Тёмный

CLAM VEVO APEWA ONYO NA DIAMOND, ATUMIWA UJUMBE MZITO, KUMTONGOZA ZUCHU 

Mbengo Tv
Подписаться 1,5 млн
Просмотров 328 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 393   
@sarahnjeri-tz8eu
@sarahnjeri-tz8eu 7 месяцев назад
Kama mtu anakupenda kiukweli hawezi kuwacha kwa jambo lolote,pesa sio kila kitu huwezi nunua mpenzi,may God send u a woman who truly deserves u Clamvevo much love from Kenya ❤❤❤
@SharonChepngeno-d7e
@SharonChepngeno-d7e 8 месяцев назад
Clam vevo you still have time relax God know more about your life,,,, MUNGU amekuwekea mke anayekukufaaa mahali pambana na Kasi yako❤❤❤ love from Kenya ❤❤
@aishaomar2287
@aishaomar2287 8 месяцев назад
Clam relax mkeo mwema yupo mahali Mola kakuekea in shaa Allah 🙏 🙏 🙏
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM
@NSHIMIRIMANAMARIAMMARIAM 8 месяцев назад
Clam Kiana mpambanaji ,nakupenda sana from Burundi ,tunakufatilia sana
@OmanAl-s9l
@OmanAl-s9l 8 месяцев назад
Kaka uyo kwa sasa sio wako waachie wenye ela jitaidin kupambana na maisha kazi zako nzuri utapata umpendae
@RehemaOmari-yi1io
@RehemaOmari-yi1io 3 месяца назад
Njoo kenya Clam ❤
@Alibabason
@Alibabason 8 месяцев назад
CLAM VEVO really you inspire me to hustle and not going back again. May God bless you ❤❤❤
@BryanKilavo
@BryanKilavo 8 месяцев назад
Chukua mtt yule mondi ana wengi.... ......appreciate brother 🤐🤨🎧🎧🎧🔥🔥🔥🤑
@MariamMbaruk-rk3vj
@MariamMbaruk-rk3vj 8 месяцев назад
Clam sikiliza brother, zuhura alikiwa ameletwa kwako kukufungulia maisha yako 2 pengine mungu hakupanga uishi nae
@OmaryMashimango-jd5jd
@OmaryMashimango-jd5jd 8 месяцев назад
Hahahahahaha..!
@fideliswambua3346
@fideliswambua3346 8 месяцев назад
I like the way u answer the questions Clam
@muhammedkhamis2566
@muhammedkhamis2566 8 месяцев назад
Wa kwanza leo like japo 5 jamani😢
@samirshabani-yu4xu
@samirshabani-yu4xu 8 месяцев назад
Wacha ushamba wewe mbona unaishi kishamba like uzipeleke wapi
@muhammedkhamis2566
@muhammedkhamis2566 8 месяцев назад
Nataka nimpelekee clam vevo mm shabiki yake namba moja❤
@Mtazyinstrumental
@Mtazyinstrumental 8 месяцев назад
Clam kubali maisha yanapita tafuta watoto acha kulilia mademu
@sayhaanqudqud5799
@sayhaanqudqud5799 8 месяцев назад
Ukimpata mwanamke wa hali ya chini mnyenyekevu mwenye bidii na upendo atakufaa. Zuchu angekupenda angekua naye hata kwa success yake. Kisha mwanamke mzuri ni mwenye dini na msimamo. Unajipa maisha ya kukukimbiza moyo mbio bure
@PiliNgolanga
@PiliNgolanga 8 месяцев назад
Clam sijapenda🏃we pambana wifi yetu tutampata....mzuuuri tu umeandaliwa na Mungu
@BosangoferuziPierre-x6h
@BosangoferuziPierre-x6h 8 месяцев назад
Nakubali sana kazi zako utafika mbali kisha mwika
@zazalareine257
@zazalareine257 8 месяцев назад
Kisicho kuwa ridhi hakiliki😢 unaye mpenda hakupendi wanawo kupenda huwapendi😢 na imana kuna wenye wanakupenda clam wang🎉❤
@BizeddOfficial
@BizeddOfficial 7 месяцев назад
haaa ka nyiimbo yangutu
@gogoloveofficial5666
@gogoloveofficial5666 8 месяцев назад
Clam pambana na maisha ma binti ni mengi utapata wa kwako.love from GOGO LOVE OFFICIAL TO BURUNDI
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Nikweri mwezangu Mimi napenda watuwanasema kweri mimi piya ni wa Burundi rakini niko Zambia
