Hapa nimeelezea vitu vya kuangalia unaotaka kununua kamera
1.Sensor size
Sensor zipo za aina mbili, Full frame camera na Clopped camera sensor
Full frame zina fanya kazi vizuri zaidi kuliko clopped
kwa sababu zinapiga picha Sharp, HD, Na pia hata sehemu yenye mwanga hafifu hupiga Kazi mfano wa full frame ni Canon 5D, Mark II, Mark III, Mark IV, Can 6D na 6D Mark II, NIKON D810, Nkon D750, Nikon D5, Sony Alpha A99 II, Pentax K-1
Full frame ni (36 X 24mm) CHINI YA HAPO NI CLOPPED MFANO canon 7D, 550DNK
2.Resolution
Kuna Camera zina uwezo wa kushoot 4k na kuna nyingine 720P Ila ushauri wangu chagua camera yenye uwezo wa angalau 1920x1080 kama hutoweza kununua 4K
3.Frame Rate
Frame rate ndio kitu muhimu pia hasa tunvyooandaa music video na movies Frame rate inachangia sana kwa kukudokezea
Chagua camera yenye frame rate kuanzia (24fs, 25fs, 30fs na 60fs)1080 Japo kuna camera zinapiga hadi 90fs yaani hii inashhot slow motion bila editing
4.Upatikanaji wa Vifaa vya kamera huusika
Kwa upande wa tanzania kwa sasa watumiaji wa Canon wana unafuu sana kupata vifaa vya camera hizo mfno lens, Battery,Hood, Flashlight tofauti na watumiaji wa Nikon, Sony, Lumix nk, Hawa huwalazimu wanunue nje ya nchi
5.Uwezo wa kudumu na kuhimili mikiki mikiki
Kuna badhi ya kamera zikikiingia vumbi tu zinakufa, kuwa makini lakini pia kuna camera hata uingie nayo baharini haifi yaani hii inakuwezesha kushoot hata ukiwa unanyeshewa na mvua mfano, Canon, Sony zipo zenye uwezo huo
JIULIZE Utaenda upande Upi NIKON, CANON,SONY Au LUMIX ?
Kai kwako Ukipata jibu usisahahu ku subscribe
8 сен 2024