Isreal ni mtoto wa simba!! mwana simba huyo!! akiamua kitu hakuna wakuzuria!!! Mungu aliye ziumba mbingu na nchi yupo upende wake!! ni taifa liliundwa kwa vita taka apo mwanzo❤❤❤ Israel 🇮🇱
Siii walisema wamekufa wanajeshi wawili leo wanne kesho tutaambiwa kumi ila nadhani uharibivu uliofanyika ni mkubwa sana sema hawataki kusema kweli ila mda utaongea
mda umeshaongea kwamba ni wanajeshi wanne we unataka kuongeza wako tena😂😂 mbona israel alificha athari ya makombora ya iran picha za satellite ndio zimewaumbua😅
Taifa la Mungu sio myahudi. Haingii akilini: • Wamemkanusha Yesu kwa kusema Yesu nj mwanaharamu. •Wamemzulia Mary (Maryam) mama wa Yesu kama ni malaya aliyezaa mwana haramu. •Hawautambui Ukiristo. Ebu nielemishe- Mungu gani atawateua ? Hao Mapadri wa kizungu wamelazwa kwa pesa za mayahudi wakupitoshe na kukulaza usingizi. Na aje wewe unakubali kuwa Mungu hakupendi?
Acheni ujinga jibu linakuja hio wanatowa muhtasari kabisa badae hakutakiwi lawama mtaelewa nyinyi mnaojifanya wakiristo wakati hao zionist wanajuwa yesu ni mtoto wa haram tulien tu mtaelewa washabiki maandazi
Ugomvi wa hawa jamaa si wa kuushabikia hata kidogo. Si Iran 🇮🇷 wala Israel 🇮🇱 anaetaka kupigana na mwenzie vita kamili, na ndio mana hata mashambulizi yao wanayafanya yasiwe ya kukasirishana sana. Athari ya vita ya hawa jamaa ni kubwa sana kwa dunia. So tuache ushabiki
S-300 air defence systems nne zote za Rassia zimeenda...na ndomaana Mzee analalamika.... hakuna air defence system yoyote hapa duniani inaweza kumzuia Israel... Kwa wale waliokuwa wakipiga kelele na air defence system za Rassia nadhani ujumbe umefika😂
Mpumbavu Wewe Nchi Gani Nne Gaza Ni Nchi Lebanon C Wanamgambo Wa Isbullah Acha Aendelee Kuchezea Sharubu Za Simba Teheran Kaingia Kwa Adabu C Amezoea Kupambana Na Wanamgambo Na Kuuwa Raia Ovyo Mbona Ajafanya Hivyo Tehran Na Hv Navyokuambia Haja Fanikisha Hata Lengo Lake Moja Toka Ameanza Kuuwa Wanawake Na Watoto Wasio Na Hatia
@@raydanfrenksasa nani wanao jifunza ngono kati ya waislam na wakiristo kushawahi kuona muislam kaenda madrasa na kimini Heshimu wengine ili nawe uheshimiwe sasa kule kanisani munaenda fanya nini kama si uasharati?
Tena ashukuru marekani na jumui ya ulaya kumuomba apige Kwa kiwango Cha wastani.....yenye alikua Israel kutumia drone zaidi ya 200..akae kimya...atulie tuu.kama anaweza ajibu Ili moto uwake....watheshimiana kama misri inavyo muheshimu muisrali
Alikatazwa asipige mafuta ay vinu vya Nyukria. Nikiwahi kusikia mchambuzi mmoja akieleza kuwa Iran na Israel wanashambukiana kwa makubaliano. Chini ya uangalizi wa Urusi na Marekani. Wanaambiwa sehemu za kupiga na sio zaidi ya hapo
Israel imepiga bomu balozi wa iran huko Syria, kisha wakamripua mgeni rasmi wa Iran. Huo ni upotovu wa adabu na ni ugaidi wa hali ya juu ambao nchi nyingi za magharibi na hawara mkubwa wao anaewahonga bure mabillion ya pesa hawakusema kitu. Iran ina kahi ya kujilinda. Hao watoto wateule wa kishetani wasiguswe(?)
@@abdullahal-mahruqi9610 ulitaka wakupige bomu ww ama chuki ambazo mnapandikiza waislamu ndo kinawatafuna wenyewe c muwe wastaarabu kama waislamu wengine mtapungukiwa na nn angalieni wenzenu wa misri hawana ata habari Saudi arabia ndo kwanza hawajui nini kinaendelea
@@ozilraven8442 Wayahudi walishafukuzwa zaidi ya nchi 105. Hilter mkiristo mwenzio aliwaua million 6 ujerumani na akasema ameacha kidogo ili watakaokuja wajue. Warumi wakiristo wenzio waliwaua na kuwatawanya hao wayahudi kwa kumuua Yesu. Wewe mwehu? Huoni wachinjaji wakubwa ni wakiristo wenzio. Ulitaka wakuchinje wewe? Vita vikuu vya dunia vya kwanza na vya pili waleta vita ni wakiristo kwa wakiristo. Ingawaje wakiristo wa kiafrika hawamo humo, lakini ndio wenzenu hao. Wamewalazeni kwa imani potofu ya uteule, Uteule wa kutoa roho za watu!?