@gogoloveofficial5666
@gogoloveofficial5666 8 месяцев назад
Hapo Sawa my brother.ama tujipendanie ega na mimi Niko star in Burundi🤦.tena nacheza filamu kama yeye
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Hapo sawa nakaribia kurudi kuona wajajiwangu vip ukowapi
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Kumbe urinimano ukinaneja naje sami me love you somuch musohohe imba ndayibonye kubera atamugore fise movie mukina nizo mugorewaje
@komlaakomlaa7465
@komlaakomlaa7465 8 месяцев назад
@@gogoloveofficial5666 gogo reka kuntwenza🤣🤣🤣
@Kipngetich-KE
@Kipngetich-KE 2 месяца назад
God's time is the best Mr Clam so watch and pray
@MohammedAli-yc2ek
@MohammedAli-yc2ek 8 месяцев назад
Achana na zuchu kaka pesa yako ndogo mtoto ashajua kutumia na ww bado mtafutaji utapauka bureee endelea na maisha yako
@mohammadoman8963
@mohammadoman8963 8 месяцев назад
Yy zuchu anamhusu nini ataka kiki tu
@mudysaid6602
@mudysaid6602 8 месяцев назад
😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣%100 100
@ZaiduMtame
@ZaiduMtame 4 месяца назад
Unamchukuliaje clam bro oya money kama alive anakulisha ww na familia yako ahaha usiongee ktu kuhusu uyo dog
@NinahFyson
@NinahFyson 7 месяцев назад
Mimi navyo muona zuchu na clam vevo awawez kukaa tena kwenye mpenz.Nakuamba CLAM acha kumufatilia uyo binti na uangalia mkee watayipi yako 👍🥰
@HamisiNyalinga
@HamisiNyalinga 7 месяцев назад
Wewe clam tukiangalia levo zuchu nilevoyake clam anapesa zingmno
@VeronicaMayemba-q7y
@VeronicaMayemba-q7y 8 месяцев назад
Napenda sana kazi zako ,unajua sana nakuona mbali sana baada ya miaka 2, unakipaj sana❤❤❤
@RajabNgare
@RajabNgare 8 месяцев назад
Mwanangu clam achana na Zuchu unapigania nini pale ako na macho Kama kinembe chake si wakijuwa poa wechekelea acha zombi apige deki Mko wako 😂😂😂
@RizhoWakingumba
@RizhoWakingumba 8 месяцев назад
Clam achana na ayo bwana yasije yakakuaribia maisha
@maryamhaji-mx8dm
@maryamhaji-mx8dm 8 месяцев назад
moyo ukipenda umependa mungu akipenda utampataa.🖒
@RamaNgari-b1d
@RamaNgari-b1d 8 месяцев назад
Mwenzako kalia dullah makabila...
@aginesmnaka4096
@aginesmnaka4096 3 месяца назад
Kss😊
@mwanamisimwapula8392
@mwanamisimwapula8392 8 месяцев назад
Mapenzi yanaumiza pole broo
@KibanMbanga
@KibanMbanga 8 месяцев назад
Upo kabisa kaka, usibanduke kwa uamuzi wako , hata asipomuacha we mnaendana sana kaka, tena unajibu maswali kwa uadilifu sana
@IsackaMichael
@IsackaMichael 2 месяца назад
Daaah clam mimi naomb kaz kwako brooh
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 8 месяцев назад
Achana nae pumbavu atakuja kukufilisi tu endelea na maisha yako usipoteze muda kwa mpumbavu
@elizabethchabluma-zw5qz
@elizabethchabluma-zw5qz 8 месяцев назад
Mpumbavu wewe mwacheni b zuu
@aleyidukury8333
@aleyidukury8333 8 месяцев назад
Hahahaha duuuh hataree
@Director_tyson
@Director_tyson 8 месяцев назад
Bro don't forget a girl. Am proud of u
@alimwadima254
@alimwadima254 8 месяцев назад
Kavuu sana...Huyo hakuwa anakupenda Ulipokuwa kapuku sasa utawezaje Kumshobokea sai Mambo yako kwenye mstari...Uboya huo Tafuta Changa changa Isiyokuwa Maarufu utulize Boli wewe namna gani vp!!!
