Nimemsikiliza rey zaidi ya mala tatu hajaonge kwa ubaya kabisa, ila watu mmemwelewa tofauti niliposoma coment nam nilichukia zana lkn sio, tusikilize vizuri na si kukurupuka kucoment.
Hapo umekosea ley kumumwambia mama wa mwenzio analia njaa alikuja kukuomba au kukulilia, yaan ww leo ni wakusema hivi hata angekuja kukulilia kwa ww unatakiwa kumstiri mama wa mwenzio
Huyu Ray anajisahau sana, na yeye ndio alikuwa Best friend wa marehemu kanumba nao anamuongelea mama yake shombo Hapo ndio ujue Zimwi likujualo halikukuli likakumaliza kauli mbaya sana ameongea
Ajamusema vibay Ila amesema mwanzo awakutengeneza Mambo vozuli ya kibiashala kwaiyo mv za kanumba muindi ndio kazimilikk kibiashala .kwaiyo mama kanumba awezi kupata kitu chochte .Apo
Wote mmeongea vizuri...lakini Ray bana usiseme mama Analia njaa sema wote tunalia njaa.Bongo movie kuendelea labda kanumba arudi aisee.badala ya kukazana kama nchi zingine ziingie zionekane Netflix ama showmax bado manashindana na mwindi.
Ni kweli Ray midomo yako ime tosha asali kwaku tuaambia sisi wa Tanzania wenzako kuhusu biashara yako,lakini ulimi wako umekosea kwaku tuaambia kwamba mama kanumba Amelia njaa, njaa sio yamutu mumoja la ila njaa nijambo ya mutu wote ulimwengu mzima, huyo ni mzazi wetu sote akikuomba msaada msaidie kama mama mzazi wako, maana kanumba alikuwa rafiki wakaribu sana nawe,so huna uwezo wakumtangazia njaa.
Wish kanumba was alive we miss you but ila tufanyaje hakuna .... ila Ray heshimu kanumba acha kuongea mbya heshimu mamake sana still tunamkumbuka kanumba ...
Ni kweli hapo umesema kaka mam wa kanumba ni kama mama yake pia mana walishibana Sana hata mim Ninaweza nikamsaidia mama wa rafiki yangu kama ana shida
mtoe kanumba alishakufa he was the best ila sasa hivi hatuwezi muweka kuna wapya kina Rammy Galis ,na kina duma mtoe Dr cheni siku hizi haigizi mtoe na tino
Huyo mama hana shukurani na haridhiki kwani anadhania alizaa nani hasa mfalme ama? Kanumba kanumba mtu keshakufa kila siku kelele mara mama kanumba hivi mara vile mara michango kama mnampenda nendeni mkamfukue basi?huyo mama nae atulie kama anaona mwanae hakutendewa haki akadai malipo bank sababu labda kuna hela aliachiwa kama hamna basi akae kimya tumechoka!!!
Rey asema kweli mamake kanumba hana apati chochote kutokana na kazi za mwanawe kwa kazi zote zilikunuliwa na mhind angalau ametumia neno njaa lakini usikiliza vzuri alivio sema sio njaa hii ambao wengi wamelewa
Shida sio kuigiza kama mchaza mpira,shida ni uhalisia umewahi kucheza mpira mpaka uigize kama mcheza mpira tena wakimataifa,sio unacheza mpira kama kichekesho.
#50 on comments NILISHA JIPAKULIA APPLICATION, $3 KWA MWEZI. ILA NAOGOPA MANYAKUNYAKU, MATAPELI. NAOFIA USALAMA WA CADI YANGU.. NIGENUNUA MARAMOJA. 🤔🤔🤔 Je personal information yangu itakua salama???
Rey umekwisha ulikuwa unatumia nyota ya kunumba usimwambie mama wa mwenzio analia njaa kwenye media huyui hata mama ako atalizwa na nini leo kwa mama wa mwenzio kesho kwa mama ako sasa hivi huna soko kanumba kafa n.a. movie zake bongo movie imekufa mmebaki roho mbaya tu
Kwan mmaama c mtu yaan wanawake ndio wakwanza kujiweka nyuma NA kujishusha NA kujitolea mifano mibovu na isio hai, halafu tukiifuatisha misemo hio utasikia " Wanawake tunadhalilishwa sana tunataka haki sawa" lakini wao wenyewe hawajikubali na wanajiangusha wenyewe, acheni matus yasio NA mwelekeo.
Hio ni collabo kwahio lazima awe ambassador kwa upande wake ili ilete maana ya yeye kushirikishwa maana walitaka soko la hapa bongoland so ili kuliteka ni lazima wamtumie yeye mwenyeji, " hio ni market occupation technique"
Mtu ukifiwa una zalilika jaman hasa kwa mtu ulie kuwa unamtegemea jaman. Wasanii wote hawa bila kanumba mbaka leo wangekuwa hawana hata chup. Ila mkumbuke na nyie kina Rey kwamba mnachungulia kabul wote nyie wasanii hakuna atakae ikwepa maut
Rei acha ushamba kanumba alikuweka pazuli alafu mama kanumba alii njaa ila analia naanavyopotelewa na wanae mbona so weziyo wanaongea mambo kibusala wewe kunywa maji na kujichubuwa ndouone umeshuka kiwango kweli wewe ndo wakwenda Zambia nikajuwa utasema ulikuwa Kongo Amelia amelica umefulia bwana Zambia two tunduma Malibu sumbawanga