Mwandishi pumbavu zako kabisa mnashindwa kutumia elimu yenu ya uandishi kuandika vichwa vya habari vinavoeleweka Sasa hapo umeandika nini Kama siyo uchonganishi au na weye una chuki na chadema acheni hizo bana tumieni elimu zenu kutoa taarifa za maana ya kufahamisha wananchi na siyo kugombanisha viongozi
Msikubali ccm watoke na chakula kwenye ofic zao kwaajili ya mawakala.. msikubali kabisaaa ikiwezekana wakaguliwe ..wanawekaga kadi za kula zenye ushindi kila plreti ya chakula kadi 50. Namwaka huu tayali imeshaandaliwa
Ujinga wenu nahapo mbeya hamtapata kitu .hamna Sera .uchaguzi mwakani unamkataba na Mungu .kusema nirahisi sana kuliko vitendo.Maisha yako nimangumu siyo wangine.Chadema nichama cha ukoo na wahuni tu