Тёмный

BILIONEA WA DUNIA, ANA NDEGE YA DHAHABU, MAGARI 1600, ROLLS ROYCE, LAMBORGHINI, JUMBA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 128 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 257   
@haryanyawu640
@haryanyawu640 3 месяца назад
Nemependa tu hapo kwenye kodi na huduma za afya bure kwa wote kajitahidi atilist kutojijali mwenyewe na familia yake🤩😍😍
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 3 месяца назад
Mashallah mashallah akika MUNGU kakupa vya duniani mfalme hassan inshallah navya akhera akupe kwakujali wananchi wako.
@HusnaOmarry
@HusnaOmarry 3 месяца назад
Hay sawa tumeelewa alaf mtu unajenga kabanda ka kuku room tatu na sebule na kutembelea i.s.t unajiona we ndo mwambaaaaa acheni zarau Dunia ya mungu hiii
@methodluoga8483
@methodluoga8483 3 месяца назад
Umejuaj😅😅😅😅
@JninjaH2R
@JninjaH2R 3 месяца назад
Mtu chake
@faridhamad3678
@faridhamad3678 3 месяца назад
Ila Husna umejua kunichekesha Wallahi 😂😂😂😂
@GodfreyHaiki-gp6ry
@GodfreyHaiki-gp6ry 3 месяца назад
Mbona unataka kumsema DC mwijaku
@Iddy-pg8kj
@Iddy-pg8kj 3 месяца назад
Acha makasiriko
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 3 месяца назад
Yaani nilisoma huko hadi raha...Nchi raia wanaenjoy balaaaa....Na nikisiwa kidogo tu
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
Ungebaki huko huko uinjoi maisha
@victorcephas3618
@victorcephas3618 3 месяца назад
Yuko vizuri sana na nchi yake wanafurahia maisha.
@luisojr3480
@luisojr3480 3 месяца назад
Hongereni Nasikia hata raia wake wanaishi poa sana
@shamlimah5682
@shamlimah5682 3 месяца назад
He was born to have that's good alhamdulilah may Allah protect u from evil eye who don't want to see others happy.
@iddikibwana9185
@iddikibwana9185 3 месяца назад
Mwisho wa siku hazikwi navyo kweli munguu ni mkubwa
@godfreypaul251
@godfreypaul251 3 месяца назад
Tafuta hela hayo ni mawazo ya maskini
@jonathanmsofu8819
@jonathanmsofu8819 3 месяца назад
Tafuta hela ndugu😂
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 месяца назад
Saka pesa mzee. Acha asira za kimasikini
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 месяца назад
Tafuta fedha
@rajansharky3386
@rajansharky3386 3 месяца назад
Huzikwi navyo ila hakikisha vinapita kwako, hata Mfalme Sulaiman alikuwa Tajiri sanaa Tafuta hela Umaskini haupendezi
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 3 месяца назад
Mashalah mashalah mashalah..mungu akubaliki na akujalie kila la heri apa dunian na kesho inshallah..akupe mwisho mwema..nakikubwa usikufuru na usiwe na kibri
@gloriamichael7935
@gloriamichael7935 3 месяца назад
Uzuri wake anafanya watu wake wasilipe kodi hospital bure mhuuuu ❤
@Johndestar470
@Johndestar470 3 месяца назад
Daah! htr Saana huyo Jamaa ana Fedha nyingi balaaa,,, Billionaire wa htr sn 🔥🔥🔥🔥🔥
@injiliplus
@injiliplus 3 месяца назад
Kumbe kuna watu wanafurahia maisha hapa duniani, ila magufuri angeweza pengine
@ChristineElias-bn4dw
@ChristineElias-bn4dw 3 месяца назад
Mwambie bas anipee nami japo hata kaa 50 million nijenge kwa kulala 😢😢 wengine wako na maisha dunian
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 2 месяца назад
Hongera Sultan Kwa Ubilioner .Ni Jambo la Kheri sana. Saidia Masikini watu wasiojiweza.