@Oman77c
@Oman77c 8 месяцев назад
Nakupnda Sana clam mungu akueke nafatilia Sana kazi yko
@aminaomary5567
@aminaomary5567 8 месяцев назад
Claim ameumia.kama Makabila.Poleni sana.Nassibu Mke wake ni Tanasha na Zari wanawake hao 2 ndio wanawake bora kwake sio zuchu jaman.
@annechichi8574
@annechichi8574 8 месяцев назад
Diamond ako Uhuru kuoa mtu yeyote yule
@germainfola275
@germainfola275 8 месяцев назад
Ndugu yangu clam vevo pambana na maisha achana namambo ya stress uata shuka kiwango cha uigizaji kk
@Fatima69Ng
@Fatima69Ng 8 месяцев назад
Weweee clam kujiamini muhimuuu❤❤❤❤ nakupenda bureeee
@djafro1
@djafro1 8 месяцев назад
Niko huku leo nampenda Clam vevo pia mimi nifikisheni 1000 subscribers
@SarahMpagaze-fi1sr
@SarahMpagaze-fi1sr 8 месяцев назад
T'es vraiment décisive, j'aime bien ta réaction 🤗cleam,t'es un homme fort et sage!✨👌
@SaumuZungufya
@SaumuZungufya 8 месяцев назад
😂😂😂😂
@Malin2001
@Malin2001 8 месяцев назад
Clam relax mke mwema mungu hupeana
@Peggyofficiel
@Peggyofficiel 8 месяцев назад
Mm na amini Clam 😊 Congolais 🇨🇩🫡🇹🇿
@Peggyofficiel
@Peggyofficiel 8 месяцев назад
youtube.com/@Peggykid_?si=GjvBgqZ_vemWgDg2 ni sapotini na mimi djamani 😢
@FranciscaChari
@FranciscaChari 6 месяцев назад
Relax kaka mola atakupa wako mzuri sana ww mwenyewe handsome bana
@WilliamClaude-p1b
@WilliamClaude-p1b 3 месяца назад
Achana na zuchu ndugu yangu clam vevo
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Cram me love you rakini zuchu achananaye hakufai
@BarbaraPatience-qt9cc
@BarbaraPatience-qt9cc 8 месяцев назад
Fala
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Kudadeki ubwa mnfiki mkundu kenge mchawi
@MustaqimMuhsin
@MustaqimMuhsin 8 месяцев назад
Acha usenge ww
@KwizerJackson-is7fh
@KwizerJackson-is7fh 8 месяцев назад
Siongei na ubwa naongea na mwenye ubwa
@MustaqimMuhsin
@MustaqimMuhsin 8 месяцев назад
@@KwizerJackson-is7fh mbwa ni baba yako na mama yako fala ww
@joshuamkarehammarton1587
@joshuamkarehammarton1587 8 месяцев назад
Hehehe..😂ndio maana mwakatobe hirudia msemo..."wee mchumba tuu..wewe zuchu" kumbe anjua😂😂😂...❤❤❤❤ From🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@VeronicaMayemba-q7y
@VeronicaMayemba-q7y 8 месяцев назад
😂😂😂
@bibialichuma-zy2jh
@bibialichuma-zy2jh 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂
@Mary-adventures57
@Mary-adventures57 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂
@Iryne-m6f
@Iryne-m6f 8 месяцев назад
Wa laaah 😂😂😂
@yegedegede3003
