Тёмный

Chakula cha MAAJABU, Sinia LAKI NA NUSU, hubebwa na watu wawili kwa uzito wake, hii sasa ni balaa! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 35 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

1 окт 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 188   
@vero57
@vero57 2 года назад
Wanawake tunaweza sanaa!! Hongera sana dada 👌👊😋😋😋🔥👏👏🍺🍺
@bakariomari8758
@bakariomari8758 2 года назад
Nikija dar hapa lazima nafika inshallah. Hongera Dada, kwa idea nzuri
@magrethmanintveld5477
@magrethmanintveld5477 2 года назад
Karibu
@zulfahussein6784
@zulfahussein6784 2 года назад
MashaAllaah chakula kizuri kinavutia hila jinsi wanavyo kipeleka kwa watu sio kwenye mazingira mazuri kabisa
@aminamodi8927
@aminamodi8927 2 года назад
NAOMBA CHAKULA KIKIWA CHATOKA JIKONO KWENDA KWA MLAKI KIFUNIKWE HII MI.KWA AKILI YA VUMBI NA NNZI HONGERA SSASANA DADA YANGU
@khalfanjuma7678
@khalfanjuma7678 2 года назад
Na iyo minywele pia wafunike
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 года назад
Ila Dar kuna chakula kizuri kwa kweli 👏👏yani hatari
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 года назад
Even Arusha bwana
@zawadirafael5921
@zawadirafael5921 2 года назад
@@georgemhalla8853 umenena
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 года назад
@@georgemhalla8853 huko mtatushinda kwa nyama labda,ila nimecheka
@venantrugabela6798
@venantrugabela6798 2 года назад
Ushauri mdogo tu Kwa kuwa kuna wakati umbali wa kupeleka chakula ni zaidi ya mita 5, ni vyema chakula kikafunikwa ili kulinda afya ya wateja. Miti inaweza kuzalisha wadudu, maua, mbegu au kinyesi cha ndege vikadondokea chakula
@babamarry6350
@babamarry6350 2 года назад
Kweli kabisa hata mimi nimeliona
@user-ot2io4cy6w
@user-ot2io4cy6w 2 года назад
Upo makini sana 👏🏾👏🏾👏🏾
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 года назад
Safiiiii
@hassshoban8206
@hassshoban8206 2 года назад
Kimoto huhitaji kufunika
@Mimy_keys
@Mimy_keys 2 года назад
Chakula kingi mno kwa gharama hiyo 🤔 Mambo ni moto 👌 Mama weka meza zile za kupeleka chakala, Wadada watavunjika viuno hivyo 🤭
@Lassana755
@Lassana755 2 года назад
Kwa kweli Na hao walaji hicho hawakimalizi
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
😂😂
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
Good idea really👏
@samerjunior2158
@samerjunior2158 2 года назад
Pengine nipicha tuu hujaona wazi
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
HAHAA
@ilovejesus9303
@ilovejesus9303 2 года назад
Safi sana Dada msomi umeniispire sanaaa. Kujiajiri raha
@mariamumuniss1338
@mariamumuniss1338 2 года назад
Nice pia mtangazaji anajua kuhoji🥰🥰
@valentinanduku8718
@valentinanduku8718 2 года назад
Good combination one day i will visit the place
@dottohamisi9844
@dottohamisi9844 2 года назад
Wanawake tunaweza sana 💪imenoga hiyo 😋
@jpkkakudji9402
@jpkkakudji9402 2 года назад
Naomba naba uyo dada esko ww mtu noma sana king wangu 🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦
@sharifasharif3978
@sharifasharif3978 2 года назад
Hiii inaitwa kula kujigalagaza, hapa panamfaa bb levo mpen mtu combo ale🤣🤣🤣🤣🤣
@assya48
@assya48 2 года назад
ushauri jaribu kuweka na smalla plate kwa familia hasa kwa zile zinakuja na watoto hawawezi fikia vyakula vingine sahani ni kibwa
@mozasalum9715
@mozasalum9715 2 года назад