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 2 месяца назад
Vyema a Kwa Misaada angalia nje ya Nchi Yako Amiina.
@manasekisunga7407
@manasekisunga7407 3 месяца назад
Mmmmmmhhh halo ni noma kweli kweli ni hatari na nusu
@nichoojr.6747
@nichoojr.6747 3 месяца назад
Mfalme Suleman Alisema Yote NI ubatil Maana tutaacha Ila Hapo kwenye Matibabu Bure Kwa kila mwananchu wake .. Mungu na amzidishie
@JELSONMAUKI
@JELSONMAUKI 3 месяца назад
Millard bana hii story ndo umeijua siku hz.hachana na hyu kuna hyo mwingine yuko Santasa ni mara 2 ya hyo na Elon musk. Hatq Elon musk alishawai kumtaja. Ni shida sana . 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Hata alishawai kusema anataka 🌎 cup ya 2030 hata host yeye na viwanja vya uko santasa atajenga yeye na serikali hisiingilie. Watu wana ela jamani. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@KatabaroCleophace
@KatabaroCleophace 3 месяца назад
Jina kurisikira tu lihishe ni GB 4 apo maerezo bado na utajiri bado yaani yeye kira kitu kirefu ❤❤
@georgedaniel4962
@georgedaniel4962 3 месяца назад
😂😂😂😂
@eggysulle7988
@eggysulle7988 3 месяца назад
😂😂😂
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l 3 месяца назад
NDIO MAANA AKAITWA MFALME lazima Awe Bilionear 👑💪
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 3 месяца назад
Hizo zote ni Mbwembwe za Duniani, Mwakyoma umesahau kutujulisha ni Makanisa mangapi amejenga na Misikiti, au amewekeza km yule tajiri wa siku ile hadi Godouni zote zilijaa na akatamani kujenga zingine na akamsahau Mungu, na akamtangazia ubabe kuwa ww ni mjinga nataka Roho yako, tutafakarini sana haya maisha.
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 3 месяца назад
Kuwekeza kwa kuwajali wananchi wake inatosha...
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 месяца назад
Tafuta pesa
@salma-fc4xc
@salma-fc4xc 3 месяца назад
Sasa unauliza misikiti Brunei 🇧🇳 kweli?😂😂asilimia kubwa ya wanancho ni waislam misikiti ipo yakutosha icho kisiwa kwa akili ndogo tu mfalme hassan yeye ni mwislam hawezi kuwa hajajenga misikiti nchini kwake
@frankhoffa8356
@frankhoffa8356 3 месяца назад
Hapo penyewe unawaza namna ya kuishi vizuri halafu unamsanifu aliyefanikiwa, kweli we punga
@trecygohy7847
@trecygohy7847 3 месяца назад
Kuna 102 Misikiti, 5 Surau and 11 balai ibadat ("worship halls").
@AlexTito-x6n
@AlexTito-x6n 2 месяца назад
Mwenyezi Mungu amembariki, nibaomba anisaidie ili nitende Mapenzi ya Mungu
@naqiahmad26
@naqiahmad26 3 месяца назад
hii inamaanisha dunia ni jinsi gani ni tajiri, umaskini haupo duniani, ila unaletwa na baadhi ya watu kulimbikiza utajiri wa mungu kwao tu. dunia isingekuwa na ykatili, ulimbikizaji wa mali hivyo kama huu na mfano wake, na kusingekuwepo na vita vya kielimu, basi dunia yote ingekuwa salama bila umasikini, tungeishi kama bani Israel kwa utajiri mbubwa alioutoa mungu kwa viumbe wake hapa duniani
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
Ban Israel bado wapo
@hallin9561
@hallin9561 3 месяца назад
I'm proud to be Muslim, izo mali zote ni anasa ya dunia na ni dhambi maana hautazikwa nazo, fuata mafundisho ya dini uitafute pepo uishi maisha mazuri yampendezayo Allah izi mali utaziacha
@emmadora7848
@emmadora7848 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@pilindauka2492
@pilindauka2492 3 месяца назад
Kusaidia wananchi huduma za jamii Bure, hili ni jambo kubwa saaaana, acha tu Mungu amzidishie Mali kadri atakavyojaaliwa.
