Siku zinahesabika kuelekea Novemba 5 ambapo Wamarekani watafanya uchaguzi mkuu utakaoamua ni Kamala Harris wa Democrat ama Donald Trump wa Republican atakayewaongoza.
Katika Chekeche tunaiangalia lala salama ya uchaguzi huo na yanayoendelea kujiri yana nafasi gani katika kubadili upepo wa kisiasa katikati ya ushindani mkali.
#AzamTVUpdates
Mhariri John Mbalamwezi
26 окт 2024