Тёмный

Dakika 10 za Maangamizi / Toxic 

EastAfricaRadio
Подписаться 509 тыс.
Просмотров 620 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 878   
@alfreddavas358
@alfreddavas358 4 года назад
Enzi hizo ndama mutoto ya ng'ombe ila siku hizi john mutoto ya pombe...kama umeusikia huo mstari pita na like hapa
@anthonylister754
@anthonylister754 4 года назад
Ebanaa eeh!.. kama ushaangalia hii video zaidi ya mara5 tujuane 👍... #Toxic unabalaa ww mtoto 👑
@mrsix4405
@mrsix4405 3 года назад
Kaka
@mrsix4405
@mrsix4405 3 года назад
Me naikubali kinyama
@hassanijuma2804
@hassanijuma2804 3 года назад
Unajua kmnd sikupingi ata kidg
@twalibtz1936
@twalibtz1936 4 года назад
Tumeumbwa na mishipa tumewekewa na misuli ndo maana ukiumwa mshipa unavaa msuli 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@timothmwakakusyu4563
@timothmwakakusyu4563 3 года назад
Namtaka mwny range wkt baba yako anapaki ndala, hata nyoka mwny sumu unaweza kumuua kwa maziwa, kifo hata nisipomwomba Mungu hawezi kuninyima, chupi ni singilendi ya miguu, mnafiki sio yule anayepangua ninayopanga bali ni yule asiyeamini katika uchawi wakati mama yake ni mwanga, we fala ni nomaaa sana. Kuna fee style na free style
@EarningsEdge101
@EarningsEdge101 4 года назад
uyu ndo mtu niliekua namsubiria aje kuangamiza na ameua kabisa! sasa ata nikiacha kufatilia dk kumi za maangamizi amna shida.
@deenicetz
@deenicetz 4 года назад
Dah tokea dk 10 zianzishwe,this is my best session of all the time,ma mcs wa siku hz sijaona wa kumzima huyu jamaa,Salut sana toxic
@chrisniyomukiza1684
@chrisniyomukiza1684 2 года назад
Hujayiona ya chuma mbeya boy ndo wakwanza alinikubalisha kwli
@salimally2823
@salimally2823 2 года назад
Bando Mc nae yuko vzur
@Isaac-ez9vq
@Isaac-ez9vq 2 года назад
Dizaster Vina
@Ammy_Rain
@Ammy_Rain 2 месяца назад
Till today 2024 fellas lets gather here bdo hakujatokea freestyle kali kuizidi hii yan mwamba anashuka tu like a cassette 🙌☝️sijawah choka kuisikiliza
@DaudJofrey-yr2fn
@DaudJofrey-yr2fn 2 месяца назад
Kachek ya were mura
@DaudJofrey-yr2fn
@DaudJofrey-yr2fn 2 месяца назад
Au ya dunga mawe
@raphaelmbanga5542
@raphaelmbanga5542 4 года назад
Moja kati ya dakika 10 zilizofanyiwa maajabu, Toxic kills it🍻
@MohamedShaban-bo6rd
@MohamedShaban-bo6rd 4 года назад
Best freestyler of all time
@fidelisdamu784
@fidelisdamu784 4 года назад
Bring for us Jini kujua he is one of the best upcoming rappers fanyeni aje kuangamiza🔥🔥
@guruvoke4331
@guruvoke4331 2 года назад
You can tell this is freestyle the way he engages those presenters like kumguza na kumtaja jina huyo presenter. This is fire, best freestyle by far have ever seen from Tanzania. Love from Kenya
@valencevedastus2954
@valencevedastus2954 4 года назад
Ngwear kazaliwa temeke🔥🔥🔥
@muddyally799
@muddyally799 3 года назад
Daa yani katika top freestyle Toxic wewe ni noma sio wale. Wanaoimba nyimbo zao ..hii ni next level.
@saimonsilva6209
@saimonsilva6209 4 года назад
Toxic fundiiiii mazee kwa anayemkubaliii atupie like
@franciscyril784
@franciscyril784 4 года назад
Kaka unajua jina analotumia insta?