@yegedegede3003 8 месяцев назад
😂😂😂ukorofii huooo
@SuleymanMagili
@SuleymanMagili 8 месяцев назад
Kk love is better than money bas kma mwnamke ulitofautiana nae ksa pesa bas huyo niana true love bas huyo n atkusumbua Sana maisahan ila akae akjua tu ktkt maisha nkunakpnda nakuxhuka .kikubw bloo mim hpo naomba nkushaul kma mwanaume mwzangu kuw tafuta bnti mwingne ambaye ni atkuw nmzul zaid ya zuchu mbna walembo nwpo weng tu hpa dunian.kk najua niunaumia Sana mapenz hakka nyanaumiza Sana ilajtahd kuulazmisha Moyo wko kutokumwihtaj tena huyo zuchu hatimaye utazoea tu maana itafka htua n atakuhalbu ksaikolojia KABISa
@RabanAmosy-ce7bs
@RabanAmosy-ce7bs 8 месяцев назад
Pole xna clam Namm natambua ni jinsi ngan hisia za😢 mapenz znavyo uma Pole xna mwamba clam vevo
@RichardKimwer
@RichardKimwer 8 месяцев назад
Ww hujui kupenda😊😊😊😊😊😊
@ChancelineCatherine-bj6jd
@ChancelineCatherine-bj6jd 4 месяца назад
Ooh My Gosh pole sana kbx My friend 😢😢
@Pierjmkakule
@Pierjmkakule 3 месяца назад
Dada Mbengo hujambo, from DRC🇨🇩 tunataka Vevo atuburudishe kwa vichekesho(comedy) maana uku nikama amelala, basi naamini langu hili litafika🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DenisWachira-q9q
@DenisWachira-q9q 8 месяцев назад
Thanks vevo mm n fan wako
@HadijaHussein-rt3gm
@HadijaHussein-rt3gm 3 месяца назад
Oyaaaaaaa bro usilazimexhe mapenz tafuta mwingine akupendaye
@channyanjen9047
@channyanjen9047 8 месяцев назад
Pambana kipenzi cangu iko siku utapata inshaalah
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan 8 месяцев назад
Clam hebu songs mbele usigeuke nyuma ukigeuka nyuma utakutana na majanga
@MubinaRoshan
@MubinaRoshan 8 месяцев назад
Clam utapata mwema na alie na kheri na wewe tatizo la watoto nyie usanii wenu upo mpaka ktk mapenzi
@lyidiajuakaly3335
@lyidiajuakaly3335 8 месяцев назад
Mavi ya zamani hayanuki songa mbele
@ManyiboyKambale
@ManyiboyKambale 8 месяцев назад
iyo kweli
@SalmaMakilika
@SalmaMakilika 8 месяцев назад
Swadaktaa
@marytemba-c7y
@marytemba-c7y 8 месяцев назад
Kaka clam nikushauli kitu kama mdogo wako watu huwa tunatafuta wanawake WA shida na raha SASA huyo zuchu ye hata akikubali kwasasa kwanini zamani asinge kuvumilia nakuomba achana nae jalibu kuuzuia moyo Wewe ni mwanaume tafuta make WA maisha
@AmourHaroub-lv8ll
@AmourHaroub-lv8ll 3 месяца назад
Huna hela ya kua na zuchu boss kubwa bdo sana jitafute
@Mr_max_05
@Mr_max_05 8 месяцев назад
Acha sifa,, zuchu sio level yako.