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 3 месяца назад
Afadhali huu ana jirimbikizia mali na hawasahau wananchi wake
@aishawhite1107
@aishawhite1107 3 месяца назад
Hakika wanaishi Bure
@G-JMK69
@G-JMK69 3 месяца назад
Yes
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 месяца назад
Alhamdulillah Allah kunijaalia kuwa masikini anipe siha njema nizidishe kumuabudu yeye mola mlezi wa viumbe vyote. Allah turuzuku sisi waja wako utajiri usio kwisha katika akhera yetu.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 месяца назад
Mm nina wasiwasi na ww kuwa Allah humjuwi wala humsomi ili umjuwe ndio shida inaanza hapo. Na utajiri huo wakwake Allah asinijaalie kattuh katika Dunia.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
Haya maneno ya kukata tamaa, pambana Bado umasikini utaondoka mbele yako,fanya kazi kwa bidii na juhudi huku akili ukiweka mbele na muombe sana mungu hakika utaondokana na umasikini na dhiki mbalimbali.
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 месяца назад
@@GeorgeAkasha-zx2rj hahaha kaka haya sio maneno ya kukata tamaa, Bali dini yangu ya uisilamu inatukataza kuomba utajiri na sio kupambana ili ukawa tajiri. Na ukiomba huo utajiri, ufuatanishe na kumuomba Allah akujaliye utajiri wenye kheri na ww.
@GeorgeAkasha-zx2rj
@GeorgeAkasha-zx2rj 3 месяца назад
@@jumaothman9449 Ni kweli mkuu ila hapa duniani maisha tunayoishi angalau jitahid kipato kiwepo aisee muombe sana mungu akupe angalau kipato maana daah
@jumaothman9449
@jumaothman9449 3 месяца назад
@@GeorgeAkasha-zx2rj tunapambana tujisijekufikia level ya kuwa fukara. Maisha ni tafu sana ila tunapambana nayo ili tumalizie Dunia yetu vizuri na kupata kula ya halali na sio ya kuzulumu
@mohamedaley5632
@mohamedaley5632 3 месяца назад
Vyote ataviacha juu ya ardhi... atakua chakula ya funza labda afe shahid
@GoodDeeds-Jesus
@GoodDeeds-Jesus 3 месяца назад
Utajiri anatoa Mungu.
@jonathanmsofu8819
@jonathanmsofu8819 3 месяца назад
Acha kelele....tafuta helaa😂
@StephanoMoses
@StephanoMoses 3 месяца назад
Tafuta ela uachane na chuki za kimasikin
@starjay3052
@starjay3052 3 месяца назад
acha kelele tafuta ela
@kituapeter
@kituapeter 3 месяца назад
Ataviacha lakin anaenjoy huko kwingine tunako enda hatupajui kukoje... Tupambanie maisha mazur hata Mungu hapendezwi na umaskini, asiyefanya kaz bac na asile
@BM_Smart2-6
@BM_Smart2-6 2 месяца назад
Masikini watajisikia vibaya na kusahau ya kuwa maisha ni fursa tu na kama huko kwao mambo ni bambam kwa nini asitumie wakati siku ya kufa tunaondoka duniani watupu tu hata ingekuwa ni wewe bwana, hebu tuache basi wivu..