@princeauder4508
@princeauder4508 4 года назад
Nooomaaa 💥💥💥
@smartworktz2128
@smartworktz2128 4 года назад
Hamjawah nipa like aiseee...nipeni likes mia tuu Ila huyu MwaNa ni kisanGa
@hamisigungu9980
@hamisigungu9980 4 года назад
Hizi ndio freestyle Sasa ,kudadadeki mapafu ya fisi mwanzo mwisho mpaka anakatiwa beat,hakulazimishi corus unaimba mwenyewe kilaaiiiniii,asee utaipenda hiphop bana kumbe Kuna wanayoiharibu asee,mbona Sasa wakongwe wajiandae asee na huu mchakamchaka!!!
@dottodavid1935
@dottodavid1935 4 года назад
We shoga nini, yaani achane Toxic likes tukupe wewe
@chekautamu3487
@chekautamu3487 4 года назад
Caliii
@smartworktz2128
@smartworktz2128 3 года назад
@@dottodavid1935 ukizeeka lazima utakuwa mchawi ww😎
@ltprod3714
@ltprod3714 4 года назад
Now this is real freestyle off the top.....
@kiokomutua3209
@kiokomutua3209 4 года назад
cypher realist 254 mob love toxic,,,wapi likes toka nyumbani kenya
@tonnyplannermajirani9431
@tonnyplannermajirani9431 4 года назад
One love here 254
@official_shaban4101
@official_shaban4101 4 года назад
Duuuuuuh Mr toxic ni fireeeeeeee🔥🔥🔥 Tisha Sana jeshi God blessed you ufanyikiwe
@nyumbumjanja
@nyumbumjanja 4 года назад
Weweeeeeeeee jamaaaaa Big up sanaaaa #Toxic Rapp Kali, Flow, style kaliii💥💥💥💥
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454
@saidinalmsofethatsgoodwaya6454 4 года назад
Nafasi ya Mangwair imepata mtu wa kuiziba nice brother!!
@daniikirunda7113
@daniikirunda7113 4 года назад
Hahahaa umechinja mwanangu Sana TOXIC...FreestyLe master 💪
@midopestjr5297
@midopestjr5297 4 года назад
New cowbamaaa..... freestyle killer🔥🔥🔥🔥🔥
@midopestjr5297
@midopestjr5297 4 года назад
@Cheka na Samjela ziko wapi...
@midopestjr5297
@midopestjr5297 4 года назад
@Cheka na Samjela bac anafanana na wewe...😜😜
@abdulmohd6880
@abdulmohd6880 4 года назад
Dah! Uyu jamaa n balaaaa yani yupo freshi kwa uandishi yupo fiti pia kwa freestyle... Ubarikiwe sn mzee toxic...
@mosoudmusa9315
@mosoudmusa9315 3 года назад
tatizo hilo ni hatar
@mathewtuwei1031
@mathewtuwei1031 4 года назад
Natural talent, hakuna kulazimisha , yaani flow inabuniwa hapo studio😄
@RyaiNews
@RyaiNews 4 года назад
Huyu SUMU fala na nusu dadeq zake, kila beat anazunguka nayo kama anafagia uwanja😅 salute mia sama asee👐👐👐
@yohanampayo2182
@yohanampayo2182 Год назад
😄😄😄
@MoneyDaily
@MoneyDaily 4 года назад
This is by far the best freestyle I ever heard from Africa. Real bars of the dome and so organic. Keeping it EastAfricaRadio for more entertainment!
@laurencemfinanga.
@laurencemfinanga. Год назад
Kweli man
@shaxymemes4163
@shaxymemes4163 2 года назад
Uyu mchizi daaah katengwa
@Ibrahcataryan
@Ibrahcataryan 3 года назад
Nadiriki kusema kuwa huyu mwamba ni freestyle killer#Toxic🔥🔥🔥
@sebasidney8440
@sebasidney8440 2 года назад
After almost two years i never hear freestyle like this he is freeestyle killer💥
@allyramadhani9081
@allyramadhani9081 4 года назад
Nyiiiieee wajanja kama mmnamkubaliii toxic ile mbaya gonga like kama 2000 twende xawa
@allenottaro
@allenottaro 4 года назад
Deadly freestyle! 255 MCs are on fire meeeen! Kama hela nishapay! Mad love from 254
@huberthaule3621
@huberthaule3621 4 года назад
best freestyl rapper ever in tz
@khaledmrtrap6937
@khaledmrtrap6937 2 года назад
Toxic anajuaa bn ila asiwadharau wenziee anajuaaa bn ambay hampend mchawi
@zizimayotham7279
@zizimayotham7279 4 года назад
Hii ndo maana ya freestyle 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
@mdigokhan8227
@mdigokhan8227 4 года назад
Dislike za nini sasa mlitaka aimbee na mama zenu 💥🔫
@eddytzonlinetvTallMan
@eddytzonlinetvTallMan 4 года назад
NIKITOKA HAPA NAMTAFUTA IMSTAR UYU BWANAA OG...
