Muacheni binti wa watu amlilie mume wake acheni kumchagulie mwanaume,habari za kurithishana mke ni za kizamani acheni kupelelea maradhi binti wa watu.aisee😊
😳😳🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭😭😭Dah! Poleni sana sana dah! Mungu wape nguvu wafiwa hasa huyu mwari 🤲🤲🤲Mungu amsimamie kwa kipindi. walipendezana sana jamani😭😭😭😭😭😭
@@OmanOman-ns3iw Mthan kfo kpo na hakkmblk 2ombe hatma njema halw jambo bla mungu kuptsha 2mtangulze kwa kla ha2a maana wema wanaomba na wabaya wanaomba.
Ile sehemu inakonakonahiv pia barabara ni nyembamba hasa baada ya kupita pale dampo kunakonakali , mimi mwenyewe niliwahipata ajali pale nikiwa naendesha kuna mwamba alikua kasi akashindwa kontrol chombo chake. Ni Mungu hakuruhusu yatimie tuliumia , nisehem sorafiki
nimepokea kwa mshtuko mkubwa sana taarifa ya msiba huu, pole sana kwa familia, pole sana shemeji angu, wadau woote wa Unga ltd SDA Church poleni sana. R.I.P (Resurrections Is Promised) Mungu awe mfariji wenu mkuu.