@vero57
@vero57 3 месяца назад
Jina lenyewe lina jaa ukurasa, safi sana babu na mimi tajiri pia
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 месяца назад
😂😂😂😂😂
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 2 месяца назад
Awezi kumfikia mama Samia mama kizimkazi wa Tanzania 🇹🇿
@kdloon2030
@kdloon2030 3 месяца назад
Na utajiri wote huo,mke akibana miguu chumbani lazma jamaa asahau kua ni mfalme!Wanawake mungu ana waona😮
@jacklinesivitie7462
@jacklinesivitie7462 3 месяца назад
Nimempenda sii mbinafisi afya bure,elimu na hakuna kulipa Kodi
@kingsweetbert
@kingsweetbert 3 месяца назад
Kuna watu tunawaza tupajete hela 😢 then kuna mwingine anawaza apeleke wapi hela maana haina kazi 😢😢
@stanleyfocas8250
@stanleyfocas8250 3 месяца назад
Mimi naamini Jp angekuwepo atasisi kwa miaka mingine ijayo tusingelipa Kodi maana tunakila kitu
@SarahAbdi-cw1tl
@SarahAbdi-cw1tl 2 месяца назад
Afu kuna sis mifano kwa ulimwengu ..,dunian hatuelewek mbinguni atudhani
@Kimeii88
@Kimeii88 3 месяца назад
Ahhh yaan apo mondi anamiliki rolly royce moja anatamba mjini mwenzake anamiliki rolly royce 600 ahhh kunawatu wanaelea
@innocentjoseph805
@innocentjoseph805 3 месяца назад
Anayo ndo maana umemtaja angekuwa hana ungemtaja Nani mavi ww?
@kutailass6671
@kutailass6671 3 месяца назад
Maa sha Allah, maisha kabla ya kifo❤
@vibetz9991
@vibetz9991 3 месяца назад
Mshkaji wangu Sana huyu
@hellennehemia9269
@hellennehemia9269 3 месяца назад
😅
@JackobKyaro-zi7uj
@JackobKyaro-zi7uj 3 месяца назад
Mbavu sina😅
@Robust78
@Robust78 3 месяца назад
Nizaidi ya mfalme Suleiman kwa magari sijui ana wake wangapi mana siyo vizuri utajiri wote huo kuula na kamke kamoja tuu na watoto pengine wawili
@mms9158
@mms9158 3 месяца назад
Atupe nasie tusokua nazo mashaalla Alla kamjalia hlf anathamin raia ndomana kapewa zawadi kwa wingi wacha mchezo 😂Alla kampenda 🙏
@Badvoice707
@Badvoice707 3 месяца назад
Hata na sisi mama atatutolea kodi soon
@RoseKimath
@RoseKimath 3 месяца назад
Ebu nipeni namba ya huyo tajiri kuna jambo nataka kuzungumza nae huendaa akaninunulia ata harrier jaman
@Baraka-l9m
@Baraka-l9m Месяц назад
Mimi kwa sekunde naingiza tilion1.4
@Gody360
@Gody360 3 месяца назад
Mmmh hatari
@ROZITHOMAS-y4q
@ROZITHOMAS-y4q 2 месяца назад
Utawala wa demokrasia ndio unatufanya tusiendelee. Tungeendeleaga na utawala wetu wa jadi. Wazee wanachagua mtawala. Tawala hizi ukiziangalia zina maendeleo. Maana kuna familia za utawala. Na mungu aliwapa kipaji hicho.