Hii vita sio ya wayaudi na waislam bali ni VITA YA MUNGU MWENYEZI (Yahweh) VS ALLAH 😹😹😹😹😹😹😹 (miungu ya makkar) tunajua MWISHO WAKE 🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱💞🇮🇱💞🇮🇱💞🇮🇱💞
Kushitaki siotatizo ni sawa na suala la kuepuka kuchukua Sheria mkononi ilhali kina vyombo mahususi vya kimataifa vya kuepusha madhhara makubwa na Irani anajuwa uN haitachukua maamuzi yeyote ila Irani imesha toa lawama na onyo kwa ulimwengu.
@@christinewomanoffaith5479 Njoo kwenye Dini ya haki utajua kama tunauwa au tunamwaga damu Kama hatufany yote ayo baki kama tunafanya bila ya reason utarudi kweny Dini yako
Upumbavu ni wakiristo kwa andiko la biblia yenu inasema upumbavu na uinga wa mungu ni mdogo kuiko wa kwenu watu wake sasa sisi hatuna hizo sifa za upumbavu na naamini wapumbavu musingeletewa mungu msanii wa marekani mukamuabudu makanisa yote na kumuomba awatiye peponi@@christinewomanoffaith5479
😂😂😂😂😂😂 nacheka kama mazuri nchi ndog inawapeka moto moto😅😅 ndy nakubali maandiko "utapigwa kutoka pande zote ila utashinda" Israel ni atari 😅 Biblia takatifu inasema "itakae ibariki Israel nae amebarikiwa" sasa warabu weusi mtume wenu aliye baka mtoto wa miaka tisa mtapigwa mpka mpigike😅😅😅 Mungu wetu anajua lugha zote, ila Mungu wa watu furah anaejua kiarabu bas akuna Mungu ni utopolo😅😅
Wee ata kumkashifu Mungu basi sie bado tunamuamini kwani weye nani alikwambia umuamini weye uamini sw usipo amini sw acha kumkashif Mungu ni mmoja tuu hakuna mwengine hujaambiwa umuabudu wala hana haraka na weye wala hahitaji chochote kutoka kwako kwani weye ni fukara tuu mbele yake ukifanya wema umejifanyia nafsi yak na uovu utalipwa tuu kwani Mungu haidhulumu nafsi za watu bali watu ndio wanaodhulumu nafsi zao na kwa Mola wako ndio marejeo
@@raydanfrenk Mwenyezi Mungu anatutosheleza na yeye ni mbora wa kutegemewa mwenye nguvu na hekima wala sina hesabu juu yako na hesabu yako iko kwa Mola wako
@@raydanfrenk Ungelipewa Heshima na adabu sidhani ungelimkashifu alie kuumba na weye si chochote kwake ni maiti mtarajiwa ambae siku chache utakua chakula cha funza majivuno yatakuisha kitanda chako kitakua udongo na Mto wako udongo sehemu utakayo wekwa ni ndogo mno jee umejiandaa kukutana na Mola wako? Acha kiburi kijana jiulize kipi ulimfurahisha Mola wako na kipi kitakufanya uwepuke juu ya adhabu yako mche mola wak acha kiburi wewe si chochote dunia ingekua na thamani ata maji usingekunywa rudi kwa Mola wako acha kashfa bado hujachelewa hujui ata kesho utaimaliza
Wana sns jaribuni kuelewa iran hajapigwa ila imeshambuliwa tu mashambulizi hayakuingia ila kwa maneno ya khameney kamaanisha anataka kuipiga israil jaribuni kuelewa kenge nyie
mwenyekilemba ametulia usifanye mchezo vita ndege zimesafili zaidi ya kilometer 1900 lada za putini hazijaona lada za kiduku hazijaona nazimepita NCH 2 mpaka Iran na wamepiga ndege Moja kati ya 3 ililushwa na mwanamke kudadeki !!!!! kama unahasila usifatilie mambo haya wewe fatilia habari Simba na yanga vinginevyo utakonda 😂😂😂😂IDF mosad kitunyingine kabisa!!!!!!
Kunawatu walisema hii vita iran inatafutwa yako wapi Israel haina ubavu wa kupigan na iran iran ilisha toka kua wanyonge, kwanza kuishambulia tu Israel hata kwa dron inatakiwa ujipange kwa kipigo kikali lkn ona hat Israel inaona muajem yupo vizur sio wa kumkurupukia ndiyo maan utana Israel kabla haijaehambulia kwanz lzm imuulize marekani ndiy anatoa ruhusa Israel kam Israel haiwez kumvaa iran moj kwa moja
Mzee imrandika saaana, SEMA utakuwa hujui nljinsi dunia inavyokwenda? Jiulize kwa Nini Urusi hatumii mabomu ya nuclear kuangamiza Ukraine? Israel aliambiwa apige kidogo na asipige kwenye viwanda vya mafuta na pia sehemu ambazo Zina viwanda vya nuclear vya Iran.