@abdillahimahamed1814
@abdillahimahamed1814 4 года назад
4:26 Nani kasikia huo mstari "Hata mkipiga wimbo wa taifa...ila shoga hasimami" 🤣🤣🤣🤣
@clintonbleya1634
@clintonbleya1634 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂
@sirobinsiro1436
@sirobinsiro1436 2 года назад
Hakuna Cha bongo bahati mbaya aiseee..tungezaliwa China wowowo tungeiona wapi🤭😂😂😂 Toxic you on another level bruh💥🙌🙌
@yahyasaid5841
@yahyasaid5841 4 года назад
Hhhh uyu jamaa me skueza kumskiza mara moja yaani 🔥
@saimonsilva6209
@saimonsilva6209 4 года назад
Kama mm mwanang anajuaaaaa sanaaa
@hassanhammis6529
@hassanhammis6529 4 года назад
babuu hatar mazee nimekubal big up brooh noma sana
@adomedia9932
@adomedia9932 2 года назад
Huyu jamaa ndio the best so far, salute!
@pharergyramson5918
@pharergyramson5918 4 года назад
Huyu jamaa ni mchafu best rapper cjawahi ona kwenye hizi dakika 10 za maangamizi yan anafanya anachotaka kwenye beat dah qummke huyu kweli sumu
@hamisigungu9980
@hamisigungu9980 4 года назад
Yaan ogopa hiphop inachwana bila kukunjwa sura halafu inapenya,jamaa sijawahi shuhudia hiphop kiwango Kama ya toxic
@daviem8538
@daviem8538 4 года назад
Yuko vizuri sana aisee
@ibrahimuKidevu
@ibrahimuKidevu Год назад
kibasilaaa boy
@DekelvaSoujaboy
@DekelvaSoujaboy 7 месяцев назад
Daaah toxic fuvu unyama kama wote na kukubali sana mwamba Never disappoint Love from Drc Congo Lubumbashi ❤❤❤❤ mistari yako unasomeka unyama ni mwengi
@willywilson3442
@willywilson3442 4 года назад
Mad love from +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tushakubali🙌🔥
@ernest4470
@ernest4470 4 года назад
Best freestyle of all time
@tomexman455
@tomexman455 4 года назад
Freestyle 💥💥
@vincemugeni
@vincemugeni 4 года назад
The freestyle is on point, 🔥
@sallyzanzibar2817
@sallyzanzibar2817 3 года назад
Salute bro 🔥💪🏾 kazikazi
@dannymartin2656
@dannymartin2656 4 года назад
Wanaomkubali toxic wa gonge like hapa twende sawa 💯💯🔥🔥🔥💥
@TheGeek12
@TheGeek12 2 года назад
Real freestyle...no pre-written bars here
@johnbuhumbi1593
@johnbuhumbi1593 4 года назад
Huyu jamaaa apate mtu wa kumshika mkono tu ni bonge la rapa ,hii ndio Kali yang 2020 naitabiria
@mwambete
@mwambete 3 года назад
This guy is an alien 🙌🏿🙌🏿🙌🏿 🔥🔥🔥🔥
@EmceeMjax
@EmceeMjax 4 года назад
Toxic amepuliza sumu ya kweli, unatisha mtu mzima 🇰🇪
@mormanjk7534
@mormanjk7534 4 года назад
Bigger thinker freestyle toxic 2020
@juliusnorasco8803
@juliusnorasco8803 4 года назад
Oy mwanangu uyu toxic si aludiswe au sio mwanangu
@juliusnorasco8803
@juliusnorasco8803 4 года назад
Oy mwanangu uyu toxic si aludiswe au sio mwanangu
@lemaxGallery
@lemaxGallery Год назад
Here 2023, still the best💦
@ItsThedon2Lorenzo
@ItsThedon2Lorenzo 4 года назад
Mzeee flow Kali Kali Noma sana
@teddyauch1788
@teddyauch1788 4 года назад
Jamaa ni sumu mwana anabuni mistari kwenye mic....toxiiiiiiic
@m72gang
@m72gang Год назад
Toxic umeuwa man hhm 72 from 254 kenya
@Views-mf8ir
@Views-mf8ir 4 года назад
Jamaa mwenye Tshat nyeupe haimini anachokisikia na kukiona ...!! Anashangaa shangaa kama fala 😆😆😆
@christopherhenrick3467
@christopherhenrick3467 4 года назад
😅😅😅 sio poa
@jafarimmilla4665
@jafarimmilla4665 4 года назад
Amini kwamba
@Elcapitano_maestro
@Elcapitano_maestro 4 года назад
Qmmke sio poaa ww😂😂
@naimannganunga4072
@naimannganunga4072 2 года назад
Toxic mnyama kabisaaaaaa💥💥💥💥💥👏👏👏👏👏👏👊👊👊
@sayuniurassa2826
@sayuniurassa2826 4 года назад
Huyu ni sumu na yeye kaandika historia ya pekee Leo his the best rapper in this earth. Keep it up John.