@charlesboniphace2249
@charlesboniphace2249 3 месяца назад
Magufuri angetufikisha nusu ya safari lkn hatuwez kumpangia Mungu
@samirahemedy3526
@samirahemedy3526 3 месяца назад
Sawa kwenye nichi yake akuna masikini sindio
@MAVATICO
@MAVATICO 2 месяца назад
Jamaa akipanda gari si ni moja tu kwa wakati
@enosjames3972
@enosjames3972 3 месяца назад
Duh!!! nihatar san🎉
@PeterSegire
@PeterSegire 2 месяца назад
Duniani kila kitu kitabaki kaburini utaenda mwenyewe zaidi upate uzima wa milele
@LigiYetu
@LigiYetu 2 месяца назад
Amazing
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 3 месяца назад
Duuu jamaa kaweza nimesomanae aisee
@FredrickMatiku-xf2uk
@FredrickMatiku-xf2uk 3 месяца назад
Utajiri wote huo bado hajamfikiaaaaa burnaboy, davido na diamond platinum
@FadaBronx
@FadaBronx 2 месяца назад
Ayo majinaa Sasa ni noma
@khadijanjama8721
@khadijanjama8721 3 месяца назад
Maa shaa Allah
@MRPRESIDENT-w4l
@MRPRESIDENT-w4l 3 месяца назад
Aisee Kuna WATU Wanajua Kuwekeza Aisee 😂😂😂🙌🙌
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 3 месяца назад
Duuuh huyu jamaa anahistoria ndefu
@AsumaniMAtanga
@AsumaniMAtanga 2 месяца назад
ONG
@ZiyandaMhlana
@ZiyandaMhlana 3 месяца назад
This big boss in world
@mariamfritsi4943
@mariamfritsi4943 3 месяца назад
Alie nacho ,Mungu humuongezea ,huo ni urithi wa kifalme unaendelea vizazi hadi vizazi ,kwani Mungu alishawapa.04.07.24.
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 3 месяца назад
Asante Mtangazaji, yote yanapita.
@betinvestment3204
@betinvestment3204 3 месяца назад
Inawezekana tu ata sisi kidogo kidogo kwani si mwendo wa kuwekeza nakuzisimamia vizury japo mwanzo ndyo kugumu hasa tukija apa bongo dah mmmh serikali itataka kodi yake km mfanya biashara bora kufanya biashara kuwekeza kwenye ambayo serikali haipati ata ziro shs.
@lusajoOmary
@lusajoOmary 3 месяца назад
Bas Elon ana pesa Aiseeeh
@IssaIra-j9u
@IssaIra-j9u 3 месяца назад
Bado sana hana jipya kila kitu atakiwacha hapa hapa
@radotyga
@radotyga 2 месяца назад
Sasa we kwa akili yako ivo vitu kaburini vinaingiaje 🤣🤣🤣🤣tafuta hela acha maneno ya kimaskini
@sarahweston2708
@sarahweston2708 3 месяца назад
Ana wake 550,,watoto 790,,na wajukuu 358,,vitukuu 122
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
Kweli?
@edishaa3108
@edishaa3108 3 месяца назад
IST zipo ngapi😅
@Johndestar470
@Johndestar470 3 месяца назад
Kwahiyo na Yeye yupo kwenye Orodha ya Fobes au?
@fridaernestmkedege900
@fridaernestmkedege900 2 месяца назад
Mnamtafutia shida kwa upande uleee
@husseinremmy5762
@husseinremmy5762 3 месяца назад
Brunei iyo adi Prof jay aliimba
@walinaziontime7300
@walinaziontime7300 3 месяца назад
Sasa mbona Max Ndio mnsema Yupo juuu kumbe pesa yake ni ya madafu dhuuuu kweli Dunia mwamba Ana mwamba wake ilaa mjomba kafinga kazi
@belitomanuel6240
@belitomanuel6240 3 месяца назад
Yeah of course the guy is Rich 🤑 more than trump and Biden
@Irenes_Kitchen
@Irenes_Kitchen 3 месяца назад
Mbona hajaenda uturuki atengeneze masikio😂 na pesa zake, mnafaa kumludia mungu😢
@Catherine-mh8sw
@Catherine-mh8sw 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ernestchaulema226