@CarolineNanjala-h2q
@CarolineNanjala-h2q Месяц назад
Clam naomba unipigie🏋️
@HassanRamadan-f6z
@HassanRamadan-f6z 8 месяцев назад
pambana kaka Allah atakubariki my brother
@AishaNaim-r7h
@AishaNaim-r7h 8 месяцев назад
Sijapenda naenda nyumbani kula chapat na marage
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 8 месяцев назад
ivi WEwe unawaza zuchu kuna pesa apo ya kumleta zuchu kwenye mikono Yako uho ni ujinga kwanguvu unayo wewe unaweza kosa dike apo Tanzania mbona wewe unajina kubwa Fanya kitu ambacho kila mtu atakuelewa akupendi uyo 😭😭😭😭 nakupa pôle sn kwajina kako unafanya vitu vyakijinga tafuta mwamuke ambaye zuchu atashituka lakini wewe bado unashindana ju yamwanamuke
@tynahchitamu8675
@tynahchitamu8675 8 месяцев назад
Nimekuelewa sana na najua unamaanisha aisee una upendo sana na ndio maana unatafuta sana pesa😢
@BosangoferuziPierre-x6h
@BosangoferuziPierre-x6h 8 месяцев назад
Wewe ni Noma sana clam vevo
@soundmale
@soundmale 8 месяцев назад
Shenzi sijapenda unajieleza kama umefiwa😂😂
@vanessaemanuel849
@vanessaemanuel849 8 месяцев назад
Jamani clam vevo wangu kaongea kwa uchungu hadi nimelia zuchu muhurumiee bxii mwenziyo😢😢
@farajrashidi4010
@farajrashidi4010 8 месяцев назад
Tafuta mungine usifosi mapenzi yatakutesa kuwa mkomavu
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 8 месяцев назад
Claim vevo nakuelewa sana na naamini ipo siku zzuhura atakuja kwako
@MariaMafa-d3e
@MariaMafa-d3e 8 месяцев назад
Jmn msimgombeze ameamua kuchekesha coz ndo normality ake mwaaa clam wangu
@RamaMwendo
@RamaMwendo 8 месяцев назад
Bwana mdogo never give up
@kiondo_comedy
@kiondo_comedy 8 месяцев назад
Tunataka picha kukiwa nayeye
@jovialjuma7018
@jovialjuma7018 8 месяцев назад
😂😂balaa
@abrahamkilonzo292
@abrahamkilonzo292 8 месяцев назад
Broh tafuta mwanamke level yko mwache zuchu ni wangu huyo 😂😂
@ZaiduMtame
@ZaiduMtame 4 месяца назад
Oya broo pambana hipo siku atakua katika mikono yako tuy
@Spagles
@Spagles 8 месяцев назад
UKIACHWA achika rafiki yangu 😂
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 8 месяцев назад
Asante sana claim vevo upo sawq ila ikishindikana nakuomba claim muoe kim mnaendana kabisa
@SalmaMakilika
@SalmaMakilika 8 месяцев назад
Kim kampendeza,pia mbona Kim mzuritu
@mudysaid6602
@mudysaid6602 8 месяцев назад
Kupenda tabu jamani.🤗
@Zuu673
@Zuu673 8 месяцев назад
Jamani kwani lazima?ndio unajiingiza km mtu umeachana nae yann umzungumzie?ushamba kweli😂
@Dianaf774
@Dianaf774 8 месяцев назад
Clam just move on my your best fan from kenya
@Officialabshry
@Officialabshry 8 месяцев назад
Kuna ukweli nimeuona na ndicho kilichoniachanisha na mtu niliempenda "kuombwa pesa ambayo hauna" 😢😢😢
@SarahMpagaze-fi1sr
@SarahMpagaze-fi1sr 8 месяцев назад
Oooh!!!baba !kunbe wewe ni ex was zuchu?ila diamond hawezi kumu owa zuchu!ça je t'assure bro!🤗✨
@omarappoul
@omarappoul 8 месяцев назад
Dah poleni kakayangu clam tuliya utampata wakwako
@AdorableHalisi
@AdorableHalisi 8 месяцев назад
kijana wa hovyoo😂😂
@Amisisahidi-j1q
@Amisisahidi-j1q 2 месяца назад
Clam vevo wanawake wapo wengi wazuri zuchu hana uzuri wowote mwaile kundi lako wanawake wazuri wapo zuchu ulimuona emo Nini zuchu mwenyewe anasura kama matope shepu kama ilipigwa napasi
@AgnesSammy-s8e
@AgnesSammy-s8e 8 месяцев назад
Kama diamond yuko single akae single aache kutishia muigizaji wetu,watching from kenya love you clam
@aubreychuma5449
@aubreychuma5449 8 месяцев назад
Hili ni jinga kubwa li clam
@aminaomary5567
@aminaomary5567 8 месяцев назад
Mtangazaji hoyoo❤❤Clam atapata tu Ike mwingine men.