Hongera sister I love your idea
@assya48
@assya48 2 года назад
nice ushauri jaribu kutumia plastik rap kufunika chakula from kitchen to mtaja inaonesha ni masafa marefu chakula chaweza kuchafuka nzi wadudu vumbi from upepo
@vibetz9991
@vibetz9991 2 года назад
Spatii picha ,Combo inapelekwa kwa njemba moja tu ,mezani, amekaa anaisubilia
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 2 года назад
Hahahahahaha 🤣🤣
@Myright888
@Myright888 2 года назад
Hahaha
@sabrinamustafa8554
@sabrinamustafa8554 2 года назад
Umenenepa Esco MashaAllah
@saudazigaba2424
@saudazigaba2424 2 года назад
Hongera sana
@Yunus_Hassani
@Yunus_Hassani 2 года назад
Kazi nzuri na mikoani mna tuna😂😂😂
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
DADA ENDELEA KUWA MBUNIFU SASA TENGENEZA KI GARI CHA KUSUKUMA NA IKIWEZEKANA BUNI NSMNA GANI CHAKULA KITAKAA NA MOTO MUDA WOTE
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 2 года назад
Mashaallah 🔥👌
@aysheraden7718
@aysheraden7718 2 года назад
Mbona Kenya mombasa wanafanya sana hii na hasa walioanzisha hii ni waturuki inaitwa platter ukinunua hilo sahani ina kila kitu sema wao sio sinia ni sahani ya gae kubwa
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 года назад
Kweli mombasa iko hii wapi hebu niambie mm home ni mombasa hebu niambie ni wapi inapatikana nikiwa home inshallah twende na familly
@thuvakonde2584
@thuvakonde2584 2 года назад
In sha Allah nikija vacation apo ntapeleka familia yngu waji enjoy laki n nusu sio pesa kwa furaha kwa mke wngu n watoto wngu In sha Allah @Mombasa 🇰🇪
@yasintawalyuba2444
@yasintawalyuba2444 2 года назад
Nice work sister
@aikakeenja3993
@aikakeenja3993 2 года назад
Kifunikwe kinatoka umbali mrefu kumfikia mlaji
@zenajustus5731
@zenajustus5731 2 года назад
Hongera dada .
@rosejoseph9378
@rosejoseph9378 2 года назад
Hongera dada kazi nzuri
@giztony2009
@giztony2009 2 года назад
Perfect combo!??!!!
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796
@ifgodsayyes.nobodycansayno1796 2 года назад
INGEFAA WEDDING HII NA COME THIS YEAR KUFANYA HARUSI YANGU BUT I'M A KENYAN I WISH IKO POWA SANA
@neemakilomoni4258
@neemakilomoni4258 2 года назад
Wow 😋😋I can’t wait 😋
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 2 года назад
Aise nikija Dar nitatafuta hiki kijiwe du watu wana maarifa jamani du hongera sana
@hassansalumu210
@hassansalumu210 2 года назад
Nikipata parkege yangu ugali nitautupa😆😆 ,hizo zarau
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 2 года назад
HAHAAA
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
😅😅😅😅ww kubakisha vigum kwan unaenda Gym aiseee
@azzaalmaamry5817
@azzaalmaamry5817 2 года назад
Hongera Dada
@khalekichambo1131
@khalekichambo1131 2 года назад
Sinia sio siri limeniita kwa jina langu kabisa 😋😋😋😋😋😋
@fatnafaraj7545
@fatnafaraj7545 2 года назад
Hahahaaaa unanidai so kwa kicheko hiki
@fatumadumba5009
@fatumadumba5009 2 года назад
Mbona hiyo combo alianza miaka mingi,mi nilikuta uganda inaitwa lusinia ni hatariii
@lulually5209
@lulually5209 2 года назад
Duuuh msosi wa kufa ngedere laki na nusu halali mpk mate yamenitoka
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
😅😅😅😅
@nilansaid2927
@nilansaid2927 2 года назад
Watanzania ni harworkers na smart sana hasa umkute msomi
@Sppah697
@Sppah697 2 года назад
Kuwe an special Trolley Basi ya kubeba hicho chakula!
