Тёмный

DADA YETU AMECHANGIA SANA AZIZ KI KUBAKI KLABU YA YANGA| INASEMEKANA NI MJAMZITO, WANATEGEMEA MTOTO. 

Wasafi Media
Подписаться 4,7 млн
Просмотров 60 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

9 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 78   
@RisasiRisasi-uj8fk
@RisasiRisasi-uj8fk 14 дней назад
Wameumbuka wachambuzi ukwala,hata huyu mzee za dani,naye kaumbuka.hongera sana Eng.umenikumbusha mbali sana,Magu aliwaumbua wazungu pia
@amaniomar1755
@amaniomar1755 14 дней назад
Acha Tz iitwe Bongo kuna maana kubwa sana ndani ya hilo jina...
@awetumtengera1147
@awetumtengera1147 14 дней назад
Za ndaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii tajiri mo ameshamsaini azizi k Leo Husemi tena, punguzeni kuongea vitu ambavyo hamna uhakika.
@johnmshuta5133
@johnmshuta5133 14 дней назад
Momo Amna mchambuzi hapo za ndani akuna kitu 😃😃😃😃😃
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 14 дней назад
AZIZIKI ALISHASAINI ZAMANI YANGA CY LEO
@elicktilia4430
@elicktilia4430 14 дней назад
Uwalisia kabisa sports yetu imekuwa yamoto blaaa nice all media📺📺📺 tz
@jumamchewa3246
@jumamchewa3246 14 дней назад
Wakudele ulisema azizi anaenda upande wa pili ila Leo unabalikabadilika unasema SABABU ya shemelaa
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 14 дней назад
Ukiona mchezaj anang'ang'ania Tanzania ujue ni mchezaji wa kawaida mno,mm Aziz ki namwona sawa tu na akina mzamiru na umri alionao akienda ulaya anakuwa houseboy tu sio mchezaj mpira
@thadeusmarkiminja2282
@thadeusmarkiminja2282 14 дней назад
Tunajua lazima mtoke majumbani mkatafute mkate yaani msosi.punguzeni un mbea kwa kweli.kilichiniudhi mm ed ingilia maisha ya huyo binti Mara mjamzito ....nk wapi wanao enjoy umbea huu hayo ni yao
@DarliotonTumaini
@DarliotonTumaini 14 дней назад
Mhuuuuu😂😂😂😂 pasi katoa mobetto
@juliusjkalela9164
@juliusjkalela9164 14 дней назад
Ety ana mahusiano achen uongo
@MeshakiShija-mz5mw
@MeshakiShija-mz5mw 14 дней назад
Wachambuzi uchwara injinia Hersi saivi anawacheki anawasogeza na anawamwaga mwaaaaa endeleeni kushadadia mipango ya klabu ya yanga mtajioona mpaka akili hamna
@vaxminja9053
@vaxminja9053 14 дней назад
Huyo mzee wa Kudere ndio muongo namba moja, alidanganya kuwa Mo ameshatia mzigo.
@kakamau0384
@kakamau0384 14 дней назад
Ila kwenye App ni ukweli mtupu mimi ni jana tu nimeishusha kisa Azizi leo anaongea 😂😂😂
@MeshakiShija-mz5mw
@MeshakiShija-mz5mw 14 дней назад
Na wee Edo mpuuzi sana
@ElidaMsigwa-nz2ts
@ElidaMsigwa-nz2ts 14 дней назад
Acheni kujadiri mapenzi ya watu yenu yanajdiriwa wapi
@hassannickson7654
@hassannickson7654 14 дней назад
Hivi wachambuzi wetu Ttz Nini mda mwengine huyu za ndaniii alishasema Aziz ANAONDOKA sasa imekuwaje Tena hapo eee
@salimusafuko8594
@salimusafuko8594 14 дней назад
Nyie wasaf mnafeli kila mnachozungumza anaewafatilia ni mgeni labda mmechezeshwa na hersi mkaingia mkenge kuhubir Mambo msioyajua ovyoo nendeni shule
@user-iz3hs8jl5p
@user-iz3hs8jl5p 14 дней назад
yanga baba lao
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim 14 дней назад
Mafala watupu waandishi momo s ulisema mo dewji anamchukua
Далее
Вопрос Ребром - Субо
49:41
Просмотров 803 тыс.
MAOMBI YA ASUBUHI by Innocent Morris
16:53
Просмотров 713 тыс.