@ernestchaulema226 3 месяца назад
🔥🔥🔥
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 3 месяца назад
darsalam uk dar salam
@stephenmmbago4975
@stephenmmbago4975 3 месяца назад
Jamaa anaishi bhana
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад
Mabilionea wengine sio wa kuwasimulia jamani..ni aibu....sasa mtu ana hela hajui aziweke wapi unamsimulia nini
@GerardMdui
@GerardMdui 2 месяца назад
Atakuwa ukoo mmoja na suleiman wa zaman
@OchoaHomeDecor_
@OchoaHomeDecor_ 2 месяца назад
Mhh hizi habari nyengine bwanaa 😂
@gilbertshirima2684
@gilbertshirima2684 3 месяца назад
uzuri akifa anaenda na boxer Moja kiunoni na atalazwa 5/6
@DeoKimbe-gt4op
@DeoKimbe-gt4op 3 месяца назад
Nimefurai nchi yake matibabu bule
@rosesilio-og4iw
@rosesilio-og4iw 3 месяца назад
Me mjomba wangu kabisa huyu🤣
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 3 месяца назад
Msiisahau crown media
@sadahamad6158
@sadahamad6158 3 месяца назад
Kuna watu wanaishi halafu kuna sisi tunaishia yote kwa yote alhamdhulillah wacha nikaze kibwebwe nitafute hela 😂😂😂😂
@FRANKJUMA-gk4de
@FRANKJUMA-gk4de 29 дней назад
Amakweri nitajiri
@TonnleeLwisgon-c6m
@TonnleeLwisgon-c6m 2 месяца назад
Mbona kwenye list ya matajiri 10 wa dunia hayupo sasa
@reubendidas
@reubendidas 3 месяца назад
Naqbali 💥💥💥
@TindwaWende
@TindwaWende Месяц назад
Ayo maneno yamkosaji tafuta nawewe wakujadili kama unavomjadili mwamba uyu tajiri
@Imani-ji6cd
@Imani-ji6cd 2 месяца назад
Mwamba anakila kitu😅😊
@luisojr3480
@luisojr3480 3 месяца назад
Kuna mwana familia wao Aliewahi kucheza timu ya Leicester City alitakiwa kulipwa hela nyingi kipindi anacheza
@florianhenry7198
@florianhenry7198 3 месяца назад
Bil 18 na mil 720 Kwa siku jamaaa anapiga Hela ,,,kwenye mazish yake kaburi la dhahabu tupu
@barakarajabu9751
@barakarajabu9751 3 месяца назад
Nme mpa pongez kubwa xan kwa kodi na afya hapo ametisha
@starfordalex4139
@starfordalex4139 3 месяца назад
Matumizi mabovu ya pesa
@PETERLUKAS-kc8el
@PETERLUKAS-kc8el 3 месяца назад
Daaa
@hamadsuleiman5177
@hamadsuleiman5177 3 месяца назад
Jina hujui kulisoma mjomba...Hujui kiarabu mpuuzi😂😂😂
@keitatv9219
@keitatv9219 2 месяца назад
Ad hvyo vyumba uvimalize cnisawa umetembea ubungo ad kibaha
@AbramakameMakame
@AbramakameMakame 2 месяца назад
Na mm naomba
@tztanzania2262
@tztanzania2262 3 месяца назад
Haya ndo maisha sasa
@erickagwe8841
@erickagwe8841 3 месяца назад
Hata uwe na vyumba 1600 utalala kitanda kimoja tu!!!
@margaretjoseph6501
@margaretjoseph6501 3 месяца назад
Nyongeza kodi ya majengo kwenye Luku
@scorasticaclement6308
@scorasticaclement6308 3 месяца назад
Hilo Jina Duuuh 😂😂😂😂😂😂😂
@saynabmohammed6263
@saynabmohammed6263 3 месяца назад
Samia si uende huko ijue ufanyaje na umualike
Далее
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 347 тыс.
would you eat this? #shorts
00:13
Просмотров 1,7 млн
TAJIRI WA MABUS  SUPER FEO ATOA SIRI YA KUWA BILIONEA
10:36
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 5 млн
Launch of PM E-DRIVE
1:45:40
Просмотров 7 тыс.
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 347 тыс.