
@user-wn3xk5kg8w
@user-wn3xk5kg8w 6 месяцев назад
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
@ndalahwashija6278
@ndalahwashija6278 6 месяцев назад
Nimepata nguvu ya kusimama tena kwenye malengo Yangu kupitia somo hili hakika nimejifunza mambo Mengi Ubarikiwe sana Mwalimu
@charlesakomba8103
@charlesakomba8103 6 месяцев назад
kwakweli nimejifunza mengi sana kutoka kwako, Mungu akutanguliye katika safari hii, umetusaidiya wengi kwakweli
@kakawamashariki8978
@kakawamashariki8978 7 месяцев назад
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
@zuwenayusuph3813
@zuwenayusuph3813 19 дней назад
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
@user-wy6re9be2g
@user-wy6re9be2g 7 месяцев назад
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
@priscusaugust7251
@priscusaugust7251 6 месяцев назад
Pole sana
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 6 месяцев назад
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa RU-vid
@norberthamlowe2363
@norberthamlowe2363 5 месяцев назад
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Ahsanteeee
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 месяцев назад
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB. Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
@josephlazaro253
@josephlazaro253 7 месяцев назад
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
@user-jz4go4fm1i
@user-jz4go4fm1i 6 месяцев назад
Good 👍
@TudamsheB
@TudamsheB 7 месяцев назад
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Ahsante sanaaaa
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 месяцев назад
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Tuendelee kujifunza🙏
@abrahammwambije2769
@abrahammwambije2769 7 месяцев назад
@@joelnanauka amina
@user-by5tk4vi5h
@user-by5tk4vi5h 5 месяцев назад
Be blessed brother 🙏
@user-ly6cm6lp3h
@user-ly6cm6lp3h 7 месяцев назад
Nashukuru sana mtumishi wa Mungu umebadilisha fikra na mawazo yangu na nmezidi kuwa jasiri🤍
@Teacherdavidmasterclass1010
@Teacherdavidmasterclass1010 5 месяцев назад
Mungu akulinde kaka Joeli tunajifunza mengi kupitia wewe
@mathewnguyaki
@mathewnguyaki 6 месяцев назад
Asante sana mtumishi 🙏
@ramadhanimtozeni8030
@ramadhanimtozeni8030 6 месяцев назад
What a powerful presentation! May God bless you.
@DaudiSwai
@DaudiSwai 7 месяцев назад
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
@allanjohn719
@allanjohn719 6 месяцев назад
JOEL MUNGU AKUINUE SANA NA MAFANIKIO YAKUANDAE KWA AJILI YA KUSIMAMA KWA UPANDE WA MUNGU UWABARIKI WENGINE SANA
@user-ib9lv7mx5z
@user-ib9lv7mx5z 5 месяцев назад
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
@harunikayuni34tv
@harunikayuni34tv 7 месяцев назад
Hakika Nimejifunza Mambo Muhimu sanaaa Shukulani sanaa Mr Joel Nakufwatilia sanaa Kiongozi
@eliudikijuzi4909
@eliudikijuzi4909 6 месяцев назад
Thenx brother my GOD BLESS YOU
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 4 месяца назад
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
@user-iz9ci4rs3d
@user-iz9ci4rs3d 5 месяцев назад
Tunabarkiwa sana na elimu yako brother Mungu akupe maono zaid na zaid 🎉🎉🎉
@jameskileo5292
@jameskileo5292 Месяц назад
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
@AsiaAsia-sv6ok
@AsiaAsia-sv6ok 6 месяцев назад
Shukran kaka Joel Mungu akutunze kwa ajili yetu
@hyasintajoseph2589
@hyasintajoseph2589 4 месяца назад
Yaaan joel Mungu akubariki tu. Nimejifunza sana
@selemanmasau2096
@selemanmasau2096 6 месяцев назад
Ni kwa neema tu.Mungu akubariki.
