BINSLUM VS AFROIL: Tazama magoli, kilichosababisha mchezo kuvunjika pamoja na uamuzi wa kamati ya mashindano ya #RamadhanCup2021 katika mchezo wa nusu fainali kati ya Binslum dhidi ya Afroil iliyochezwa juzi Mei 5, 2021.
Mchezo ulivunjika wakati Binslum wakiwa mbele kwa mabao 3-2 na uamuzi uliotolewa ni kuiondoa Binslum mashindanoni na kuipa ushindi Afroil ambao sasa ndiyo watakaocheza fainali dhidi ya Silent Ocean.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
25 окт 2024