shy town city stand up for upcoming super hiphop star!! aiseee siamin mach yang kama kuna mtu alienimwagia maji kweny birthday yang leo anaskika eastafrica fm😂😂 nakubaliiii xana
@bando_mc see you unajua sanaa mdogo wangu kila la kherii unatishaaaaaaa mzeyaaa....utafika uanapostahili nakubali michano yako..iko poa na unanata sana...na Biti 🔥🔥🔥👊
Bando ukosawa kaka ila vibe limekupanda ukapiga mistari ya kaya na ujue kwa radio zetu za Africa utakatwa maneno (editing). Alafu hutopewa air time yakutosha utaonekana muhuni. Hilo niwazo langu tu kwako Big Up sana bro.
Dulla planet mnazingua sna kukatakata hayo maneno huku ni social sio on air radio anaeingia huku manake ni ktu mzima ajiandaek kukutana na kila kitu sio mnakatakata maneno use* mtupu acheni tabia ya kukata maneno pili Bando mc mmepa biti nyepesi mno mwa mwi tatu jamaa anajua nampa 70% awasikilize mbeya boy na Dizasta vina