@abelsembuli6066
@abelsembuli6066 4 года назад
Huyu Buda , He is the Best One Kwa Wale Wote Mc's Waliopitaga kwa 10 Dakika za Maangamiz
@Charles-xs7by
@Charles-xs7by 4 года назад
Like kama umemfeel Ngwair, King zilla, Stereo, Bill Nass na Nikki Mbishi...ndani ya #toxic Jamaa amenipa ladha zote za muziki..all in one package... #temeke
@pidpower9920
@pidpower9920 4 года назад
Nasema ukweli jamaa kamfunika boshoo ninja yani dah
@nnex334
@nnex334 2 года назад
Uyu jamaaa so poa Anaweza💥💥💥🤟🤟🤟🔥🔥🔥
@salminmhando1316
@salminmhando1316 3 года назад
2:58 "mlitunyima majibu leo mkituona mnatuomba kazi"
@BBMBonnie
@BBMBonnie Год назад
Apatiwe soda 🥤 kwa bill 💵 yangu, moto 🔥 sana
@user-fo3rz4kj7f
@user-fo3rz4kj7f 11 месяцев назад
2023 listening at this hatar sana
@adomedia9932
@adomedia9932 2 года назад
Muregeshe tena huyu bingwa bana ni sumu kweli kaua show🔥🔥
@bilekrinton6724
@bilekrinton6724 4 года назад
Genius. Toxic
@justinewillson844
@justinewillson844 4 года назад
Ww Jamaa n mbwaaaaaaaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥
@user-qy7lu7bq7h
@user-qy7lu7bq7h 4 месяца назад
Wewe mukali from Zambia
@ritadama6588
@ritadama6588 2 года назад
Toxic is the toughest rapper in Tz karibu 🇰🇪
@JujanaMusic
@JujanaMusic 2 года назад
He flows knowing where he is going. He good and entertaining.
@karathajunior6675
@karathajunior6675 2 года назад
Daaah.. this is the best free style.. ever
@AthumaniMsumbwa-qf3dx
@AthumaniMsumbwa-qf3dx Год назад
etibongo bahati mbaya wakati bongo tunabahati beeg up TOXC fuvu
@danielngove
@danielngove Год назад
Just love this guy so much...nice flow toxic
@shadrackmarembe
@shadrackmarembe 4 года назад
Toxic I love your job,, this is more wonderful, keep it up.. Mistari kinoma
@Mtamaduni14
@Mtamaduni14 2 года назад
Best freestyler
@officialkatuba
@officialkatuba 21 день назад
Toxic ni mmoja tu u kill it bro🔥🙌
@kabadumbajoramnshatsi6759
@kabadumbajoramnshatsi6759 4 года назад
East mlikuwa hamjawahi iusanda ila kwa huyu mwana mmesanda aisee. Daki 10 ye kwaaaaanza ndo anaanza. Huyu hata mkimpatia 24hrs ataflow. Jamaa anakipaji hope Gwear kule alipo anafarijika kuona mwana karithi kipaji. Inshaalah TOXIC Nakuombea ufike mbali aisee
@jamesdeus7044
@jamesdeus7044 3 года назад
Daaaah asee🔥🔥🔥🔥🔥 noma sanaa naraumu kuchelewa asee
@j4wasaimon981
@j4wasaimon981 4 года назад
HIP HOP NEVER DIE EVER
@dismasmmassy3623
@dismasmmassy3623 4 года назад
This is real definition of hip hop
@jailabasilymlwale1256
@jailabasilymlwale1256 4 года назад
sure
@djgthehotstepper
@djgthehotstepper 2 года назад
fr fr
@sadicksadick921
@sadicksadick921 3 года назад
Nan bado anaicheki had leo 2021 anipe like hapa
@shumamwinyikombo5981
@shumamwinyikombo5981 4 года назад
Ooohh my God.....!!you killed it....shit umeuwaa bhabha🙌🙌
@TheMandela21
@TheMandela21 3 года назад
The realest Tanzanian Mc of all time
@solomonichisaye8767
@solomonichisaye8767 4 года назад
Mbeya boy chuma Toxic Dizasta vina Boshoo ninja . . . .