@hono1232
@hono1232 2 года назад
Nunua vitoroli vidogo vys kusukumia chakula.hakikisha kufunika na karatasi nyeupe za nailoni,pia hakikisha wahudumu wanavaa muda wote kitcheni gloves.hapo utakuwa umevunja record bora kabisa na mapishi bora kabisa
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
Yeah kitchen gloves na vitambaa kichwani
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
Umemaliza mwambaaa
@mwanaishazain7985
@mwanaishazain7985 2 года назад
Ukajifanya kusema kama mzungu mara unajisifu unasema malreee sema tu matamshi yako unajichoresha ovyoooo kabisa
@rahjah5882
@rahjah5882 2 года назад
Creative na bei ni rahisi sana
@Myright888
@Myright888 2 года назад
Mi mwenyewe nipo hapa Germany nishaandaa likizo nijekula kombo tu kwa kweli lol!
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
Ukujee ni baalaa tuliwah kwenda aiseee
@zuweinaally2413
@zuweinaally2413 2 года назад
FUNIKA CHAKULA UKIWAPELEKEA WATEJA..NA MATAYARIDHO MEZANI YAWE TAYARI ...
@priscaprisca2569
@priscaprisca2569 2 года назад
Nikija tz nitaleta family yangu wajienjoy na kombo meal 😋
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
Dada umevutia watu hadi nchi za nje wanataka kuja, nimeona kwenye mitandao watu mbalimbali toka mataifa ya nje wakiulizia
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 года назад
Na kwambia mm wakwanza naangalia hiyo combo nikiwa Germany
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
@@emmamombo7149 😅😅
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 года назад
@@isaachayes9783 nimeona mtu ameandika hapo kwa comments pia mombasa kenya iko inshallah nitakitafuta mate mdomoni
@nuraydasworld4431
@nuraydasworld4431 2 года назад
mm nataka from 🇺🇸
@Myright888
@Myright888 2 года назад
Mi mwenyewe nipo Germany na nimeshaipangia likizo nikale nirudi niendelee na kazi 😀😀😀
@donardmsomi8451
@donardmsomi8451 2 года назад
Mko vizuri... But muwe mnafunika chakula
@sakinaomary7207
@sakinaomary7207 2 года назад
Sasa wakidondoka na hilo sinia hata sitawaelewa
@genovevatarimo3982
@genovevatarimo3982 2 года назад
Watu wanakula jaman😉😉
@user-po8hz7xw9j
@user-po8hz7xw9j 2 года назад
Namba ya simu tunaomba
@queenlinda255
@queenlinda255 2 года назад
Namba ya simu
@Myright888
@Myright888 2 года назад
Saaafi Sanaa
@annakattoa7502
@annakattoa7502 2 года назад
Number ya simu tuweke order jamani....
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 года назад
DADA USIPATE TABU KUFUNIKA TUMIA KAWA KUBWA AMBAYO UTATUMIA KWA MDA MREFU NA NZURI PIA
@aminachingwalu2850
@aminachingwalu2850 2 года назад
Hio sahan ni atar
@nuriathmickdard6521
@nuriathmickdard6521 2 года назад
Kiwe kinafunikwa kwa usafi na usalama
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 2 года назад
Hiyo sehemu km naiona segerea mwisho nikipata time InshaAllah nitakuja
@ndayishimiyecynthia5256
@ndayishimiyecynthia5256 2 года назад
Siku nikienda Tz lazima nifike hapo na marafiki zangu nimependa
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
Nipitie ndg ukanipe offers 😂🙏🏻
@ndayishimiyecynthia5256
@ndayishimiyecynthia5256 2 года назад
Tena na bia zipo nisehemu nzuri sana ntakuja siku moja
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 года назад
Haaaaaaa unawaza bia
@rahamrahma6259
@rahamrahma6259 2 года назад
Hongera dada kwa ubunifu
@isaachayes9783
@isaachayes9783 2 года назад
Waafrika kwa kula, 🤣 kudadadeki
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 2 года назад
Hahaha ni shida
@maloomaalmnsj5111
