Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Umefika mda wa mataifa makubwa kuzifinya Nchi masikini zinazotegemea wazungu zitakufa njaa Maneno ya Mungu yanasema Amelaniwa mtu Amtegemeae mwanadamu maana moyoni amemwacha Mungu, Afrika tuache kutegemea wazungu,hiyo Ni Rana,
mazoe hayo. yanazidi kuletasula. 😢 duniani. kwani. vita. dio ilioenea kwaviongozi wengi duniani na kilanhichi. ujiona nibebelu. kwachi zingine. ????????
Ndugu yangu Tarimo kitu kama hukijui ni bora uwe kimya usiwe una comment ujinga ujinga kwa mfano mm nipo huku UK 🇬🇧 yaani mpaka nakuonea huruma hii nikuonyesha kama umefunikwa kwenye mtungi na hujui kinachoendelea nnje pole sana ndugu yangu we kaa hivyo hivyo na ujinga wako hii ni kuonyesha huwa unakesha kuangalia 📺 za cnn na bbc tafuta kitu kinaitwa RT yaani Russia today 📺 ili uondoe matongo tongo kwenye mijicho yako
wanao comment ujinga vita ikianza huko America ndo mtajua kurud kwenu tena mnao ishi nchi za nje mkakimbia nchi zenu acha vita ianze kweli tuone mtakimbilia wap asa rangi nyeusi kila mmoja anze kujianda kurud aliko toka hi vita ikianza ndo mtajua kua wachina na Russia na iran India mwoto utakua balaaaa mnao penda America apo ndo mtaisoma number waswahili wanasema dilili ya mvua mawingu sasa hivi izo nchi zinajianda vita
Kabisa maana hizi nisiku za mwisho YESU KRISTO anarudi na razima kutokee vita kama arivyo sema nikikaribia kurudi taifa ritaondoka na kwenda kupigana nataifa ringine
Waswahili wanasema asiekubali kushindwa so Mshindani Ila sisi waafrica tujitahidi kwenye kilimo, ufugaji, na shuhuli nyengine za kiuchumi kwani Kuna dalili ngumu zinotukabili. Tusisahau kuimarisha ulinzi wa mmoja mmoja, jamii, taifa na kikanda kwani vita havichagui
Urus na China ninchi zenye utawala wakipuuzi kabisa Tena wanamkakati wakuangusha utawala wakiloma ,wanaoshabikia bila kuogopa/kutafakali tutakujakujuta,nasikitika sana!!!!!
Kwani roma ni nchi au niutawala ww ndio ujui ulipo sasa Dini yakweli iliyobaki ni orthodox ambayo ipo urusi Bible yao haikubadilishwa kama yetuyakiroma yakiroma kilasiku wanabadilisha vifingu mwombe Mungu akuonyeshe njia sahihi kwanza urusi akuna mashoga lakini roma wapo na israel wapo
Umenena ukweli. Warusi wanapinga New World Order ambayo Marekani na washirika wake wanataka kuileta itakayoongozwa na Ant Christ(666) ambayo inataka kuleta dini moja, serikali moja hadi jeshi moja. Warusi ndio watetezi wa mwisho wa imani. Wamarekani ambao kiasilia ni Freemasons wanaotaka kuleta NWO kwa kumshusha Kristo fake pale Israel wanawaona Warusi ni nuksi. Ila warusi watasimamia wanachokiamini
Urusi ime ishiwa nguvu ina itajaji msahada sasa hahaha 🤣🤣🤣🤣 Ukrainian nyama zingine zile za Kichina zina kuja kule kwenu ila mukuwe makini muzi vaccines kwanza mbele zikuye pigana Ukrainian juu zina yala Corona virus 🦠 American 🇺🇸 super power please Mufukuze ba immigration kwanu na ba Refugees bote muba fukuze juu habana shukrani bana ba Africa and student 👩🎓 bote mufukuze kwenu
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa
Hunaakili hujuwi maana yakuwepo kwa taasisi mhimu duniani,Au wewe unamatatizo kiakili,kuwakiongozi nikuonyeshanjia,unasumbuliwa naubinafusi hupendi haki
Kama Wana hitaji watu wakujitolea Mimi Niko tayari kwenda urusi kumsaidia Putin lengo kumkong'oli mnafiki na mgombanishi wa dunia.mnafiki Alie uwa viongozi wa africa