@simmonkaranja
@simmonkaranja 8 месяцев назад
Ewe ndugu yangu Clam,ndege wako ashachukuliwa kitambo..ametafunwa tafunwa kisha wewe walilia mifupa! Songa mbele dogo.
@AllianiMsolopa-p4v
@AllianiMsolopa-p4v 3 месяца назад
Pole clam
@Emmymajula5838
@Emmymajula5838 8 месяцев назад
Zuchu Malaya mi nna Imani utapata tu mwingin
@KevinOmwega-f1y
@KevinOmwega-f1y Месяц назад
Apo Sasa
@FaridaOmary-n5f
@FaridaOmary-n5f 8 месяцев назад
Clam achana nae acha kujizalilisha kubali matokeo pamban mung atakusaidi utapata mwanamke mzr 2
@UmySele
@UmySele 8 месяцев назад
Usikate tamaaa
@Dreamteeam57
@Dreamteeam57 8 месяцев назад
Clam anaingia Kenya side gani jameni
@WinnieUmanzi
@WinnieUmanzi 8 месяцев назад
Diamond's words vijana tafuteni hela🤣🤣🤣🤣
@CongoEngueure-rd3xw
@CongoEngueure-rd3xw 8 месяцев назад
Clam ww ni mweh kabisa, me nishabiki ako ila achana na huyo panya tafta mtoto mzuli! 😂😂😂
@Elizaobed
@Elizaobed 8 месяцев назад
Achana na zuchu
@evansbaya9907
@evansbaya9907 5 месяцев назад
😂😂😂Vevooo.....Maji hayasahau njia yake
@antoniadudus7917
@antoniadudus7917 8 месяцев назад
Clam achana n zuchu ❤❤❤ zuchu akufai 😂😂
@metrineokola7730
@metrineokola7730 8 месяцев назад
Claim njoo Kenya uoe warembo wako wazuri kabisa Wachana na zuchu bibi ya wenyewe
@DelightfulMacawBird-tl5hf
@DelightfulMacawBird-tl5hf 8 месяцев назад
Clam njoo kwangu
@HamisiNyalinga
@HamisiNyalinga 7 месяцев назад
Clam Nimimi Hamisi Nyalinga usiwe nawas was zuchu niwako kwasasa ngoja uchukuejina kimataifa awe Zaid ya Tiwa saverji
@HamisiNyalinga
@HamisiNyalinga 7 месяцев назад
Njon mcoment jaman
@MaryamShaaban-y3b
@MaryamShaaban-y3b 8 месяцев назад
Nataka chapaaati😂, Naenda nyumbaaaani😂, sjapendaaa😂😂❤,
@mudysaid6602
@mudysaid6602 8 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@MaryamShaaban-y3b
@MaryamShaaban-y3b 8 месяцев назад
@@mudysaid6602 afu umecheka sana sjapendaaaaa
@mudysaid6602
@mudysaid6602 8 месяцев назад
😆😆😆yani kama nakuona vile,mana nimekumbuka ule mchezo alipoingia kudowea wali🤣🤣🤣 hiii naenda nyumbanii
@MaryamShaaban-y3b
@MaryamShaaban-y3b 8 месяцев назад
@@mudysaid6602 😂🤣🤣😂😅bila kuuliza foleni n ya nn🤣😂😅kwisha Mimi🤣😂clam jaman kiboko
@mudysaid6602
@mudysaid6602 8 месяцев назад
Ok, mariam,pia nifuraha nimekutana nawe online toker's🤗🤗🤗tuko pamoja 😉😊🤗
@KhamisJuma-th8uk
@KhamisJuma-th8uk 8 месяцев назад
Clam kubaliana badiliko ndugu usongembelee
Далее
НЮША РОЖАЕТ?
00:17
Просмотров 948 тыс.
BEST FRIEND | Full Movie |
1:25:54
Просмотров 2,6 млн
MALAYA NDOIGE (PART 01)
11:24
Просмотров 2,2 млн