Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuuankwa miaka mingi.
Kenya yetu tunaifahamu vizuri....huyu ni SCAPE GOAT tu ili tufumbwe macho tu....huyu mtu inasemekana ameanza hiyo kazi tangia 2022...swali ni MDA WOTE HUO ANAUWA WATU NA SERIKALI HAIJUI?? DAMPO LIPO KARIBU NA KITUO CHA POLISI NA POLISI HAWAFAHAMU TU??
@@ashurajengela3926 wote aliwakatakata, kila serial killer anakuwa na pattern yake ya mauaji, yaani kuanzia anapowinda, anapokamata, kuua, mabaki ya vitu vya muhanga, mpaka namna ya kutelekeza mwili.. shida ni kwamba AFRICA hatuna uchunguzi wa kutosha kuhusu mauaji. Tunamaliza mambo mapema sana hivyo wauaji wanachukua hiyo advantage.. Ukweli ni kwamba hao watu wapo, na wanaua bila sababu. Ni tatizo la akili so kila sehemu wapo
@@Ryannkae Hakuna kitu kama hichi ata ukisoma wapi it’s not big deal inamana Serikali ya kenya haina Akili Mbaka kufikissha kitu kikubwa kama hichi kwenye Medid?
@@ilakozasembumende1975akili za kuambiwa changanya na zako si kila unacho ambiwa ukubali moja kwa moja kua ni kweli bali kabla ya kukubali ipe nafasi akili yako ya kuchambua jambo hilo kwa umakini mkubwa.. haiwezekani mtu aanze kuua toka zamani halafu ghafla apatikane leo tena baada ya miili kuonwa na wananchi labda angekamatwa halafu yeye ndo akaongoza polisi kuonyesha hiyo miili hapo kdg tungeamini... ila watu ni wajanja na wanajua kucheza na akili za watu ndani muda ila kuna vitu vingi vya kutilia shaka kama huyu ndo muhusika wa mauaji shem on u
@@wambuageorgemutua1930 mawazo haya ndio yanafanya Serial killer wengi kwenye nchi za kiafrika wasikamatwe coz wa advantage ya imani ya wananchi kuwa mauaji yote ya kimyakimya wanaohusika ni serikali. Ila hawa wauji wa hivi wapo na tunaishi nao na wanaua tena bila sababu.
Mbona Polisi Wa Kenya Wanachekesha Sana Mpaka Mtu Anauwa Watu Wengi Ivo Sasa Kama Raisi Ndio Mkuu Wa Kenya Basi Achukue Maamuzi Asikali Waludishe Mishahara Yote Waliopokea Kuanzia Mwezi Na Mwaka Yalipoanza Ayo Mauwaji Kama Kweli Ruto Uko Kenya Kwasababu Ya Wakenya Basi Asikali Hao Waludishe Mishahara Yao Wameshindwa Kazi Inamana Kenya Iko Uchi Inalindwa Na Mungu2
Ubaya ni kwamba waafrika hatuamini kuhusu SERIAL KILLERS, kila anayepotea tunaamini kapotezwa na serikali. Na hiyo inawasaidia sana hawa psycho kuua kwa miaka mingi.
Hayo maojiano mlimhoji wapi mbona haongei?kama ni kweli aliua mkewe na watu wote hao akiri mwenyewe ndo tujue ni yeye alafu mbona ni wanawake pekee na jinsia mbili walio uwawa!
Gen Z washafanya uchunguzi wao na wamepata jina kamili la mshukiwa..kwanza amepatikana kwa haraka sana na kuna mauaji mengnei hawajawahi kamata wahusika...