Mbona kwa sasa watu wanakufa wakienda ulaya.Hadi sasa tuko utumwani tena tungekuwa tuko chini ya hao wazungu tungekuwa mbali sana kuliko kutawaliwa na hawa wakoloni weusi.
Mungu awasaidie kwa gani? ni SAWA atoe hizo silaha,juu Putin Ako na shida na makafiri Hao wazungu dio wanafanya binadamu kumkufuru Muuba,nani analazimisha ushoga Gender equality Wizi wa mali ya wengine Mauaji ya watu bira hatia!
Swali kwako ndugu Putin ni mwehusi ahu macho yenu aya honi?mimi najuwa ni wao kwa wao akuna mzuri kati yao wote maana wote wana huwa watu wasiyo na atia ingekuwa wana malizana Marausi kwa Maraisi inge kuwa vizuri lakini wanao kufa ni rahiya Putin na wenzake wote vichwa maji tu
Ni pumbav sema hamjui tu mpaka Leo wazungu washamuona Kama urusi ni dhaifu na Kama wangemsaidia Ukraine moja kwa moja bac Leo hii tungekuwa tunazungumza mengne
@@user-xl9so6jg1embona hawamsadii sasa huyo jamaa anawashirika wengi China, Korea kaskazini, Iran, Vietnam ni washirika wa Urusi huyo jamaa anatumia akili sana huyo hakurupuki kurupuki
@@hafidhyakoub8369 silaha za NATO zimechakazwa mpaka zikapelekwa urusi wananchi wakapiga nazo selfie,,,wewe ulikuwa umelala Nini na usingizi,,,ahhh kumbe mwafrika Bado western civilization inakusumbua ikiwepo ushoga,,,,urusi kapigana vita nyingi ,,,,halafu,,,watu waliojaribu kugombana na Russia hawajawahi kuwa salama mfano Napoleon Bonaparte,,, Adolf Hitler,,,,sasa USA Ataweza wapi,,,kuhusu teknolojia ya vifaa vya kivita marekani mchumba TU ,,we ndo unamtukuza,,,,china ,,urusi,,,north Korea,,,wanaona america taifa la kawaida TU ,,SI kama wewe mwaafrikaaa😄😄
@@atutweve4160 hii dunia wote ni wapitaji tu kushangiria vita sio vizuri ni amanitu na upendo watu wanashingiria kwasababu ayako kwetu yagekuwa ni kwetu asige shagiria mutu
Hii sio wala ya kushabikia nani ampige mwenzake, kwa sasa sisi tunaongea tu kua wazichape lakin tuombe mung sana haya yasije yakatokea maana kama kweli wakipgana basi hata sisi tutaifeel ile ladha halisi ya vita ya wakubwa, cha msingi ni kuomba mungu huu mgogoro uishe salama ili maisha mengine yaendelee...
Urussi 🇷🇺 🇷🇺 wanazidi kuitilia vikwazo wakati marecani ndicho kichochezi cha vita. Mashabiki wa marecani ni wakoloni oya sisi kama wa Africa tuwe nyuma ya Urissi sawa mungu akubariki
Kuna wapumbavu wakati vita vinaanza walaizani urusi atashindwa hawajui kua marekani hana silaha za kuizidi Urusi bali ana maneno na porojo nakutishia vitaifa vidogo
BABA WAPELEKEW HAMAS, HEZBOLLAH MIFUMO YA ULINZ NA SIRAHA KALI NA MAELEMENT NA BULLET PROOF, NA VIFARU ALAFU TUONE KUMANYOKA HAO MASHOGA WANAOJIITA TAIFA LA MUNG YAAN BABA UKIWAPA SIRAH KM WAO WANAVYOWAPA UKRAINE NAKWAMBIA VIBARAK WA MAREKAN WENG MAJI WATAITA MMA KUMANYOKO ZAO
@@melkizedckhivi wewe upo kwenye dunia hii au ndio umeanza kurumia smartphone leo inamaana huoni anavyo itembezea kichapo dunia mpaka wanalia kilio cha kuku😅
Mtakatifu Putin wamemwaga mboga,we mwaga ugali.Kama mbwa Wacha iwe mbwa kiumane mpaka kieleweke tata.Bhita ni bhita ntakutemego.Ulabhugabhwi.Marekani ni mrisha TU.
