Тёмный
No video :(

CHUCHU HANS AFUNGUKA KURUDIANA NA RAY KIGOSI/KUBADILI DINI/KUMZALIA MTOTO WA KIKE RAY/LUKAMBA 

Carrymastory
Подписаться 474 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Tumepiga Story na Chuchu Hans

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@OnlyRuky
@OnlyRuky Год назад
Seriously Chuchu maji ya kimwagika? Kwani hujui mtoto akizaliwa nje ya ndoa ni WA MAMA?
@fatfat9093
@fatfat9093 Год назад
Mungu akuongoze namsimamo huohuo ddngu
@Teddy-fq5oc
@Teddy-fq5oc Год назад
Eti Afungi rey mkristo...kwani wakristo atufungi aujui hichi kipindi ata aujui ni cha kwa resma
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 Год назад
Natamani kujua kwa wakristo kufunga ni lazima?
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@rubbymusa1971 sio lazima af kwa uelewa wangu kufunga sio lazima chakula,ko kipind cha kwarezma tunaaswa kutenda yaliyo mema na kutoa sadaka sana na kusaidia waitaji.
@safiahassan6121
@safiahassan6121 Год назад
Kwaresma ni wakatoriki tu si wakristo wote
@brandycrescent1208
@brandycrescent1208 Год назад
Wakristu tunafunga na huu ni mwezi wa mfungo wa kwaresma
@salmaabdu5011
@salmaabdu5011 11 месяцев назад
Wacha thambi huyo ni mtoto wako mama unachukuwa jukumu kwa mungu
@fatumamwalimu5765
@fatumamwalimu5765 Год назад
Wasanii wengi hovyo kabisa, kuna siku ulihojiwa ukasema Roy amesha silimu!!!
@jacqueli18
@jacqueli18 Год назад
Yaa, yaaaa ivo
@dullaseif8742
@dullaseif8742 Год назад
Eti ntafanyaje sas,,yan wazalishwa tu hadi watoto watatu wakt hamjaoana na wajua pia uliyenae hajakubali kuwa katka dini yko...aisee uxur wa sura lkn boggas
@jworld1480
@jworld1480 Год назад
why yeye hataki abadilishe dini anamtaka ray peke yake abadilishe na yeye ?
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Год назад
Msanii mzima unasema maji yakisha zoleka hayamwagiki🤣🤣🤣🤣
@judithkatabaro3294
@judithkatabaro3294 Год назад
Ushasema msanii
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 Год назад
Hahaha
@estermahenge-ks3dr
@estermahenge-ks3dr Год назад
nae ni binadam😂
@speciosermusika2009
@speciosermusika2009 Год назад
😂😂😂😂😂😂
@mwajumachao9151
@mwajumachao9151 Год назад
Hii soon tutaikuta tiktok 😂😂😂😂😂😂
@mangofish9079
@mangofish9079 Год назад
Una miaka 30 na bora tu sema 35+
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 Год назад
Binadam acheni roho mbaya kasema anamiaka 30naa mbona mbalalamika Mimi ninamiaka 25ukiniangalia nikama bibi kizee
@mwaminievelyne3604
@mwaminievelyne3604 Год назад
🤣😂🤣😂😂kwaninni 25 unaonekana bibi kizee
@mejumaabatano5262
@mejumaabatano5262 Год назад
😂😂😂
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Год назад
Tunamjua kabla hujajua mitandao so Tulia dogo
@jannyjmamdak2570
@jannyjmamdak2570 Год назад
Miaka 30 31 au 32 ni uongo dada yaani hapo hukosi 38 39 mpka 40
@princessmimi4404
@princessmimi4404 Год назад
Anamiaka37
@magrethsanga942
@magrethsanga942 Год назад
Una miaka 3o wapi
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 Год назад
Umegichubua?
@alexandrucarmen3185
@alexandrucarmen3185 Год назад
Hapana ni chotara wa kizungu huyo
@rubbymusa1971
@rubbymusa1971 Год назад
Huyu ana kaurabu flani nahisi
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 Год назад
@@rubbymusa1971 , Ni kweli!
@laurentmupira1280
@laurentmupira1280 Год назад
@@alexandrucarmen3185 , Ni kweli!
@keyla3641
@keyla3641 Год назад
Na wewe tunasubiri nini miaka yote hiyo unaxini tu hakutaki angekutaka angesawazisha
@salimakuyela7813
@salimakuyela7813 Год назад
Chuchu anamiaka 44
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 Год назад
Unamjua vizuri
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
@@maryamtanzania9743 inaonekana anamjua vzr
@julianapeason6254
@julianapeason6254 Год назад
anayo 50
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Год назад
😃😃😃Eti maji yakishazoleka hayamwagiki 😃😃
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
🤣
@rosemilingi7860
@rosemilingi7860 Год назад
🤣🤣🤣🤣
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Год назад
Duuuh miaka 30 wakati umeshafika 40😂😂😂
@nancyg8664
@nancyg8664 Год назад
Hv kwann watu wanapenda kukuza wenzao,ujue mtu akishazaa anaonekana mtu mzima,kwaasilimia kubwa
@nasranasra5500
@nasranasra5500 Год назад
wanajirudisha nyuma
@reenyaysher7639
@reenyaysher7639 Год назад
Namjua chuchu toka nasoma nami nina miaka 35 now ndugu 30 haiwezekan she is above 40
Далее
RAY KIGOSI: MAMA KANUMBA ANALIA NJAA/ YALIYOMO NI BALAA
11:30