Anaitwa Shadia Mrisho Juma mama Jasiri amejifungua Watoto wanne kwa mpigo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na ametusimulia mapito yake kabla ya kujifungua ambapo sehemu ya simulizi yake ni kuwa baba wa Watoto ametoweka na hatikani na simu zake hazipatikani.
14 окт 2024