wachezaji wangu pendwa aziz ki, pacome chama, maxi na dube na wengine woote kesho mungu awape macho ya kuona lango akaondoe mauzauza yote ktk mcchezo wa kesho wapate matokeo mazuri nguvj za giza ktk uwanja nazikataa kwa jina la Yesu kristo wa nazareti alie hai nawafunika damuni mwake wachezaji wote amen
Sisi wanaYanga one billion supporters tunasema tuko sawa sawa i mean coach stuff and all players and us all supporters tuko safi eeee halafu kubwa kabisa tunasema Youngs Africans oyeee let's saying all oyeee
Point 3 muhimu ila mjitahidi sana kwenye safu ya ushambuliaji hasa pale katikati inashida mtumie nafasi kwa ufanisi na Dua msisahau pia kesho ningependa dube au balekhe waanze
Diary ashauliwe aache kujisababishia kadi za njano. Lakini wachezaji wafundishwe sheria za mpira za ndani na nje ya uwanja hasa kudaka mpira anauacheza na mguu halafu anaushika tena na mkono