@@Maxpaul-oi8pw Hamna ajabu kumsifu mkristo kwani ajabu ikiwa utafanya wema basi utasifiwa ili mradi humkashifu mungu au ushawahi kumsikia putini akasema ushoga,freemanson, au shetani ndio mungu wake tulia kijana soma usitafute chokochoko
@@yusuphmashallah3732 sihitaji shule yeyote kwako unae ona mrusi hana haki ya kujilinda dhidi ya wanao taka kuweka missile mlangoni kwake,pili huwezi kua mwalimu wangu labda uniambie baada ya mapinduzi 2014 ukraine kwa nini iliua maelfu ya warusi walioko Donbas na mariupol .
Mwambie huyo mume wako mmarekan aguse apo unazani maneno hayo angeongea rais wa inch nyengine marekan angekuwa asha shambulia lkn marekan mwenyewe katulia kimya anaogopa anagawa siraha kila siku lkn wapi Putin siyo mchezo huyo bro
@@Saidkhel huyo putin mme wenu ni muoga saana saanaa ni mtu wa kiki nyingi Swala la siraha za nyuklia nchi nyingi wanazo ila wapo kimyaaa hawapendi tu maisha ya kiki kama ya korea kaskazini ni urusi Nchi zenye nyuklia ila hazina kiki hizo ni Mbabe mwenyew USA, GERMANY,CHINA, UK, CANADA,FRANCE,SPAIN,SOUTH KOREA,ITALY hadi South Africa wanategeneza, je wajua nchi yenye vinu vingi vya nyulia ni ipi??
@@Saidkhelvita ni akil siyo kupigana Kama vibaka huyo Putin siku ukija sikia kafa hamtakaa muamn kabsa marekani ni taifa kubwa sana na lenye teknolojia kubwa sana na Kama wangeamua kumsaidia Ukraine waziwazi bac mpaka Leo hii tungezungmzia Mambo mengne mpaka sasa urusi kashaonekana dhaif kwa kushindwa kumalza vita na nchi dogo ile
ili kumfahamisha tu mchambuzi kuwa, silaha zote zikiwemo vifaru vya Abrahams wamepewa ukraine lakini wanajeshi wa Ukraine wanakiri kuwa vifaru hivyo vilitengenezwa kwa ajili ya kupigana na watu wenye silaha ndogo ndogo vifaru hivi kwa kweli havina maana nyingi sasa hivi vinawasilishwa moscow kwa ajili ya watu.
Tatzo hujui Ukrein yuko vipi na urusi iko kama Zanzibar na tanganyika kwaiyo huwez piga nchi nzima maana Zanzibar kua wabongo na wazanzibar na urusi na Ukrein ndivyo ilivyo
Naanzaje kumpinga kuhusu Hilo nawakati anawashuulikia mashoga yaan kwa Vladimir Putin watakunywa maji kwenye karai, namtegemea sana uyu mwamba kwa usalama wa vizazi vyetu
PUTIN safi sana ww unakemea ushoga lakin hao marekani na mashoga wenzie wa magharibi wanashabikia ushoga na wamefikia kuwaambia viongozi wetu wakubali ushoga ili wapewe misaada
Hvi unamfuatilia Putin vizuri, hapendi vita cuz anajua madhara ya vita hata kama atashinda vita,kwa uwezo wa kijeshi Putin peke ake ,bila washirika wake anawazid NATO,sembuse aungane na mkorea
@@MathewNathan-yb2bz hvi unajua nchi inayoongoza kwa kumiliki silaha za nyuklia ni nchi gan ,, okay not only Putin Kam Putin anamiliki vifaru vya kivita 12000, while NATO wote wanamiliki vifaa 8000 ,Yan 12000 hyo bado anapika vingine,Putin anachohofia sana ni matokeo ya vita uhakika wa kushinda anao 100% kama angekuwa anawaogopa nadhan hata vita ya Ukraine asingeanzisha ila ni mstaarabu wa kufikria mbali,, NATO wanaona Putin anakwenda kuwaangusha vibaya kiuchumi ndio maana wanamtafutia sababu Putin namna ya kumuangamiza ili watimize Yao Kam utawala wa Dola,,na neo colonialism
@@MathewNathan-yb2bzwewe subili uone vita itakavyo malizika . Hivi wewe mpaka sasa huoni na hata husikii ? Urusi kwanza anapigana na mataifa mangapi uvyo jua wewe ?