@zuberomary3068
@zuberomary3068 4 года назад
Dizasta wakwanza msikilize vizuri
@solomonichisaye8767
@solomonichisaye8767 4 года назад
@@zuberomary3068 dizasta kwenye kipande cha kanisa kaua zaid...vingine wanaendana tu
@williammakasi677
@williammakasi677 4 года назад
Msikilize nyenza hapo ndo wakwanza
@josephlenzuga3455
@josephlenzuga3455 4 года назад
Nyenzzaa mc
@hamisikizungu5018
@hamisikizungu5018 3 года назад
New Cowbama kazaliwa Tmk he's best rapper & freestyler
@franknurudin5959
@franknurudin5959 3 года назад
Huyu jamaa anajua sanaaaaa cha ajabu wanatoka wasiojua bless tox fuvu
@DurahRich
@DurahRich 3 года назад
Bado ni tthe best yoooh baada ya kumfunika Cado leo pale wasafi kwenye Big Sunday Live
@frankbundi7713
@frankbundi7713 8 месяцев назад
Kenya representing 🇰🇪 💯 🙏
@farajajames12
@farajajames12 4 года назад
Aseee katika dakika10 za maangamizi huyu jamaaa katisha sijawahi kuona katika wote
@hamisimsangi8274
@hamisimsangi8274 2 года назад
Huyu dogo anajua mimi namkubali mno @ mungu amjalie afike mbali
@isaaczacharious6346
@isaaczacharious6346 4 года назад
Huyu jamaa 🙌🙌🙌🙌 G.O.A.T🙌
@timomgimba1988
@timomgimba1988 4 года назад
Leo nimewakubali xn mmewahi kuachia mizuka yangu....jamaa yuko poa xn..kikubwa azidi kukazaa 💪💪
@kevinmay7262
@kevinmay7262 9 месяцев назад
So toxic boy...the best ❤
@bernardmkuffya5171
@bernardmkuffya5171 3 года назад
Toxic simalizi kumcheki yaani daily ni fundi sana.big up bro.
@godfrey8355
@godfrey8355 4 года назад
..the real hip hop will never die in fact...is TOXIC badman
@jbsilulatv4513
@jbsilulatv4513 21 день назад
King wa freestyle
@mbawitom8215
@mbawitom8215 4 года назад
Konyoooo🔥
@anldnkpl3810
@anldnkpl3810 4 года назад
Hatimae kiboko wa Boshoo kapatikana
Далее
Dakika 10 za Maangamizi | Were Mulah
11:49
Просмотров 458 тыс.
Bando MC Akichana Kwenye Beat Ya Marioo Chibonge
16:46
Просмотров 220 тыс.
Jesus The Rebirth- Dakika 10 za Maangamizi.
12:50
Просмотров 1 тыс.
SIKU 10 ZA MAANGAMIZI : CADO KITENGO NA YEDEDEE
12:27
Просмотров 103 тыс.
Dakika 10 Za Maangamizi - Raptcha
12:22
Просмотров 277 тыс.
TOXIC FT ONE SIX - KIFO (Official Video)
3:09
Просмотров 284 тыс.
Dakika 10 za Maangamizi na Bunaya
12:24
Просмотров 120 тыс.
WIKI 10 ZA MAANGAMIZI : UNTOUCHABLE NA RICH MONSTER
13:00