@maloomaalmnsj5111 2 года назад
Acha tuleeeee
@yasintawalyuba2444
@yasintawalyuba2444 2 года назад
Dada chakula muwe mnafunika kwa kutumia foil ya chakula
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 года назад
Chakula kizurii bei nafuu sana
@evelynekoseko2275
@evelynekoseko2275 2 года назад
Mimi hukitamana sana ....nikija dar lazma.....yani hukiona insta mate yatoka
@honorataharold947
@honorataharold947 2 года назад
perfect combo; but napenda kutoa ushauri kwa kua kutoka jikoni mpaka kwa wateja kuna umbali na wanabeba kwa mikono ungejaribu kutafuta namna ya kukibeba labda kutumia troll kuepuka kujikwaa, mikono kuteleza, kuungua , na kadharika
@comedyclips4274
@comedyclips4274 2 года назад
💙💙🇰🇪🇰🇪🇰🇪🎇🔥
@AliMohammed-df7iz
@AliMohammed-df7iz 2 года назад
Ebanae nakubali tz Nazi iendelee
@anjoymshami3091
@anjoymshami3091 2 года назад
Hongera sn dadaangu mshukuru mungu aliyekuwezesha kupata uwezo huo
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 2 года назад
Kuna foil tumieni
@omarykitololi447
@omarykitololi447 2 года назад
Yani hiyo ndo maana haris ya kutumia elim yako kuwa created na kutoa ajira kwa watu wengine, sio umesoma unakaa tuu nyumban hunasubil kuajiwa mtu kama huyo asijiite Masomi, congratulation sister....
@matukiosafaris6508
@matukiosafaris6508 2 года назад
Nnavyowajua wabongo wape mwezi tu kila mahali utasikia tunatoa huduma ya combo
@fesalchambuso8023
@fesalchambuso8023 2 года назад
🤣🤣🤣
@deborahcharles5676
@deborahcharles5676 2 года назад
Sio mbaya ni biashara ndio ilivyo
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 года назад
@@deborahcharles5676 NDIO MAENDELEO KUIGA.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
Esco unapenda milion ww
@Sppah697
@Sppah697 2 года назад
MazingiRa jamani na siyo mazingiLa!😏😳🙄
@Lassana755
@Lassana755 2 года назад
Sasa hawa ata robo hawamalizi iyo ki2
@winfridamwigilwa2107
@winfridamwigilwa2107 2 года назад
Wale wakuiga hawachukui muda.
@subiramussa1428
@subiramussa1428 2 года назад
Kabsa
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 2 года назад
ndio tz tatizo lao wanafeli apo tuu
@jrm9448
@jrm9448 2 года назад
Tena wanaboresha zaidi
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 года назад
@@zuleikhakhamis3303 KUIGA NI MAENDELEO SIO MBAYA NA YEYE PIA SIO WA KWANZA.
@khadijahali4837
@khadijahali4837 2 года назад
😊😊ubunifu
@aminatanzanya7475
@aminatanzanya7475 2 года назад
Chakula kinavutia had rah
@kisalaTV
@kisalaTV 2 года назад
Hii nikirudi bongo lazima nije
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
@hono1232
@hono1232 2 года назад
Tunaomba namba ysko ya simu!
@asmhatanzania8697
@asmhatanzania8697 2 года назад
Chakula kizuri ila kiko wazi wafanyakazi hawajavaa gloves pia😋
@ediymakame6643
@ediymakame6643 2 года назад
somchezo
@afamefunaokeke6966
@afamefunaokeke6966 2 года назад
naomba hilo sinia lol
@bakariyusufujuma
@bakariyusufujuma 2 года назад
Mbona ugali hakuna?
@ladyt1471
@ladyt1471 2 года назад
Hongera sana mamii naomba utuwekee namba za simu ili tuweze kufanya booking mapema for Christmas
@neemaruben5427
@neemaruben5427 2 года назад
Mnapatikana wapi jmn
@kdloon2030
@kdloon2030 2 года назад
Mtangazaji kaenda mixer uroho"Eti tuonje
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 года назад
mpaka kifike mezan ndeg si ameshakinyea
@aisharevelian6933
@aisharevelian6933 2 года назад
Nimecheka 🤣🤣🤣
@kiri5807
@kiri5807 2 года назад
nimemind kweli kwa shuhuli kila meza ya 1 50, 000 imetoka hiyo .