@mtumishiraymond2001
@mtumishiraymond2001 2 месяца назад
Amina
@AgnessSosthenes
@AgnessSosthenes Месяц назад
Daima sitakata tamaaa💪
@mathewjiday190
@mathewjiday190 7 месяцев назад
Ahsante kwa mafundisho mzuri yamenikomaza since day one nakufatilia💯💯
@user-rl9tb6cg5h
@user-rl9tb6cg5h 5 месяцев назад
Tunaweza semaa wewe nkama malaika hapa dunian kazi yako nkutoaa ukomashimonii kwenye frikaa finyuu i will never go down
@user-zl5mt6lk4n
@user-zl5mt6lk4n 5 месяцев назад
usikufuru
@CECILIAMAGANGA-sk8md
@CECILIAMAGANGA-sk8md 7 месяцев назад
Mungu azid kukubaliki
@joelnanauka
@joelnanauka 7 месяцев назад
Ameenn
@rosemarynyato6535
@rosemarynyato6535 6 месяцев назад
Thank you so much sir,,and God bless you,,binafsi nimejifunza
@petermunuo1657
@petermunuo1657 7 месяцев назад
Tuko pamoja sana kaka
@CeciliaSadala
@CeciliaSadala 5 месяцев назад
I’m speechless…..I’m grateful……God bless you Joel Nanauka🙏🙏
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Ameeen
@user-vp6dj9pm2x
@user-vp6dj9pm2x 5 месяцев назад
GENEOUS JOEL......Kuna Hekima ya Mungu kwenye ubongo wako....... Iyo awareness sio ya kawaida.....
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Ameen Ameen
@user-ms7ch2dv9s
@user-ms7ch2dv9s 6 месяцев назад
Hakika mungu akubariki mafunzo Yako yananifanya nipigie hatua Zaid ya Jana🤝💪
@user-lj4eq3gj4j
@user-lj4eq3gj4j 5 месяцев назад
I love the message. Asante sana
@iamqacha
@iamqacha 4 месяца назад
Qacha must shine🙏
@HusnaSultan-rm9fq
@HusnaSultan-rm9fq 5 месяцев назад
Joel..nitakuja kutoa ushuuhuda live 💪💪❤❤barikiwa kaka
@LucyMwasu
@LucyMwasu 6 месяцев назад
Asante ndugu yangu kwa mafundisho mazuri Sana Mungu akubariki
@rajabukingwande4567
@rajabukingwande4567 6 месяцев назад
Blessed top life coaching
@jayleetz
@jayleetz 5 месяцев назад
I gained something today thank you Mr Nanauka🙏🏾👏
@AvelinaMossy
@AvelinaMossy Месяц назад
Ubalikiwe sana kaka,yananijenga sana mafundisho yako.
@user-np3jm3pz4h
@user-np3jm3pz4h 6 месяцев назад
Your actually my role model
@merykyungai2551
@merykyungai2551 5 месяцев назад
Nimejifunza kuto kukataa tamaa kusoma kwa shida Sasa Niko chuo kikuu nakufatilia sana more bless
@joelnanauka
@joelnanauka 4 месяца назад
Songa mbeleeee
@danielgodfrey2449
@danielgodfrey2449 5 месяцев назад
thanks for a such wonderful speech
@user-lr5gs1mh7c
@user-lr5gs1mh7c 2 месяца назад
Asate sana
@kelyjames5452
@kelyjames5452 7 месяцев назад
Kakaaa nimeenjoy sanaa somo lako kaka ,Mungu akubalik sana kaka Joel na akupe Afya Njema ❤❤❤❤
@therlmahweezle5529
@therlmahweezle5529 5 месяцев назад
Thanks for the powerful speech
@user-ho8sc3eb5g
@user-ho8sc3eb5g 5 месяцев назад
Good advice prfsr Joel thank you to make me sense
@AdelinaKakese-ym9px
@AdelinaKakese-ym9px 7 месяцев назад
Asante sana ninavuka sasa
@ThereziaDanielKajuna
@ThereziaDanielKajuna 6 месяцев назад
Mungu akutunze vyema mwalim wetu
Далее
Aina 5 Za Watu Muhimu - Joel Nanauka
1:02:23
Просмотров 159 тыс.
TENGENEZA MAISHA UNAYOYATAKA - JOEL NANAUKA
16:51
Просмотров 115 тыс.
Почему худеют от Оземпик?
00:37
Просмотров 263 тыс.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
Vitu 7 Lazima Uvijue Kuhusiana Na Kusudi Lako
27:20
Просмотров 81 тыс.
KUSUDI LA MAISHA YAKO - JOEL NANAUKA EPISODE 02
10:00
DR IPYANA ft JOEL NANAUKA // DAMU YA YESU NA UTAJIRI
18:43
Jinsi ya kuweka malengo na kufanikiwa
1:05:12
Просмотров 435 тыс.