Hay sawa tumeelewa alaf mtu unajenga kabanda ka kuku room tatu na sebule na kutembelea i.s.t unajiona we ndo mwambaaaaa acheni zarau Dunia ya mungu hiii
Mashalah mashalah mashalah..mungu akubaliki na akujalie kila la heri apa dunian na kesho inshallah..akupe mwisho mwema..nakikubwa usikufuru na usiwe na kibri
Millard bana hii story ndo umeijua siku hz.hachana na hyu kuna hyo mwingine yuko Santasa ni mara 2 ya hyo na Elon musk. Hatq Elon musk alishawai kumtaja. Ni shida sana . 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 Hata alishawai kusema anataka 🌎 cup ya 2030 hata host yeye na viwanja vya uko santasa atajenga yeye na serikali hisiingilie. Watu wana ela jamani. 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hizo zote ni Mbwembwe za Duniani, Mwakyoma umesahau kutujulisha ni Makanisa mangapi amejenga na Misikiti, au amewekeza km yule tajiri wa siku ile hadi Godouni zote zilijaa na akatamani kujenga zingine na akamsahau Mungu, na akamtangazia ubabe kuwa ww ni mjinga nataka Roho yako, tutafakarini sana haya maisha.
Sasa unauliza misikiti Brunei 🇧🇳 kweli?😂😂asilimia kubwa ya wanancho ni waislam misikiti ipo yakutosha icho kisiwa kwa akili ndogo tu mfalme hassan yeye ni mwislam hawezi kuwa hajajenga misikiti nchini kwake
hii inamaanisha dunia ni jinsi gani ni tajiri, umaskini haupo duniani, ila unaletwa na baadhi ya watu kulimbikiza utajiri wa mungu kwao tu. dunia isingekuwa na ykatili, ulimbikizaji wa mali hivyo kama huu na mfano wake, na kusingekuwepo na vita vya kielimu, basi dunia yote ingekuwa salama bila umasikini, tungeishi kama bani Israel kwa utajiri mbubwa alioutoa mungu kwa viumbe wake hapa duniani
I'm proud to be Muslim, izo mali zote ni anasa ya dunia na ni dhambi maana hautazikwa nazo, fuata mafundisho ya dini uitafute pepo uishi maisha mazuri yampendezayo Allah izi mali utaziacha
Alhamdulillah Allah kunijaalia kuwa masikini anipe siha njema nizidishe kumuabudu yeye mola mlezi wa viumbe vyote. Allah turuzuku sisi waja wako utajiri usio kwisha katika akhera yetu.
Mm nina wasiwasi na ww kuwa Allah humjuwi wala humsomi ili umjuwe ndio shida inaanza hapo. Na utajiri huo wakwake Allah asinijaalie kattuh katika Dunia.
Haya maneno ya kukata tamaa, pambana Bado umasikini utaondoka mbele yako,fanya kazi kwa bidii na juhudi huku akili ukiweka mbele na muombe sana mungu hakika utaondokana na umasikini na dhiki mbalimbali.
@@GeorgeAkasha-zx2rj hahaha kaka haya sio maneno ya kukata tamaa, Bali dini yangu ya uisilamu inatukataza kuomba utajiri na sio kupambana ili ukawa tajiri. Na ukiomba huo utajiri, ufuatanishe na kumuomba Allah akujaliye utajiri wenye kheri na ww.
@@jumaothman9449 Ni kweli mkuu ila hapa duniani maisha tunayoishi angalau jitahid kipato kiwepo aisee muombe sana mungu akupe angalau kipato maana daah
@@GeorgeAkasha-zx2rj tunapambana tujisijekufikia level ya kuwa fukara. Maisha ni tafu sana ila tunapambana nayo ili tumalizie Dunia yetu vizuri na kupata kula ya halali na sio ya kuzulumu
Ataviacha lakin anaenjoy huko kwingine tunako enda hatupajui kukoje... Tupambanie maisha mazur hata Mungu hapendezwi na umaskini, asiyefanya kaz bac na asile
Masikini watajisikia vibaya na kusahau ya kuwa maisha ni fursa tu na kama huko kwao mambo ni bambam kwa nini asitumie wakati siku ya kufa tunaondoka duniani watupu tu hata ingekuwa ni wewe bwana, hebu tuache basi wivu..
Utawala wa demokrasia ndio unatufanya tusiendelee. Tungeendeleaga na utawala wetu wa jadi. Wazee wanachagua mtawala. Tawala hizi ukiziangalia zina maendeleo. Maana kuna familia za utawala. Na mungu aliwapa kipaji hicho.
Inawezekana tu ata sisi kidogo kidogo kwani si mwendo wa kuwekeza nakuzisimamia vizury japo mwanzo ndyo kugumu hasa tukija apa bongo dah mmmh serikali itataka kodi yake km mfanya biashara bora kufanya biashara kuwekeza kwenye ambayo serikali haipati ata ziro shs.