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 2 года назад
Kumenoga nikirud nitemberee🇴🇲
@annamwakibinga527
@annamwakibinga527 2 года назад
Acha maneno bwana tuonyeshe chakula
@rehemahramadhani3428
@rehemahramadhani3428 2 года назад
kiw. mnakifunika maan
@MRST_1662
@MRST_1662 2 года назад
Hapo ni wapi na panaitwaje? Jina na restaurant?🇹🇿🇨🇦
@m.mmarckus6298
@m.mmarckus6298 2 года назад
Hapo juu tizama bango,ni tabata segerea
@jamilahathumani4222
@jamilahathumani4222 2 года назад
Kama ingewezakanaa angesajili wazo lake Hilo la kusevu chakula chake ili wasimuige yeye ndo awe muasisi ili apate pesa zaidi kupitia wazo lake Hilo la tofauti,,Mana bila ya ivo watu watamuiga jinsi yakusevu alafu baada ya muda atakosa upekee hivyo itampelekea kukosa kipato,,trust me,,aende kusajili uspesho wake huo atakuwa bilionea wabadae,,na itamfanya kuwa peke yake na atapata oda nyingi zaidi itampelekea kupata pesa zaidi kwasababu atakuwa peke yake hapa Tanzania na duniani pengine
@zaytunhijja6771
@zaytunhijja6771 2 года назад
Mbona yy sio wamwanzo
@rahmaawadh1695
@rahmaawadh1695 2 года назад
Nikweli kabisa
@suzanfelix8065
@suzanfelix8065 2 года назад
Unaongea kidogo kidogo shishi ameshaona tayari😂😂😂
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Uchoyo hautomsaidia mtu yyte hapa duniani. Na haswa kwa sisi waisilam Allah ametuamrisha tusibanie elimu na tusaidiane. Na hio ndio miongoni mwa kupeana elimu. Najambo jengine ni masuala ya rizk.....km rizk yako utapata hata mkiwa wengi na km sio rizk yako hutopata hata ukiwa peke yako.
@alhamdulillah5796
@alhamdulillah5796 2 года назад
Mnaeza kua wengi na watu wakaangalia test au usafi. Kwanza kwenye maisha kitu kikifanywa na mtu mmoja tu bei inaeza kua kubwa lkn wakifanya wengi bei inaeza kupungua na hata kwa yule ambaye uwezo wake mdogo lkn katamani anaeza kujinunulia siku moja moja.
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 2 года назад
Tumia foil unapopeleka chakula kwa water itakuwa poa
@aminahassan3588
@aminahassan3588 2 года назад
Ndio anapata faida lkn
@georgemhalla8853
@georgemhalla8853 2 года назад
Pepsi-Cola oyeeeeeeeeeee
@lissamsalu12345
@lissamsalu12345 2 года назад
Ntauja jaman
@marymasuka3419
@marymasuka3419 2 года назад
Shilole amepata mpinzani
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 года назад
Nakwambia
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 года назад
STAILI HIYO NILIONA VIDEO CLIP KABLA YAKE KAMA UMEBAHATIKA KUONA JAMAA AKISEMA NAKUKERA NAPENDA KUKERA TABIA YANGU KUKERAAA 🤣🤣🤣🤣🤣
@salimsaid7200
@salimsaid7200 2 года назад
@@emmamombo7149 NASIKIYA HUYO DADA YUKO KINONDONI
@emmamombo7149
@emmamombo7149 2 года назад
@@salimsaid7200 mombasa kenya ama
@Hashdough
@Hashdough 2 года назад
AD
@TeamKRX
@TeamKRX 2 года назад
Watu wangapi wanakula jamani ni wapi naona roho inatetema
@ramsikhamis7083
@ramsikhamis7083 2 года назад
Tabayta kwa walaa bata
@jeanneandfrancislifestyle1518
@jeanneandfrancislifestyle1518 2 года назад
Jesus Christ whatttt to much food 🍱
Далее
Chakula maarufu Forodhani#Zanzibar
3:32
Просмотров 18 тыс.