Hupo sawa chidy.bongo wachawi sna,alafu ni watu wakupritendy kwa watu kuwa wazuri na wanasaidia watu.wakati wanawaumiza watu kwa kusema victim ahitaji msaada au anakimbia msaada au asaidiki kumbe kashindwa kumsaidia hili ajisafishe anajifanya yy mwema Ila victim ndio asaidiki ili mladi asitokee wakumsaidia,sasa hiyo ndio mbaya bora umeshindwa kumsaidia muache usimualibie.